×

Habari

Huawei Yaunga Mkono Malengo ya Maendeleo Endelevu ya UN

Kampuni ya Huawei imeunga mkono Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (UN SDGs) katika kujenga ulimwengu wa kijani,...

READ MORE

Mbwa Watumika Kugundua Wagonjwa wa Covid-19

MBWA waliofunzwa nchini Finland wana uwezo wa kugundua wagonjwa walio na maambukizi ya virusi vya corona (Covid-19).     Mbwa...

READ MORE

Saudia Yakanusha Bin Salman Kuhusika Kifo cha Khashoggi

SAUDI ARABIA imekanusha vikali ripoti ya kijasusi iliyotolewa na Marekani ikifichua kuwa mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo...

READ MORE

Maajabu! Jogoo Amuua Mmiliki Wake kwa Kumchoma Kisu

MTU mmoja ameuawa na Jogoo wake aliyekuwa amefungwa kisu mguuni kwa ajili ya mchezo uliopigwa marufuku wa kupambanisha jogoo Kusini...

READ MORE

Wanaswa na Vipande 13 vya Meno ya Tembo Wakisaka Wateja

KIKOSI maalum ya kupambana na ujangili katika eneo la ikolojia ya Tarangire – Manyara, kimewakamata watu wawili katika kijiji cha...

READ MORE

Tanzia: Mfanyabiashara Maarufu Arusha Afariki Dunia

Mfanyabiashara maarufu mkoani Arusha, Andrew Mollel ambaye alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni mbalimbali mkoani Arusha amefariki dunia na kuibua...

READ MORE

Makamu Wa Rais Samia Ahutubia Maadhimisho Ya Siku Ya Magonjwa Adimu Dunia -Video

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehutubia Taifa kwenye Maadhimisho ya siku ya...

READ MORE

Mwambusi Atangaza Kurejea Yanga

ALIYEKUWA Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, amesema kwa sasa yupo fiti kurejea kikosini hapo baada ya kufanyiwa upasuaji wa...

READ MORE

Mkurugenzi Wa AGRI Aongoza Kugawa Taulo Za Kike Wanafunzi 1,800 Bukoba

Mkurugenzi wa Agri Thamani, Neema Lugangiea (Mb.) ambae pia ni Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) kupitia Kundi la Asasi za...

READ MORE

ACT- Wazalendo Wapata Mrithi wa Maalim Seif

KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tayari wameshapendekeza jina la mrithi wa majukumu ya Marehemu Maalim Seif...

READ MORE

Prof. Kitila Aongoza Ziara Ukaguzi Miradi Mfuko wa Jimbo

MWENYEKITI wa mfuko wa Kuchochea Maendeleo Jimbo la Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, amewaongoza wajumbe wa mfuko huo kufanya ukaguzi wa...

READ MORE

Dkt. Abbas: Tumeanza Kusimamia Maelekezo Ya Rais Utoaji Habari

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, amesema Maelekezo ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu utoaji wa habari za...

READ MORE

Waziri Mkuu Apokea Msaada wa Madawati kutoka Coca-Cola Kwanza

  Kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola Kwanza Ltd mwishoni mwa wiki imetoa msaada wa madawati 100 kwa Wilaya ya...

READ MORE

Video: Mabingwa wa Kutibu Magonjwa kwa Tiba Asili -Nsong’wa Traditional Clinic

Nsong’wa Traditional Clinic, ni kituo kinachotoa matibabu ya asili kwa watu wenye matatizo mbalimbali, ambacho kina ofisi zake sehemu mbalimbali,...

READ MORE

Video: Akutwa Na Magunia 25 Ya Madawa Ya Kulevya, RCP Azungumza

 JESHI la polisi mkoa wa kipolisi wa Temeke, linamshikilia mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 34, Frank George, mkazi...

READ MORE

Siri ya Carlinhos Yanga Yawekwa Wazi na Fei Toto

KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefunguka kwa kumsifia kiungo mwenzake raia wa Angola, Carlos Carlinhos kuwa ni mchezaji...

READ MORE

Bashiru Aapishwa Katibu Mkuu Kiongozi, Atoa Neno – Video

  RAIS  John Magufuli leo Februari 27, amemwapisha Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Ikulu jijini...

READ MORE

Shigongo Apendekeza Buchosa Ipandishwe Hadhi Kuwa Wilaya Kamili

  MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo akiwa katika kikao Kamati Kuu ya Mkoa (RCC) ambapo amependekeza kupandishwa...

READ MORE

Tanzia: Jaji Samwel Karua Afariki Dunia

Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kwa masikitiko makubwa inawatangazia ndugu, jamaa na marafiki, Kifo cha mpendwa wao Jaji...

READ MORE

Nsong’wa Traditional Clinic; Mabingwa wa Kutibu Magonjwa kwa Tiba Asili

Nsong’wa Traditional Clinic, ni kituo kinachotoa matibabu ya asili kwa watu wenye matatizo mbalimbali, ambacho kina ofisi zake sehemu mbalimbali,...

