×

Habari

GWAJIMA AMWAMBIA JPM: NILIPEWA BAKULI LA ALMASI – VIDEO

MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima amemshauri Rais Dkt. John Magufuli kuunda timu ya watu wenye...

READ MORE

SIRRO AWAPANGIA KAZI POLISI WALIOTUMBULIWA NA LUGOLA

Makamanda wa Polisi wa Mikoa ya Ilala, Temeke na Arusha ambao uteuzi wao ulitenguliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani,...

READ MORE

MAKONDA: TUNDU LISSU AFIKISHIWE MIREMBE – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  amesema Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) na Mnadhimu Mkuu wa Kambi...

READ MORE

Mtoto Wa Miaka 5 Alipua Nyumba Yao, Afariki Dunia

UTAJISIKIAJE pale unapomwacha nyumbani mtoto wako akiwa mzima halafu ghafla unapigiwa simu na majirani na kuambiwa amefariki? Bila shaka itakuwa...

READ MORE

LIQUID MASTER MZEE WA GAMBE NOMA, ALAMBA MILIONI 1

JUMLA ya wafanyabiashara sita wamejishindia mamilioni katika droo ya tatu ya promosheni ya “Shinda Mtaji inayoratibiwa na Kampuni ya Selcom...

READ MORE

CHUO CHA KITM CHAHAMIA GHOROFA JIPYA, CHATANGAZA NEEMA

Chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) ambacho awali makao makuu yake yalikuwa katika Jengo la Hospitali ya...

READ MORE

40 IMETIMIA! ATUMIA FURSA YA AJALI AKIONA CHA MOTO

MOROGORO: 40 yake imetimia! Jamaa mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Chande amekamatwa na polisi akidaiwa kutumia fursa kwa kuiba...

READ MORE

Rais Magufuli Akisikiliza Changamoto za Wachimbaji Wadogo – Video

 Mwenyekiti wa Shirikisho la Wachimbaji Wadogo wa Madini (Femata), John Bina amesema Tanzania hakuna masoko rasmi ya uuzaji wa...

READ MORE

Meli 2 Zenye Bendera ya Tanzania Zawaka Moto Urusi, 14 Wafariki

  WATU 14 wanadaiwa kupoteza maisha na wengine watano hawajulikani walipo kufuatia meli mbili za mizigo Maestro na Candy, zilizokuwa zikipeperusha...

READ MORE

TECNO YATIMIZA NDOTO ZA WATOTO YATIMA

                                              Katika kuhakikisha jamii ya Kitanzania inafanikiwa na kufaidika kwa uwepo wake Kampuni ya simu nchini Tanzania TECNO Mobile...

READ MORE

Kisa Simba, Kocha wa Thomas Ulimwengu Atimuliwa

KUMEKUCHA Afrika! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Simba kuzua balaa nchini Algeria katika Klabu ya JS Saoura. Simba iliichapa...

READ MORE

Baada ya kipigo, Yanga wapewa mihela

WACHEZAJI wa Yanga, wamepewa mamilioni ya fedha licha ya kuchezea kichapo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi Stand United...

READ MORE

Tamko la Serikali Kuhusu Taarifa ya Kuwepo kwa Al Shabaab Tanzania

Tamko la Serikali kuhusu taarifa ya CCTV Africa kuhusu kuwepo kwa Al Shabaab nchini Tanzania.

READ MORE

WANAFUNZI WAFUNDWA FAIDA ZA UPANDAJI WA MITI

  TAASISI isiyo ya kiserikali ya HDIECA inayojishughulisha na mazingira,  leo imewaongoza wanafunzi wa Sekondari ya Mashujaa jijini Dar es...

READ MORE

Baada ya Kumhoji CAG, Hii Ndiyo Kauli ya Kamati ya Bunge

DODOMA: Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Emmanuel Mwakasaka, amesema kamati yake...

READ MORE

Wahamiaji 81 Wanaswa Dar, Kitakachowakuta ni Hiki! – Video

WIZARA ya Mambo ya Ndani kupitia Idara ya Uhamiaji mkoa wa Dar es Salaam imewataka wananchi kuwafichua Wahamiaji Haramu wanaoishi...

READ MORE

KISA CHADEMA, KATIBU WA CCM AKAMATWA, WAFUASI WAMVAA DC – VIDEO

KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Kumotola Kumotola amekamatwa na Jeshi la Polisi wilayani humo...

READ MORE

BREAKING: Polisi Wafunguka LUGOLA Kuwatumbua Ma-RPC Watatu – VIDEO

Jeshi la Polisi nchini limesema taarifa za utenguzi wa makamanda watatu iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola...

READ MORE

Wakazi wa Dar Wanufaika na Promosheni ya Tusua Ada na Omo

WAKAZI sita wa jiji la Dar es Salaam wafanyao manunuzi katika Supermarket za Game, Choppies Mlimani City na Shoppers Mikochen,...

