×

Habari

JPM Awa MBOGO HADHARANI ‘Msinifanye Kama Mtoto Mdogo’ – Video

Rais Dk. John Pombe Magufuli leo Aprili 30, 2019, alikuwa akiendelea na ziara yake ya kikazi Mkoani Mbeya na kusikiliza...

READ MORE

KUJIVUA NGUO KWA LUGOLA, KUCHEPUKA KWA RC GUMZO!

KAULI mbili za viongozi wa Serikali, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila na Waziri wa Mambo ya Ndani ya...

READ MORE

MBATIA: JPM ONGEZA MISHAHARA YA WALIMU, KESHO MEI MOSI – VIDEO

AKICHANGIA mchango katika mjadala wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mbunge wa Vunjo (NCCR Mageuzi) James Mbatiaa ameishauri Serikali...

READ MORE

KUMEKUCHA TENA…NABII TITO AKIRI KUANGAMIZA WATU

KUMEKUCHA tena! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Nabii Tito Machibya kuibuka na kusema ameokoka kwa sasa yeye na mkewe ambapo...

READ MORE

OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe – Video

Tangu Sudan ipate uhuru mwaka 1956 imekuwa ni nchi ya vuta nkuvute, full kunyoana nywele bila maji. Waafrika wanachinjana, wachina...

READ MORE

Mfahamu Mwanamke Asiyehisi Maumivu Mwilini!

  JO CAMERON  aligundua kuwa ngozi yake inaungua pale alipohisi  harufu ya kuungua kwa ngozi yake. Mara nyingi mikono yake...

READ MORE

Kiongozi wa Magaidi IS Ajitokeza Hadharani Baada ya Miaka 5

Kundi la kigaidi la Islamic State limesambaza mkanda wa video unaodai kumuonyesha kwa mara ya kwanza, baada ya kupita miaka...

READ MORE

MAMBOSASA Alivyonasa Wezi Mafuta ya Transfoma – Video

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum Kanda ya Dar es Salaam, Mambosasa amesema jeshi hilo limefanikiwa kuunasa mtandao wa wezi wa...

READ MORE

RC Makonda Awashtukia Wapigaji Dar, Awakabidhi Takukuru – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  leo April 30,2019, amewashtukia baadhi ya wataalam wa masuala ya ujenzi...

READ MORE

JPM Aanika Kinachoutesa Moyo Wake – Video

RAIS  John Magufuli ameeleza masikitiko yake kufuatia timu za soka za taifa ambazo ni timu ya wakubwa (Taifa Stars) na...

READ MORE

Simba Yapewa Sevilla ya Hispania, Yanga Yapigwa Chini – Video

SHIRIKISHO  la Soka nchini (TFF) na Kampuni ya Sport Pesa wamethibitisha kuwa mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC watacheza na mabingwa...

READ MORE

JPM Atoboa SIRI ya Mwakyembe Kutaka Kuuawa kwa Sumu

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Rais John Magufuli ametoboa siri ya Mbunge wa Kyela ambaye pia ni Waziri wa Habari,...

READ MORE

RC Chalamila: Bora Kuwepo Chama Kimoja cha ‘Magufuli Ruling Party’ – Video

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila,  amesema kuwa haoni sababu ya kuwa na mfumo wa vyama vingi vya siasa...

READ MORE

Iringa: Wazee wa Kimila Waiangushia Maombi Bombardier – Video

WAKATI wa Mkoa wa IRINGA jana, Aprili 29, 2019, walipokea ndege ya kwanza ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina...

READ MORE

Straika Mpya Yanga Atua

YANGA imemshusha nchini kimyakimya straika wa FC Lupopo, Rodrick Mutuma na watamalizana nae kwa siri sana arejee DR Congo. Mchezaji...

READ MORE

BREAKING: Wanachama NSSF Wakinukisha! Wafanyakazi Watimua! – Video

BAADHI ya wanachama wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), wamekusanyika leo Jumatatu, Aprili 29, 2019 katika Ofisi za NSSF...

READ MORE

Mwanamitindo wa kiume afariki akiwa jukwaani

  Mwanamitindo wa kiume Tales Soares  miaka 26 amefariki alipokuwa akifanya onyesho la mavazi katika tamasha la mitindo la São...

READ MORE

Mavazi yanayofunika uso marufuku Sri lanka

  Sri Lanka imepiga marufuku watu kujifunika uso hadharani kufuatia mashambulio ya kujitoa mhanga katika sikukuu ya Pasaka yaliosababisha vifo...

