×

Habari

Wananchi Wapanga Kutoa Sadaka Kisa Maji, Mbarawa Awatoa Hofu

Tatizo la maji lililokuwa likiwakabili wananchi wa wilayani Moshi mkoani kilimanjaro, linatarajiwa kupatiwa ufumbuzi hivi karibuni, baada ya serikali kutenga...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 82 Wafikishwa Kortini Dar – Video

Watu 82 raia mataifa tofauti wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kosa la kuingia na kuishi nchini...

READ MORE

Championi, Spoti Xtra Yanavyokupa Ndinga kwa Pesa ya Madafu

SIYO hadithi tena za kale, kwani ukiwa mjanja kwa kusoma magazeti ya Championi au Spoti Xtra kila wiki, unaweza ukawa...

READ MORE

Ofisa wa Jeshi Aliyeasi Anyongwa

ALIYEKUWA Ofisa wa ngazi ya juu katika Jeshi la Misri Hisham al-Ashmaw, amenyongwa hii jana baada ya kupewa hukumu hiyo...

READ MORE

Maaskofu na Mashekhe Wamuonya Askofu Gwajima

KAMATI ya Kitaifa ya pamoja kwa Maaskofu na Maashekhe ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu...

READ MORE

Nabii Awapiga Biti Wanawake Kulala na Wanaume Gizani

Nabii wa kike nchini Nigeria ambaye anafahamika kwa jina la Patience Akpabio, amewashauri wanawake kutolala na wanaume zao gizani kwa...

READ MORE

Senegal: Waliobainika Kuwa na Corona Wafikia Wanne

NCHI ya Senegal hapo jana imeripoti kesi mbili mpya za maambukizi ya virusi vya Corona nchini humo, Miongoni mwa watu...

READ MORE

Janeth Magufuli Akabidhi Wheelchairs kwa Walemavu

    NAIBU Spika wa Bunge la  Tanzania,  Tulia Ackson, amemshukuru mke wa Rais Magufuli,  Janeth Magufuli,  kwa kuendelea kuwasaidia...

READ MORE

Mkutano wa Mbatia Wazuiwa

MKUTANO wa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Taifa, James Mbatia,  umezuiliwa na ametakia kuripoti kituo kidogo cha polisi Lwangwa wilayani Rungwe....

READ MORE

Singida: Lema Aachiwa kwa Dhamana

MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Arusha Mjini GodblessLema ameachiwa leo Machi 5, 2020, na ameenda kuripoti Ofisi...

READ MORE

TAMKO la Global Kusuhu Habari ya Aslay na Sonia

Global Publishers na Global TV Online ni chombo cha habari kinachofuata miiko ya uandishi wa habari, tumefanya coverage ya habari...

READ MORE

Akiba Comencial Yasherehekea Siku Ya Wanawake

Benki ya Akiba Comencial leo imesherehekea na wanawake katika kuazimisha kuazimisha kuelekea siku hiyo mbayo kilele chake ni Jumapili ijayo....

READ MORE

Anayehubiri kwa nyoka kuibuka bongo!

WAKATI maombezi kwa kutumia mafuta ya upako yakitikisa Bongo, mchungaji anayeombea kwa kutumia nyoka, mbioni kuja nchini kusimika huduma yake,...

READ MORE

Moro: Daraja la Kiyegea Laondoka na Meneja wa TANROADS

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Morogoro, Mhandisi Godwin Andalwisye arejeshwe wizarani...

READ MORE

Video Chafu ya Mchungaji Yavuja

DUNIA inaelekea kubaya au kuisha kabisa! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na yanayoendelea baada ya kuvuja kwa video chafu inayodaiwa ni...

READ MORE

Lori la Dangote Lagongana na Noah, Watu 7 Wafariki Dunia

WATU saba wamefariki dunia papo hapo baada ya gari dogo aina ya Toyota Noah kugongana uso kwa uso na Lori...

READ MORE

Ahukumiwa Kunyongwa kwa Kuua, Kupora Mil 1, Chupa ya Chai na Simu

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Musoma, imemuhukumu kunyongwa hadi kufa mkazi wa Kijiji cha Kibubwa, Wilaya ya Butiama mkoani Mara, Waryoba...

READ MORE

Njemba Watatu Wanaswa kwa Kuiba Gesti

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA WA WIZI KWENYE NYUMBA ZA KULALA WAGENI. Jeshi la...

READ MORE

Mke Mkubwa Arusha Mawe Ndoa ya Darleen

IKIWA imepita miezi kadhaa tangu dada wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’ aolewe...

READ MORE

Makonda Kula Sahani Moja na Wakandarasi “Janjajanja” Dar

Kufuatia kuendelea kuwepo kwa wakandarasi wanaosuasua katika ukamilishaji wa miradi ya kupunguza kero kwa Wananchi, Mkuu wa Mkoa wa Dar...

