×

Habari

Dawa ya Madagascar Yashindwa Kudhibiti Corona

HOSPITALI nchini Madagascar zimekuwa zikikabiliana na ongezeko la maambukizi ya Covid-19, huku rais akiendelea kunadi dawa ya mitishamba anayodai ina...

READ MORE

Ndege ye Jeshi la Marekani Yaangushwa na Watu Wasiojulikana

SHIRIKA la Ujasusi la Marekani limeanzisha uchunguzi baada ya helikopta ya kijeshi kupigwa risasi ilipokuwa inafanya mazoezi ya kawaida katika...

READ MORE

Polisi Yabaini Haya Ofisi za Chadema Zilizoteketea

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema kuwa moto uliounguza Ofisi za CHADEMA, Kanda ya Kaskazini usiku wa kuamkia leo,...

READ MORE

Polisi Yafafanua Kisa cha Mbunge Sugu Kukamatwa

MGOMBEA wa Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia CHADEMA Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu pamoja na wanachama 15 wa chama...

READ MORE

JPM Awaasa Viongozi wa Dini Uchaguzi Mkuu 2020

RAIS John P Magufuli, ametoa wito kwa viongozi wote wa dini nchini kutumia nafasi waliyonayo kuwahimiza waumini wao kushiriki katika...

READ MORE

Basi la Digidigi Lapata Ajali Buchosa Wilaya ya Sengerema

Basi la abiria mali ya Kampuni ya Digidigi lililokuwa likitokea katika Kijiji cha Kahunda kwenda Mwanza Mjini limepata ajari leo...

READ MORE

Mahakama Yamwamuru Lissu Kufika Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemwamuru kufika mahakamani mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na wenzake watatu, wanaokabiliwa...

READ MORE

‘Jahazi’ Chafungiwa, Vituo 3 vya Redio Vyaonywa

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekifungia kipindi cha Jahazi kinachorushwa na redio ya Clouds FM kuanzia...

READ MORE

Breaking: Magufuli Apewa Tuzo ya Heshima na TAG -Video

RAIS John Magufuli leo Agosti 14, 2020, amepewa tuzo maalum ya heshima na Baraza Kuu la Kanisa la Tanzania Assemblies...

READ MORE

Kijana wa Miaka 19 Ajitosa Kugombea Urais

MIEZI  kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu wa Uganda utakaofanyika mwaka 2021, kijana mwenye umri wa miaka 19 amejitokeza na kuchukua fomu...

READ MORE

Arusha: Ofisi za Chadema Zateketea kwa Moto

OFISI za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini za Arusha mjini usiku wa kuamkia leo Agosti 14,...

READ MORE

Teknolojia ya Kidijitali Ilivyo na Fursa Kwa Watanzania

Ni wazi kuwa mapinduzi ya kidigitali yamekuwa na mabadiliko makubwa katika namna watu wanavyoishi kwenye miaka ya karibuni. Kwa bahati...

READ MORE

Dodoma: Takukuru Yawafikisha Kizimbani Watatu Akiwemo Diwani

TAKUKURU inawatuhumu aliyekuwa Diwani wa Ntyuka, Theobald Maina; aliyekuwa Mtendaji wa Ntyuka, Benedict Mazengo na aliyekuwa Mwenyekiti Mtaa wa Chimala,...

READ MORE

Mbaroni Akidaiwa Kumuua Shemeji Yake

JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro, linamshikilia Shinje Njilangila (30), mkazi wa Kijiji cha Mbamba, wilayani Kilosa kwa tuhuma za...

READ MORE

Chama Afichua Jambo Simba

CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji anayekipiga ndani ya Simba, amefichua kwamba kilichombeba zaidi kwa msimu wa 2019/20 ni juhudi zake binafsi...

READ MORE

JPM Afanya Mabadiliko Wakuu wa Wilaya Wawili

RAIS John Magufuli amefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa Wakuu wa Wilaya wawili, ambapo amemhamisha Mkuu wa Wilaya Rorya,...

READ MORE

Mamia Wajitokeza Kuilaki Treni Baada ya Kuikosa kwa Miaka 34

MAMIA ya wananchi jijini Arusha wamejitokeza kwa wingi kwenye hafla ya mapokezi ya Treni ya mizigo ya majaribio iliyowasili ikitokea...

READ MORE

Tanzania Yajivunia Mafanikio Wakati Wa Uenyekiti Wa SADC

Tanzania imejivunia mafanikio yaliyopatikana wakati ikiwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), chini ya uongozi wa Rais...