READ MORE

Wasoshalisti washinda uchaguzi Hispania

  Waziri mkuu wa Hispania, Pedro Sanchez anayeongoza chama cha Kisoshalisti, ameshinda katika uchaguzi uliofanyika jana Jumapili kwa kupata idadi...

READ MORE

Watano Wafariki Kimbunga Kenneth, 700,000 Wapoteza Nyumba

SIKU chache baada ya Kimbunga Kenneth kutua nchini Msumbiji, takribani watu 700,000 wanasemekana kuwa wapo  hatarini kupoteza makazi yao katika...

READ MORE

Rais MAGUFULI Akutana na Prof MWANDOSYA Uso kwa Uso

  Rais Dr.John Pombe Magufuli amezindua barabara katika eneo la Busokole yenye urefu wa Kilomita 10 ambapo pamoja na mambo...

READ MORE

Sheria Mpya Kukamata Walevi Wanaotembea Hadharani

  POLISI nchini Uganda inapania kuzindua mpango wa kuwakamata watembea kwa miguu watakaopatikana wakiwa walevi.   Akitetea mpango huo mpya, ...

READ MORE

Magufuli Amwaga Mil. 2, Atoa Siku 10 Umeme Ufungwe! – Video

RAIS John Magufuli ametoa Tsh milioni 2, kwa ajili ya kununua kinukuzi (photocopy machine) na kuvuta umeme katika Shule ya...

READ MORE

Mbunge Ahoji Wimbi la Dawa za Kuongeza Nguvu za Kiume, Makalio – Video

MBUNGE wa Ulanga, Goodluck Mlinga (CCM),  ameibua hoja wimbi la dawa za kuongeza nguvu za kiume na makalio nchini.  ...

READ MORE

JPM Kutatua Kitendawili cha Ujenzi Kituo cha Daladala Uyole – Video

RAIS  John  Magufuli amewataka wananchi wa Uyole mkoani Mbeya kuwa wavumilivu wakati akitafuta njia ya kutatua ombi lao la kupewa...

READ MORE

LIVE: KINACHOENDELEA BUNGENI Muda Huu

KIKAO  cha 17 cha Mkutano wa 15 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano Tanzania, kinaendelea katika Makao mMakuu...

READ MORE

NMB Yazidikujitanua, yazindua Rasmi Tawi lake Mbogwe

    Benki ya NMB imezindua tawi jipya wilaya ya Mbogwe mkoani Geita kwa lengo la kukidhi mahitaji ya huduma...

READ MORE

KADINALI PENGO: “HAWA WALEVI, WANAPATA WAPI MUDA WA KULEWA SAA 3 -VIDEO

 Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam wa Kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema ili Roho...

READ MORE

VIDEO: TAZAMA Rais JPM Alivyopita na Beseni kukusanya SADAKA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Aprili 28, 2019 amejishusha na kuwa muumini...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Mabango Ya Utalii Yawekwe Uwanja Wa Ndege Wa KIA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa bodi ya KADCO uhakikishe unaweka mabango ya kielektroniki yenye kuonesha vivutio vya utalii...

READ MORE

Chama cha wenye ulemavu wa Ngozi chalaani vitendo vya ufukuaji makaburi

Chama Cha Watu Wenye Ualbino Tanzania kwa masikitiko kinauarifu umma kuhusu tukio la kaburi la marehemu Aman Anywelwisye Kalyembe mwenye...

READ MORE

Video: Rais Magufuli Ashuhudia Kusimikwa Kwa Askofu Nyaisonga Mbeya

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.John Pombe Magufuli pamoja na Mkewe Janeth Magufuli  leo wameshiriki Ibada ya...

READ MORE

Serikali Yaajiri Walimu Wapya 4,549, Orodha ya Majina Iko Hapa!

Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(OR-TAMISEMI) imepata kibali Cha kuajiri jumla ya walimu 4549...

READ MORE

RC Chalamila: Wamefukua Kaburi la Albino, Wameiba Mifupa – Video

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila,  awetaka wananchi wa mkoa huo kutoshiriki vitendo vya kishirikina vinavyosababisha ubakaji, ulawiti na...

READ MORE

JPM Amfuatilia Aliyelawiti Mtoto, Abaini Amehukumiwa Kufungwa Maisha – Video

RAIS Dkt. John Magufuli amefuatilia malalamiko kuhusu mtoto aliyelawitiwa na mzee wa miaka 53 na kubaini kwamba mtu huyo alihukumiwa...

READ MORE

JPM AZINDUA BARABARA CHUNYA, AWEKA HISTORIA – VIDEO

RAIS Dkt John Magufuli amefungua Barabara ya lami yenye urefu wa kilomita 72, inayotoka Chunya kulekea Mbya Mjini na kuahidi...

READ MORE