×

Habari

Uganda Yawataka Raia Wanaotoka Nchi Zenye Corona Warudi Kwao

WIZARA ya afya nchini Uganda imesema raia wa kigeni 22 waliokuwa wamewasili nchini humo kutoka katika mataifa yaliyoathiriwa na maambukizi...

READ MORE

Waziri Lukuvi: Nimeua, Ulaji Umeisha – Video

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo na Makazi, William Lukuvi, amemaliza rasmi ulaji uliokuwa unafanywa na baadhi ya maafisa ardhi...

READ MORE

Daraja la Simiyu Mwanza-Musoma Lafungwa

DARAJA la Mto Simiyu lililoko wilayani Magu katika barabara kuu ya Mwanza-Musoma limeharibika, hivyo serikali kulifunga kwa siku kumi ili...

READ MORE

Makonda: Wanaume Wakatwe 40% ya Mishahara Yao Wapewe Wake Zao

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema anatarajia kupeleka muswada binafsi bungeni, kutaka itungwe sheria ambayo itamka...

READ MORE

Kumbe Magufuli Alitabiri Simba Itafungwa, Mwakyembe Afunguka – Video

MECHI ya Watani wa Jadi, Yanga Sc vs Simba Sc (Kariakoo Darby) umepigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es...

READ MORE

Ghorofa Laporomoka, Watu 10 Wafariki Dunia

Idadi ya watu waliofariki baada ya kuporomoka kwa hoteli moja iliyokuwa ikitumiwa kuwaweka watu chini ya karantini kutokana na virusi...

READ MORE

NMB Yafungua Tawi la 225, Yakiahidi Neema Kwa wakulima na wafugaji

    Benki ya NMB imezindua tawi jipya Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu na kufikisha matawi 225 nchi nzima huku...

READ MORE

JPM Awapongeza Wanawake Nchini, Serikali Kuendelea Kuwathamini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa Serikali yake itaendelea kuwathamini na kuwaheshimu wanawake...

READ MORE

Mkude: Tukiwafunga Tu Yanga, Sisi Mabingwa

KIUNGO mkabaji wa Simba, Jonas Mkude, ametoa kauli ya kuikatisha tamaa Yanga baada ya kusema kwamba, timu yao leo ikifanikiwa...

READ MORE

Mama Samia: Serikali Kuendeleza Miradi ya Maji ‘Kumtua Mama Ndoo Kichwani’ – Video

LEO Machi 8, 2020 ni siku ya Kimataifa ya Wanawake siku ambayo dunia inathamini mchango wa Wanawake katika jamii huadhimishwa...

READ MORE

Baba Kanumba Afariki Dunia Shinyanga Leo – Video

 Baba Mzazi wa Marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba amefariki leo Machi 8, 2020, saa nne asubuhi akiwa Hospitali ya...

READ MORE

Ajali ya Lori na Basi Mwandege Mkuranga Yajeruhi

Lori la Mchanga lililokuwa likielekea Mkuranga limegongana uso kwa uso na daladala linalofanya safari zake Temeke kuelekea Kisemvule katika kijiji...

READ MORE

Mambo 5 Kutikisa Uchaguzi 2020

DAR: Mbio za Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar 2020 zimezidi kushika kasi na kuwaacha wanasiasa matumbo joto kutokana na uchaguzi huo...

READ MORE

Benki ya Dunia Yaitaka TZ Kutowabagua Wanafunzi Wajawazito

Benki ya dunia imeishinikiza serikali ya Tanzania kuanzisha mfumo wa elimu kwa wanafunzi wanaokatiza masomo yao kutokana na sababu kama...

READ MORE

Watu Wawili Wafariki kwa Kusombwa na Mafuriko Morogoro

WATU wawili wameripotiwa kupoteza maisha huku mmoja akijeruhiwa kufuatia mvua kumbwa zilizonyesha usiku wa kuamkila leo Manispaa ya Morogoro, baada...

READ MORE

Mshindi wa ‘Pata Simu Ya Bure’ Apatikana!

ILE ofa baab’kubwa inayotolewa na magazeti Pendwa ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi Mchanganyiko, Ijumaa na Risasi Jumamosi ya kujinyakulia simu...

READ MORE

Utata Mauaji ya Mlinzi wa Makamu wa Rais

UTATA unaozingira kifo cha Sajini Kipyegon Kenei, aliyekuwa Mkuu wa Usalama katika Ofisi ya Makamu wa Rais wa Kenya, Dkt...

