×

Habari

OCD Maarufu kwa Kusoma Quran Afariki Dunia

MKUU wa Polisi Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed amefariki dunia. Afande Masoud hivi karibuni alijizolea umaarufu katika mitandao ya kijamii...

READ MORE

Tanzia: Mhadhiri Wa Chuo Kikuu Ardhi Dkt. Job Chaula Afariki Dunia

  Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Ardhi, Dkt. Job Asheri Chaula amefariki dunia leo Ijumaa, Mei 8, 2020, asubuhi katika...

READ MORE

Ajibu: Nisemeni Tu Mi Mvivu, Wala Siumii

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajibu ameanika wazi kwamba huwa hakasiriki kutokana na kuitwa mvivu wa mazoezi kutokana na kuwa...

READ MORE

TAKUKURU WAMNASA ‘TAKUKURU FEKI’

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Dodoma inamshikilia Simon Mapunda Jumbe (43), mkazi wa Kisasa jijini...

READ MORE

Wanne Wanaswa Kwa Ujambazi Arusha!

  JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wanne wa ujambazi akiwemo mganga wa kienyeji wakiwa na silaha...

READ MORE

Cecil Mwambe “Sasa Narejea Bungeni Rasmi” – Video

MBUNGE wa Ndanda kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Cecil Mwambe, amesema kuwa kwa sasa amerejea Bungeni rasmi kumalizia...

READ MORE

Dereva Mwingine wa Lori Mtanzania Akutwa na Corona Uganda

  Wizara ya Afya Uganda imesema Dereva mwingine wa Lori kutoka Tanzania (32) amebainika kuwa na corona na kufanya maambukizi...

READ MORE

WHO: Waafrika 190,000 Wanaweza Kufariki kwa #Coronavirus

SHIRIKA  la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko wa #CoronaVirus unaweza kusababisha vifo kwa Waafrika wapatao 190,000 ndani ya mwaka mmoja...

READ MORE

Kanisa Katoliki: Ibada, Harusi Kuruhusiwa Kuanzia Mei 18

SERIKALI ya Italia na Maaskofu wa Kanisa Katoliki wamesaini makubaliano ya kuruhusu Ibada pamoja na mikusanyiko vya kidini kama harusi...

READ MORE

Mwanajeshi wa Ikulu Akutwa na Corona

  RAIS wa Marekani, Donald Trump na Makamu wake, Mike Pence wamelazimika kupima tena maambukizi ya virusi vya corona baada...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Zanzibar Wafika 134

Wizara ya Afya Zanzibar imetoa taarifa ya ongezeko la wagonjwa wapya 29 wa covid 19 visiwani Zanzibar na kufikia idadi...

READ MORE

Parimatch Yafanya Maboresho, Yaja kibabe na Mfumo Mpya

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imefanya maboresho makubwa katika tovuti yao ya kubashiri, ambayo kwa sasa itawawezesha wateja wao...

READ MORE

CHADEMA Wamjibu Spika, Wahoji Wakapime Wapi

CHADEMA kimemjibu Spika Ndugai kwa kumuambia kuwa kama anataka Wabunge warudi Bungeni wakiwa wamepima, basi aseme anataka wakapime wapi kwa...

READ MORE

Mahakama ya Kisutu Yatoa Uamuzi Hatma ya Rugemalira na Seth

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali hoja za pingamizi za awali za mfanyabiashara James Rugemarila na wenzake wawili ikiwemo...

READ MORE

Magufuli Amuokoa Dereva Wa Lori Asipelekwe ‘Karantini’

Mwanaume mmoja mkazi wa Mombasa nchini Kenya anayejishughulisha na udereva wa malori yanayosafirisha mizigo kutoka nchi moja kwenda nyingine (transit),...

READ MORE

TANZIA: Katibu Jumuiya ya Wazazi CCM Afariki

Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Lugano Mwafongo amefariki dunia leo Alhamisi, Mei...

READ MORE

Breaking: Wabunge Waliopo Dar, Watakiwa Kuripoti Ofisi ya Upelelezi

Wabunge ambao bado wapo jijini Dar es Salaam watakiwa kwa hiyari yao kuripoti Ofisi ya Upelelezi Kanda Maalum Dar es...

READ MORE

Tanzia: DC Buzohera wa Nyang’wale Afariki Dunia

MKUU wa Wilaya ya Nyang’wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 majira ya saa 5:00...

READ MORE

CDC: Vifaa Vinavyotumika Kupima Corona Tanzania Havina Tatizo

Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (CDC) kimesema kwamba vifaa vya kupimia virusi vya corona nchini Tanzania havina shida...