READ MORE

CHAMPIONI LINAVYOMWAGA FEDHA KWA WASOMAJI WAKE!

GAZETI la Championi limeanza kurejesha kidogo linachokipata kwa wasomaji wake, hivyo zawadi kemkemu zitamwagwa. Msomaji atakayenunua gazeti hili na mengine...

READ MORE

Huyu Ndo Demu wa Staa Anayependa Kukaa Uchi!

LONDON, England: MR EMBO Sarah Kohan ambaye ni mpenzi wa straika wa West Ham, Javier Hernandez ‘Chicharito’, amepiga picha akiwa uchi...

READ MORE

KEVIN DURANT ANABADILI TU MADEMU

 CALIFORNIA, Marekani: NYOTA wa NBA, Kevin Durant, amezidi kwa warembo, kwani taarifa zinasema sasa anatoka na modo Sabrina Brazil. Taarifa zinanyetisha...

READ MORE

MARADONA ATAKA KUMKATA KICHWA MPENZI WAKE!

BUENOS AIRES, Argentina: GWIJI wa soka nchini Argentina, Diego Maradona (58), kwa sasa yeye na mpenzi wake wa zamani ni paka na...

READ MORE

Zahera Ataja Kilichoimaliza Simba kwa AS Vita

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mcongoman, Mwinyi Zahera, ametaja sababu ya watani wake Simba kupoteza mchezo wake wa makundi wa Ligi...

READ MORE

Esma Afunguka Anavyomkubali Tanasha

DADA wa mwa­namuziki maarufu ndani na nje ya nchi, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Khan amefunguka kuwa ameshaanza kumpenda ‘kumoyo’...

READ MORE

Shamsa: Bila Chid, Walahi Ningedoda!

STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford ameweka wazi kuwa kama isingekuwa mumewe Rashid Said ‘Chid Mapenzi’ kumuweka ndani huenda...

READ MORE

Yanga Yapigwa Bao 8-1

KIKOSI cha Yanga Princess leo kimepoteza kwa kuchapwa mabao 8-1 dhidi ya JKT Queens kwenye mchezo wa Ligi ya Wanawake...

READ MORE

BODABODA DAR KUCHUANA KAMANDA CUP

    Mashindano ya Usalama Barabarani ‘Kamanda Cup’  yamezinduliwa katika viwanja vya Tanganyika Pakers  jijini Dar es Salaam na jumla...

READ MORE

Rais Magufuli Ampongeza Rais Mteule wa DRC Congo Felix Tshisekedi

Rais Magufuli atuma salamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Felix Tshisekedi kufuatia hukumu...

READ MORE

Breaking: Mahakama ya Congo Yamtangaza Felix Tshisekedi

Mahakama ya kikatiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mapema leo Jumapili, imemtangaza Felix Tshisekedi kuwa mshindi wa uchaguzi wa...

READ MORE

Uchumba wa MC Pilipili wapumulia mashine

DAR ES SALAAM: Mambo yamekuwa mambo! Wakati tukijiandaa kwa mnuso kabambe wa ndoa takatifu kati ya wapendanao, Emmanuel Mathias ‘MC...

READ MORE

MAKONDA AMWANDIKIA WARAKA MZITO LISSU, AWATAJA MAGUFULI NA MBOWE

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  ameandika waraka mzito akimponda Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu,  ambaye...

READ MORE

LUGOLA AFUNGUKIA WAKUU WA POLISI ALIOWATUMBUA KUENDELEA NA KAZI

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema alishatoa maagizo ya kuondolewa kwenye nyadhifa zao kwa makamanda wa Polisi...

READ MORE

DJ Kidato cha Tatu Auawa kwa Kupiga Muziki ‘Mbaya’ Ukumbini

MCHEZESHAJI muziki nchini Uganda (DJ) amepatwa na mauti baada ya kuvamiwa na kundi la vijana waliompiga kwa kosa la kuweka...

READ MORE

TANZIA: TASNIA YA MUZIKI WA BONGO YAPATA PIGO

TASNIA ya Muziki wa Bongo leo imekumbwa na msiba baada ya aliyekuwa muimbaji wa Bendi ya Mapacha Musica, Erick Kantona,...

READ MORE

Wateja 100 wa NMB wajishindia shs 100,000/- kila mmoja za ‘MastaBata’

JUMLA ya wateja 100 wa Benki ya NMB wamejishindia fedha taslimu shilingi 100,000/- kila mmoja na wengine sita wakijishindia simu...

READ MORE

Bunge la Ujerumani Laukataa Mradi wa Stiegler’s Gorge Tanzania

BUNGE la Ujerumani limepitisha muswada wa kuitaka serikali ya Ujerumani itafute njia mbadala ya mradi wa Tanzania wa kuzalisha nishati...

READ MORE

Kigwangalla Achukia, Aivunja Bodi ya Utalii (TTB) Papo Hapo- Video

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla amevunja bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kuanzia jana...

READ MORE