READ MORE

Ndinga ya Championi, Spoti Xtra Yatikisa Tegeta, Boko & Bunju

  PROMOSHENI ya Bahati Nasibu iliyopewa jina la Chomoka na Gari Mpya, likiwa ndo kwanza kabisa bichi wakazi wa maeneo...

READ MORE

Diamond Atangazwa Balozi Mpya wa Coral Paints – Video

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, leo Februari 04, ametangazwa Rasmi kuwa balozi wa Coral Paints katika mkutano na waandishi...

READ MORE

TFF Wapiga ‘Stop’ Timu Kusalimiana Kwa Kushikana Mikono

SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) leo Machi 4, 2020, limesema utaratibu wa wachezaji kusalimiana kwa kushikana mikono kabla ya mechi...

READ MORE

Maalim Seif amkaribisha Membe ACT-Wazalendo

  Mshauri mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amemkaribisha katika chama hicho aliyekuwa mwanachama wa CCM,...

READ MORE

Wasomaji : ‘Tutaendelea Kulichangamkia Betika, Linatupa Fedha’

WASOMAJI wa Gazeti la Betika maeneo ya Bunju, Boko na maeneo mengine ya  jijini Dar es Salaam, wamesema kwamba gazeti...

READ MORE

IRAN: Wafungwa waachiwa huru kuzuia maambukizi ya Virusi vya Corona

Iran imewaachia huru kwa muda wafungwa zaidi ya 54,000 ikiwa ni miongoni mwa jitihada za kukabiliana na maambukizi ya virusi...

READ MORE

BancABC Tanzania Yashinda Tuzo ya Visa Kwa Huduma Bora za Malipo Mtandaoni

BancABC Tanzania ambayo ni kampuni tanzu ya Atlas Mara, kwa mara nyingine imeshinda tuzo ya Visa maarufu kama “Visa E-commerce...

READ MORE

Yanga Inazidi Kuwanyoosha, Sibomana, Tariq Watuma Salamu

DAVID Molinga mshambuliaji wa Yanga jana aliwanyanyua mashabiki wa timu yake na kuwafanya wasitoke kizembe wakati ikishinda kwa mabao 2-0...

READ MORE

Kocha Yanga Aruhusu Udambwi wa Morrison

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael, amefunguka kuwa kitendo cha kumkataza kiungo wa timu hiyo, Bernard Morrison raia wa...

READ MORE

Wahamiaji Haramu TZ Kusakwa Nyumba kwa Nyumba

SERIKALI imetangaza kuanza operesheni, doria na misako maalumu ya kuwasaka na kuwakamata wahamiaji haramu katika sehemu mbalimbali ikiwemo katika nyumba...

READ MORE

Mastaa Hawa: Utamu wa Udoa Zao Unakuja, Unakata!

NDOA si kitu cha mchezo, watu hufikiri kwamba kuingia katika maisha ya ndoa ni kitu cha mchezo, nani kasema?  Ndoa...

READ MORE

Mumeo Anachepuka, Hampati Watoto? Tazama Hii – Video

WATU wengi wamekuwa wakitamani mafanikio ya watu Matajiri pasipo kufahamu changamoto za kimaisha zilizowainua kwenye maisha yao mpaka kufanikiwa kwao...

READ MORE

Mambosasa Awatahadharisha Wazee wa ‘Tuma kwa Namba Hii’ – Video

GLOBAL TV Online imemtembelea ofisini kwake Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar ss Salaam, SACP Lazaro Mambosasa na kuzungumza...

READ MORE

Askofu Gwajima Ahojiwa na Polisi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemuhoji Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima, kwa...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Profesa Lipumba Na James Mbatia Ikulu, Dar

RAIS John Magufuli leo Machi 3, 2020 amekutana na wanasiasa wakongwe Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim na...

READ MORE

DStv Yaja na ‘Jiongeze Tukuongezee’

03 Machi 2020:Wateja wa DStv wanaendelea kufurahia ofa kabambe zinazotolewa na MultiChoice na sasa imezindua kampeni mpya ya ‘Jiongeze Tukuongezee’...

READ MORE

Tishio la Corona: Magufuli, Maalim Seif Wasalimiana kwa Miguu – Video

RAIS John  Magufuli leo Machi 3, 2020 amekutana na mwanasiasa mkongwe ambaye ni mwanachama wa chama cha ACT Wazalendo, Maalim...

READ MORE

Wadakwa Kwa Kutumia Jina la Jokate Kutapeli Facebook

JESHI la polisi mkoani Mbeya, linawashikilia vijana 11 wenye umri wa kati ya miaka 20 na 25 kwa tuhuma za...

READ MORE