READ MORE

Profesa wa China Aliyekuwa Akitafiti Corona Auawa Marekani

MAUAJI ya raia wa China, mtafiti wa masuala ya virusi vya corona kwenye ardhi ya Marekani yamesababisha nadharia mbalimbali duaniani...

READ MORE

Mitaa ya Nairobi na Mombasa Yawekewa Karantini

WAKAZI wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika...

READ MORE

Kiwanda cha Kahawa Chateketea Kagera

KIWANDA cha kukoboa kahawa cha Kharim Amri kilichopo Mgakorongo wilayani Karagwe, kimeungua moto. Taarifa za awali zinadai kuwa mashine na...

READ MORE

JPM Awa Gumzo Vyombo Vya Habari Vya Kimataifa Kuhusu Corona

Msimamo usioyumbishwa! Hiyo ndiyo picha aliyoitengeneza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, baada ya kueleza...

READ MORE

Inatisha! Mafuriko Yaua Watu 194 Kenya

MVUA  kubwa zilizonyesha nchini Kenya zimeua watu 30 hivi karibuni na kufanya idadi ya jumla ya watu 194 kupoteza maisha...

READ MORE

NMB, Mastercard na EYWA Washirikiana Kuleta Mfumo wa Malipo Kwa njia ya Kidijitali kwa wasafiri

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya NMB,Ruth Zaipuna.     Benki ya NMB kwa kushirikiana na Mastercard na kampuni ya...

READ MORE

Ndugai Awataka CHADEMA Wajiandae Kulipa Gharama Kesi ya Lissu

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai,  amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kujiandaa kulipa gharama za kesi iliyofunguliwa na Makamu...

READ MORE

FAT Waungana na Serikali Mapambano Dhidi ya Maambukizi Covid-19

Fashion Association of Tanzania (FAT) chaendesha mchakato wa uchangiaji wa vitakasa ikiwa sehemu ya mchango wao dhidi ya maambukizi ya...

READ MORE

Ndugai Awataka Wabunge CHADEMA Warudishe Mamilioni Bungeni

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai,  jana Mei 6, 2020, amewataka wabunge wa Chama...

READ MORE

Rais JPM Ateua DC Mtwara

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Delphine Magere kuwa RAS Pwani akichukua nafasi ya Theresia Mmbando ambaye amestaafu, Rais...

READ MORE

Mbunge Adaiwa Kunaswa na Silaha 10, Risasi 536

MBUNGE wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Suleiman Masoud Nchambi (CCM) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumiliki...

READ MORE

Simanzi Mazishi ya Mchungaji Peter Mitimingi – Pichaz

SIMANZI na majonzi vimetawala wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mchungaji wa Ghala la Chakula cha Uzima (WCC), Marehemu Peter Mitimingi,...

READ MORE

Breaking: Chadema Watakiwa Kurudi Bungeni Haraka – Video

Spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Mei 6, 2020 amewataka wabunge wa Chadema kurudi...

READ MORE

Waziri Ummy Awataka Watanzania Kuchangamkia Fursa za Corona

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ametoa wito kwa wawekezaji wa viwanda ndani ya...

READ MORE

Mwigulu Awaponda Wabunge Waliokimbia Kisa Corona

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Mwigulu Nchemba, amesema kitendo cha baadhi ya wabunge wa upinzani kususia vikao vya Bunge kwa...

READ MORE

Makonda Atoa Saa 24 kwa Wabunge ‘Wanaozurura’ Dar – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda,  leo Mei 6, 2020, ametoa Saa 24 kwa wabunge wote waliokimbia...

READ MORE

Silinde Ajiuzulu CHADEMA

WAKATI idadi kubwa ya wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hawahudhurii vikao vya Mkutano wa 19 wa Bunge...

READ MORE

Tanzia: Sheikh Kilemile Afariki Dunia

MWANZUONI nguli wa Tanzania na Afrika Mashariki, Sheikh Suleiman Amran Kilemile, amefariki usiku wa kuamkia leo, May 06, 2020, katika...

READ MORE

CSI Yatoa Msaada kwa Kaya Zaidi ya 50 Wasiojiweza Ukonga

Shirika la kimataifa la Childbirth Survival International (CSI), limetoa msaada wa vyakula , sukari na sabuni kwa kaya zaidi ya...

READ MORE

Ajali Gari Yaua Watu 6 Pwani

WATU sita wamefariki dunia katika ajali ilitokea usiku wa kuamkia jana eneo la Vigwaza, Chalinze mkoani Pwani, barabara kuu ya...

READ MORE

Majasusi Wanavyohangaika Kuiba Siri za Chanjo ya Corona

MAJASUSI ncini Marekani wanaripoti kuona taasisi za kijasusi za nchi nyengine wakijaribu kupitia mtandao kuchunguza tafiti za chanjo ya virusi...

READ MORE