×

Habari

Meya Jiji la Dar Azungumza na Wahitimu Chuo cha Ufundi Apec Kivule.

MEYA Jiji la Dar es salaam Omary Kumbilamoto ameshiriki katika Mahafali ya pili katika Chuo cha Ufundi APEC kilichopo katika...

READ MORE

Dozi Bil. 1 za Covid- 19 Zatolewa China

CHINA imetangaza  kwamba imefikisha jumla ya Dozi bilioni moja za   chanjo dhidi ya COVID-19 kufuatia kampeni yake kubwa kabisa ulimwenguni...

READ MORE

Yanga Yapindua Meza dhidi ya Mwadui, Yaitungua 3-2

MABINGWA wa kihistoria Tanzania bara Timu ya Yanga imeendelea kuifukuzia Simba katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada...

READ MORE

Mido la Nigeria Lakubali Kutua Simba

UNAKUMBUKA ule mchezo kati ya Simba na Plateau wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar? Basi...

READ MORE

Beka Afunguka Kumwagana Tena Na Mkewe

MSANII anayefanya poa kunako gemu la Bongo Fleva, Bakari Katuti ‘Beka Flavour’ amefunguka juu ya tetesi zinazosambaa kuwa amemwagana tena...

READ MORE

Mahakama Inayotembea Yamaliza Mashauri 1,208

Jumla ya mashauri 1,208 yamesikilizwa na kumalizwa na Mahakama inayotembea ‘mobile court’ huku watu 13,668 wakiwa wamenufaika na huduma zinazotolewa...

READ MORE

Waziri Ummy Amsimamisha Kazi Mhandisi Mradi wa Ujenzi Mabasi Mwenge

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) Mhe.Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi mhandisi...

READ MORE

Prof. Ndalichako “Tupo Tayari Kupokea Maoni Ya Wadau Kuhusu Bodi ya Kitaalamu Ya Walimu”

Serikali iko tayari kupokea maoni na mapendekezo yanayotolewa na wadau juu ya nini kifanyike ili kuboresha sheria na kanuni zinazounda...

READ MORE

Wananchi Wakumbushwa Kuchukua Tahadhari Dhidi ya Covid-19

Wizara Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inapenda kuwakumbusha tena na kuwatahadharisha wananchi wote Tanzania kuchukua tahadhari dhidi...

READ MORE

Bunny Wailer Azikwa Baada Ya Miezi 3

Kwa wapenzi wa Rege jina la Bunny Wailer siyo geni kwani wanakumbuka nyimbo zake kama Redemption Song, Rise and Shine,...

READ MORE

Rais Samia Awasili Jijini Dodoma Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wahudumu wa Shirika la Ndege la ATCL...

READ MORE

Letshego Yatoa Msaada wa Jezi za Michezo Shule ya Sekondari Juhudi

  Katika kuunga juhudi za serikali hususani katika sekta ya michezo  Benki ya Letshego, imekabidhi vifaa vya michezo (jezi) kwa...

READ MORE

Rais Samia Ateua Wakuu wa Wilaya Wapya-Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Juni 19, 2021 mefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya...

READ MORE

Miquissone Apeleka Furaha Msimbazi

BINGWA mtetezi wa ligi kuu Simba, leo Juni 19, imefanikiwa kuvuna alama tatu, dhidi ya Polisi Tanzania, kwenye mchezo  uliochezwa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Juni 19 Amefanya uteuzi wa  Wenyeviti wanne wa Bodi...

READ MORE

Rais Museveni Atangaza Masharti Mapya Kupambana na Covid- 19

RAIS wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza   masharti mapya ya kupambana na ongezeko la visa vya virusi vya Corona nchini humo,...

READ MORE

Kesi za Talaka Zaongoza

  MASHAURI ya kudai talaka miongoni mwa wanandoa yanaongoza katika idadi ya kesi zinazofunguliwa na kusikilizwa katika mahakama maalum inayotembea,...

READ MORE

Guterres Achaguliwa Kuwa Katibu Mkuu UN

BARAZA Kuu la Umoja wa Mataifa hii leo limepitisha azimio la kumchagua katibu mkuu wa sasa wa Umoja huo Antonio...

READ MORE

Majaliwa Aagiza Wafanyakazi wawili EPZA Kuondolewa

WAZIRI MKUU  Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Dotto James kuwaondoa watumishi wawili wa Mamlaka ya Maeneo Maalum...