READ MORE

Mhadhiri UDOM Aliyedaiwa Kuomba Rushwa ya Ngono Afunguliwa Shtaka

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Dodoma inatarajia kumfikisha mahakamani Mhadhiri Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Dodoma...

READ MORE

Majaliwa Akagua Ujenzi wa Kivuko cha Mafia, Kigamboni

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inafanya jitihada kuhakikisha tatizo la usafiri kwa wananchi wa Mafia linakwisha.   “Nataka niwahakikishie...

READ MORE

Samia Ahitimisha Maonyesho Kizimkazi 2020

…Akiangalia moja ya mikoba ya uki inayotengenezwa na wajasiriamali.

READ MORE

Kamala Anavyoweza Kumuinua, Kumdidimiza Biden

NI  wazi kwamba sasa  chama cha Democratic hakina muonekano wa Joe Biden. Ni chama kinachoashiria ujana na kujumuisha jamii tofauti-tofauti....

READ MORE

IGP Siro Afanya Ukaguzi Wa Miradi Ya Ujenzijijini DSM

Inspekta Jenerali wa Polisi, Simon Nyakoro Sirro  amefanya ziara rasmi katika Bohari kuu ya Polisi iliyopo Kilwa Road (Police Main...

READ MORE

Simba Kuanza Kutambulisha ‘Majembe Mapya’, Kuzindua Logo Mpya

UONGOZI wa Simba umesema kuwa kuanzia kesho Ijumaa, Agosti 14 utaanza kutambulisha wachezaji wapya ambao umemalizana nao kwa ajili ya...

READ MORE

Mganga ‘Atoroka’ na Mil. 25 za Choo

MGANGA Mfawidhi wa Zahanati ya Kijiji cha Kibena wilayani Iringa, Hope Mwale,  ametoroka katika kituo chake cha kazi baada ya...

READ MORE

CHADEMA Yatangaza Majina Awamu ya Pili Wagombea Ubunge

CHADEMA kimemteua Lazaro Nyalandu kugombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini, Suzan Lyimo kugombea Jimbo la Kinondoni, Lucy Magereli Kigamboni,...

READ MORE

Uchaguzi Mkuu: PM Majaliwa Atoa Maagizo Takukuru – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ihakikishe Watanzania hawarubuniwi ili watumie vizuri utashi...

READ MORE

TMA: Tetemeko Dar, Hakuna Tishio la Tsunami

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa kuhusu hali ya bahari kufuatia tetemeko la ardhi chini ya Bahari...

READ MORE

Kurasa za Mbele za Magazeti ya Leo, Tarehe 13/8/2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 13, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Benki ya NMB yanogesha Siku ya Kizimkazi Zanzibar!

  Benki ya NMB inaendelea kuboresha miundombinu na mazingira ya shule visiwani Zanzibar kwa kutoa vifaa vya ujenzi vyenye thamani...

READ MORE

Breaking: Tetemeko la Ardhi Lapiga Dar & Pwani

TTEMEKO la ardhi lenye kipimo cha richter 5.9, limepita katika baadhi ya maeneo nchini Tanzania na kudumu kwa sekunde kadhaa,...

READ MORE

Mwanza: Mbaroni kwa Utapeli Kupitia Facebook

Watu 5 wamefikishwa Mahakamani kwa makosa 16 likiwemo la kujipatia fedha zaidi ya Tsh. Milioni 10 kwa njia isiyo halali...

READ MORE

Mwanamke Kortini kwa Tuhuma za Kukutwa na Risasi 45

MWANAMKE mmoja Mkazi wa Manzese Argentina jijini Dar es Salaam, Asha Juma amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa...

READ MORE

Marufuku Kusafirisha Mtoto Chini ya Miaka 18 Bila Kibali

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, ameviagiza vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhakikisha kila mtoto mwenye miaka chini ya...

READ MORE

Samia Azindua Radio Jamii, Ukatili Dhidi ya Wanawake

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 12,2020, amezindua rasmi Kituo cha Redio...

READ MORE

Ufafanuzi wa TCRA Kuhusu Maudhui ya Vyombo vya Nje

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevitaka vyombo vya habari vya ndani ya nchi vyenye leseni ya kurusha matangazo kuhakikisha vina...

READ MORE

GGML Yathibitisha Yaendelea Kuisaidia Jamii ya Geita

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na Halmashauri ya Mji wa Geita mapema jana imesaini makubaliano ya utekelezaji...

READ MORE

Miaka 30 kwa Kujaribu Kumuua Rais Mpya wa Burundi

Mahakama nchini Burundi imewahukumu wanaume wawili na mwanamke mmoja kifungo cha miaka 30 jela kwa kutaka kumuua Rais wa nchi...

READ MORE