READ MORE

Breaking: JPM Amteua Dkt. Bashiru Kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

 Rais John Magufuli leo Februari 26, 2021 amemteua Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally kuwa Balozi, katibu mkuu kiongozi...

READ MORE

Mobeto Aungana na Sarah Kumkabili Kajala

MWANAMITINDO wa kimataifa na msanii wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto, anadaiwa kuungana na aliyekuwa mke wa msanii mwenzake, Rajab Abdul...

READ MORE

Polisi Waliomuua Prude Waachiliwa Bila Hukumu Marekani

POLISI waliosababisha kifo cha raia mwenye asili ya Kiafrika, Daniel Prude, ambaye alizuiliwa uchi katika Jiji la New York, Marekani...

READ MORE

Usiku wa Vitasa, Kinawaka Kesho Kinesi

WASWAHILI wanasema usiku wa deni hauchelewi kwisha, Usiku wa Vitasa uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni leo Jumamosi unahitimishwa kwenye Uwanja...

READ MORE

‘Moto wa Ijumaa’ Wazidi Kushika Kasi

Moto wa gazeti la Ijumaa unazidi kutikisa kupitia Promosheni ya Chemshabongo yake ya msomaji wa gazeti hilo kujibu swali lililo...

READ MORE

Mbunge ‘Ajichanganya’, JPM Aagiza Uchunguzi wa Bil 19

  Rais wa Tanzania, John Magufuli ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza mkopo wa Sh19 bilioni...

READ MORE

Mbunge wa Temeke Aiomba Serikali Ilipe Sh bil 12 – Video

MBUNGE wa Temeke Dorothy Kilave ameiomba serikali kuisaidia wilaya hiyo kulipa deni la Sh 12.1 bilioni wanalodaiwa na benki ya...

READ MORE

Rais Magufuli Ampa Siku 7 Waziri Simbachawene – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amempa siku saba Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene,...

READ MORE

Gigy Money: Nikimpenda Namzalia Hapo Hapo – Video

  Ni headlines za msanii Gigy Money ambaye amefunguka kusema akimpenda mwanaume basi ana uwezo wa kumzalia hata kama akiwa...

READ MORE

IGP Sirro: Ukishika Bunduki, Aga Familia Yako – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro, amewataka wale wote wanaofanya uhalifu kwa kutumia silaha kuhakikisha kabla hawajatoka...

READ MORE

Biden Aidhinisha Mashambulizi Dhidi ya Wanamgambo Syria

JESHI  la Marekani limetekeleza shambulio la angani lililolenga wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran nchini Syria, Pentagon imesema.   Shambulio hilo...

READ MORE

Tanzia: Arthur Shoo wa KKKT Afariki Dunia

  Katibu mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) yenye makao yake makuu mjini...

READ MORE

Abiria Kenya Airways Ruhusa Kulipia Viti vya Ziada Kujikinga na Corona

ABIRIA wa ndege za shirika la Kenya Airways (KQ) sasa wanaweza kununua kiti cha ziada cha pembeni wakati wanasafiri iwapo...

READ MORE

Live: Rais Magufuli Anazindua Majengo Ya Chuo Cha Polisi Kurasini

 RAIS Dkt John Magufuli, leo Februari 26, amezindua majengo ya chuo cha Polisi kilichopo Kurasini jijini Dar.   ⚫️...

READ MORE

Live: Magufuli Akiweka Jiwe la Msingi Kiwanda cha Polisi

Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda cha ushonaji wa sare za jeshi la polisi, Dar, kinachogharimu...

READ MORE

Wow! Harmonize Amnunulia Kajala Gari Jipya – Video

PENZI la Msanii Harmonize na Kajala limeendelea kuonekana kushamiri ambapo jana Februari 25, Harmonize ameonesha upendo wa nguvu kwa kumnunulia...

READ MORE

Mwanamke Mwenye Matatizo ya Akili Aambukizwa Ukimwi- Video

Fatuma Athumani (60) ni mama ambaye alibahatika kupata watoto Tisa, lakini watoto wawili kati yayo walifariki dunia huku mmoja akifariki...

READ MORE

Mbunge Nyongo Apata Ajali, Akiwa Njiani Kwenda Kwenye Mazishi -Video

Mbunge wa Maswa Mashariki, Stanslaus Nyongo Februari 25, 2021 alipata ajali maeneo ya Mkalama mkoani Singida akiwa njiani kuelekea Meatu...

READ MORE

Watanzania Wanavyovuna Mamilioni ya Bikosports

KWA wanaofahamu umuhimu wa michezo ya kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali duniani, ukiwamo huu wa Bikosports, huwezi kuwaeleza lolote linalo...

READ MORE

Mbunge Nyongo Apata Ajali – Video

Mbunge wa Maswa Mashariki Stanslaus Nyongo amepata ajali Maeneo ya mkalama Mkoani Singida akiwa njiani kuelekea Meatu kwenye Mazishi ya...

READ MORE