READ MORE

TPB Yapata Faida ya Bilioni 21

    BENKI ya TPB imepata faida ya Shilingi bilioni 21 kabla ya kodi kwa mwaka 2020. Kiasi hicho ambacho...

READ MORE

Kim Jong-un Atoa Tamko Mapambano Mapya na Marekani!

UHASAMA unaozidi kukua kati ya Marekani na Korea Kaskazini ni kitisho kipya cha usalama wa dunia. Kiongozi wa Korea Kaskazini...

READ MORE

Metacha Aomba Msamaha Yanga

KIPA  wa Klabu ya Yanga, Metacha Mnata ameomba radhi kwa kitendo kisicho cha kiungwana alichokionesha kwa mashabiki wa klabu yake...

READ MORE

Mwamba Wa Afrika Mpya Umeanguka

Ni nyakati nyingine mbaya kwa Bara la Afrika kwa kumpoteza mwamba mwingine ambaye alikuwa mmoja wa waasisi wa Afrika mpya,...

READ MORE

Sabaya Akana Mashtaka Mawili – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili wamesomewa mashtaka mawili yanayowakabili kati ya mashtaka sita...

READ MORE

Papa Msofe Afutiwa Mashtaka, Aachiwa Huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Juni 18, 2021 imemfutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara  Marijan Msofe (53) maarufu Papa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mwenyekiti wa Makampuni ya Wilmar International

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Makampuni ya Wilmar International ya Singapore Kuok Khoon Hong, Ikulu...

READ MORE

Zambia Yatangaza Siku 21 za Maombolezo ya Kaunda

SERIKALI ya Zambia imetangaza siku 21 za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha muasisi wa taifa hilo Kenneth Kaunda hapo...

READ MORE

Rio Aionya Man United Kwa Tripper

BEKI wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, ameionya timu hiyo juu ya ishu ya kutaka kumsajili beki wa Atletico...

READ MORE

Rekodi: Afariki Akiacha Gumzo Wake 39, Watoto 94

ZIONA Chana mwanamume anayeaminika kuwa na familia kubwa ya wake 39 na watoto 94 amefariki dunia Juni 14, 2021, huku...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Siku 7 za Maombolezo Kifo Cha Kaunda

Rais Samia  leo Juni 18, 2021 ametangaza siku 7 za maombolezo Kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza wa Zambia...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Siku Saba za Maombolezo

RAIS Samia Suluhu Hassan ametangaza siku 7 za maombolezo Kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza wa Zambia Dkt. Kenneth...

READ MORE

Kesi Ya Sabaya Yaahirishwa Arusha -Video

KESI no 27/2021 inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano...

READ MORE

Mbunge wa Jimbo la Kisesa Afiwa na Baba Yake

MBUNGE wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Joelson Mpina Juni 14, 2021 amefiwa na Baba yake, Mzee Mpina Gabisi Luchemba kilichotokea...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Ujenzi wa Daraja la Tanzanite

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua mradi wa ujenzi wa daraja jipya la Tanzanite (New Selander) jijini Dar es Salaam na...

READ MORE

Jela Kwa Kuua, Kumla Nyama Mama’ke

Alberto Sanchez Gomez mwenye umri wa miaka 28 alikamatwa mwaka 2019 baada ya maofisa wa Polisi kupata mabaki ya mwili...

READ MORE

NMB Yakabidhi Serikali Hundi Ya Zaidi ya Bil 21.7

Benki ya NMB imetoa gawio la Sh21.8 bilioni ikiwa ni ongezeko la asilimia 43 ya gawio la mwaka jana ambalo...

READ MORE

Kisa Manyama, Simba Yarudi Rasmi Kwa Luhende

BAADA ya kugonga mwamba kwenye usajili wa beki wa Ruvu Shooting, Charles Manyama ambaye ametua Azam FC, Kocha wa Simba,...

READ MORE

Kapombe Amvuta Simba Beki KMC

BEKI wa kulia wa KMC, Israel Patrick Mwenda, amefichua kwamba, amekuwa akivutiwa kwa kiasi kikubwa na uchezaji wa Shomari Kapombe...

READ MORE

Kilo 88 za Madawa ya Kulevya Zakamatwa Dar

MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata kilo...

READ MORE

RC Shigella: Marufuku Mgambo Kukusanya Mapato

MKUU wa Mkoa wa Morogoro Martin Shigella, amepiga marufuku mgambo wa Manispaa hiyo kuhusika na operesheni yoyote ndani ya mkoa...

READ MORE