READ MORE

Nandy Kugonga Shoo 13 Marekani

MSANII wa muziki nchini Bongo, Nandy,  anatarajia kufanya ziara yake ya kimuziki nchini Marekani ambapo atafanya shoo 13 kwa kipindi...

READ MORE

Katibu Mkuu CCM: Tutatumia Dola Kubaki Madarakani

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ali, amekiri chama chake kuitumia dola kuhakikisha kinabaki madarakani.   Amesema...

READ MORE

BSS Yakabidhi 500,000/= TACAIDS

MKURUGENZI wa kampuni ya Benchmark Production, inayoendesha shindano la Bongo Star Search (BSS) Everlyne  Byaruhangwa, Machi 6, 2020, jana  alikabidhi...

READ MORE

Msajili Kuhakiki Uhalali wa Vyama Kabla ya Uchaguzi

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amesema watafanya uhakiki wa vyama hivyo ili kuangalia uhalali wao kabla...

READ MORE

WWF Yaungana na Wanawake Kupanda Miti 100 Mloganzila

Shirika la Uhifadhi wa Manzingira Duniani (WWF) katika kusherehekea siku ya mazingira duniani jana Machi 6, 2020 waliungana na wadau...

READ MORE

BENKI YA NIC YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA CCBRT

  Ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Benki ya NIC imeadhimisha siku hiyo muhimu kwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Machi 7, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 7, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

National Public Speaking Competition Wafunguka

SHINDANO la National Public Speaking Competition limeingia katika raundi nyingine ambayo washiriki 30 watawekwa kambini na kunolewa vilivyo kabla ya...

READ MORE

Bibi Yamkuta, Asota Rumande Kwa Kuuza Kiwanja Chake – Video

Bibi mmoja aliyefahamika kwa jina la Mwanahamisi Rashid Kisome, mkazi wa Bagamoyo mkoani Pwani amewekwa Rumande siku tatu kwa kuuza...

READ MORE

Unashindwaje Kumiliki Ndinga Mpya kwa Tsh 800 tu – Video

  MAMBO si ndo haya sasa, ukiwa mjanja kwa kusoma magazeti ya Championi au Spoti Xtra kila wiki, unaweza ukawa...

READ MORE

Warundi 7 Jela kwa Kuingia TZ Kinyemela

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu raia saba wa Burundi kifungo cha mwaka mmoja jela au faini ya shilingi laki...

READ MORE

Kesi J4 Anayedaiwa Kuua Wenzake kwa Risasi Yaanza Kuunguruma

  KESI ya mauaji namba 131 ya mwaka 2017 inayomkabili mfanyabiashara na mmiliki wa mabasi, Jumanne Wang’anyi, maarufu kama J4,...

READ MORE

JPM Amwapisha Musabila kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo

RAIS  John Magufuli  leo  Ijumaa Machi 6, 2020 amemwapisha  Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika...

READ MORE

Mkunga Atenganisha Kichwa na Kiwiliwili cha Mtoto Mama Akijifungua

POLISI nchini Uganda, wanachunguza taarifa za mkunga ambaye anadaiwa kushindwa kumhudumia mjamzito na kusababisha mtoto kutengana kichwa na kiwiliwili wakati...

READ MORE

NMB Yakabidhi Vifaa Kwa Wilaya ya Hai na Ilala

  BENKI ya NMB imekabidhi misaada mbalimbali ya vifaa tiba na vifaa vya elimu katika Mikoa ya Dar es Salaam...

READ MORE

Vodacom Foundation na UCSAF watoa kompyuta kwa shule za sekondari 163 nchini

Kampuni ya simu za mkononi kupitia taasisi yake ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote...

READ MORE

Wafanyakazi wa Vodacom Kanda ya Kaskazini watembelea kinamama Hospitali ya Tengeru mkoani Arusha

  Mkuu wa mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kanda ya kaskazini,  Brigita Stephen akikabidhi...

READ MORE

NBC Kuendelea Kutoa Fursa za Ajira, Mafunzo Kwa Vijana

  Mkugurenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Theobald Sabi amesema kuwa kwa mwaka huu wamejipanga kuchukua vijana...

READ MORE

Kenyatta Aionya Somalia kwa ‘Uchokozi’

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta,  ameinyooshea kidole cha lawama Somalia akisema hatua ya wanajeshi wa Somalia kuingia Kenya ni kitendo...

READ MORE

Waziri Mkuu Amtumbua Mweka Hazina Korogwe

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Mweka Hazina wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Subilaga Kapange,  na maafisa wengine wawili...

READ MORE