×

Habari

BOBI WINE YAMKUTA TENA

HUENDA huu ukawa mwaka mbaya kwa mwanamuziki ambaye pia ni Mbunge wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda, Kyagulanyi Robert ‘Bobi Wine’...

READ MORE

Mgombea wa Uenyekiti Simba Ajiondoa

ALIYEKUWA mgombe wa nafasi ya Uenyekiti katika klabu ya Simba ambaye pia ni nyota wa zamani wa timu hiyo, Mtemi...

READ MORE

Wabunge Ethiopia Wamchagua Rais Mwanamke

WABUNGE nchini Ethiopia wamemchagua Sahle-Work Zewde, kuwa rais wa kwanza mwanamke baada ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Mulatu Teshome,...

READ MORE

Waziri Mkuu Apokea Ripoti ya MV Nyerere

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea ripoti ya uchunguzi wa ajali ya kivuko cha MV Nyerere kutoka kwa kamati iliyoundwa...

READ MORE

JAJI MFAWIDHI TANGA AKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA

      Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Tanga, Mhe. Amir Mruma amemuhimiza Mkandarasi SUMA JKT kuharakisha ukamilishaji...

READ MORE

AJIBU AONDOLEWA KIKOSINI YANGA

IBRAHIM Ajibu ambae amehusika kwenye mabao 11 ya Yanga msimu huu, hatokuwa sehemu ya mchezo wa leo usiku  wakati timu...

READ MORE

NECTA YATANGAZA MATOKEO DARASA LA SABA 2018, YATAZAME HAPA

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi (darasa la saba) kwa mwaka...

READ MORE

BENKI YA CBA YAZINDUA TAWI JIPYA SAYANSI KIJITONYAMA

  BENKI ya CBA leo imezindua tawi jipya la benki hiyo lililopo Sayansi Kijitonyama jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa...

READ MORE

BARACK OBAMA, HILLARY CLINTON WATUMIWA MABOMU

MARAIS wastaafu wawili wa Marekani, Bill Clinton, Barack Obama na Mbunge, Mazine Walters, ni miongoni mwa watu ambao wametumiwa mabomu...

READ MORE

Tattoo za Wawa zina maana nyingi

HUENDA beki wa kigeni wa Simba, Pascal Wawa ndiye mchezaji mwenye michoro mingi mwilini ‘tattoo’ kati ya wachezaji wanaocheza katika...

READ MORE

MKUU KITENGO CHA USALAMA SHIRIKA LA POSTA ATOWEKA

MKUU wa Kitengo cha Usalama wa Shirika la Posta Tanzania, George Mwamgabe (pichani kushoto), ametoweka katika mazingira ya kutatanisha kwa...

READ MORE

MATOKEO DARASA LA SABA HAYA HAPA: Wanafunzi Walioongoza Kitaifa

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetaja wanafunzi 10 bora kitaifa waliofanya vizuri katika matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi, ambapo...

READ MORE

Rais Weah Atangaza Kufuta Ada Vyuo Vikuu Vyote

RAIS wa Liberia, George Weah, ametangaza Chuo Kikuu cha Liberia na vyuo vikuu vyote vya umma vitatoa mafunzo bure kwa...

READ MORE

Matokeo Darasa la Saba Haya Hapa: Shule 10 Bora Kitaifa, 10 Zilizoshika Mkia

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetaja shule 10 bora kitaifa zilizofanya vizuri katika matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi, huku...

READ MORE

Uingereza: Aliyemuua Leyla Kuhukumiwa Leo, Watanzania Wafurika Kortini

HUKUMU ya kesi ya inayomkabili Mtanzania Kema Salum (39) anayedaiwa kumuua mkewe ambaye pia alikuwa Mtanzania, Bi. Leyla Mtumwa (36),...

READ MORE

KINARA WA TAIFA MATOKEO YA DARASA LA SABA ANENA

Mwanafunzi Ndemezo Lutakwa ambaye ameshika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2018 yaliyotangazwa...

READ MORE

Mo aanza na uwanja Simba SC

BAADA ya afya yake kuimarika, mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameanza na ishu ya maendeleo ya uwanja wa timu...

READ MORE

Mahakama ya Kisutu Yaagiza ‘Pedeshee Ndama’ Akamatwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kukamatwa kwa mfanyabiashara, Ndama Shabani Hussein maarufu ‘Pedeshee Ndama Mtoto ya Ng’ombe’...

READ MORE

MTOTO ATUPA TUHUMA NZITO KWA POLISI

KITENDO cha kinyama alichofanyiwa mtoto wa miaka 8 (jina linafichwa) mkazi wa Vijimbweni, Kig­amboni jijini Dar kimemfanya atupie tuhuma nzito...

READ MORE

SIKU 3 ZA PAPARAZI NDANI YA DANGURO!

DANGURO moja maarufu lililopo Sinza Mori jijini Dar, licha ya mara kadhaa kikosi cha Operesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global...

READ MORE

ALIYECHOMWA VISU NA MUMEWE AFARIKI!

MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Maida Julius Mwashilindi, mkazi wa Tabata-Kimanga jijini Dar, amefariki dunia baada ya kudaiwa kuchomwa visu...

READ MORE

BREAKING: CHADEMA Watoa Tamko Juu ya NASARI Kuhamia CCM – Video

Kufuatia taarifa zilizokuwa zimeenenea kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii juu ya kujiuzulu kwa Mbunge wa Arumeru Mashariki (CHADEMA), Joshua...

READ MORE

MAHAKIMU MBULU, WAKUMBUSHWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KIKAMILIFU

  Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu- Kanda ya Arusha, Mhe. Mosses Mzuna, amewakumbusha Mahakimu kutekeleza wajibu wao ipasavyo ili kuhakikisha haki...

READ MORE

Msanii Hawa Atoka Salama ICU, Babu Tale Afunguka

MSANII Hawa Saidi (Hawa Ntarejea) bado anaendelea kupatiwa matibabu nchini India ambapo leo amefanyiwa upasuaji mkubwa wa moyo. Meneja kutokea...

READ MORE

Ndumbaro Aanza Kazi, Aelekeza Juhudi Zake Kwenye Uchumi – Video

SERIKALI imeeendelea kufanya juhudi za makusudi za kukuza uchumi wa Tanzania hususani mpango wake wa kuifanya Tanzania kuwa nchi ya...

READ MORE

Watoto warekebishwa uti wa mgongo kabla ya kuzaliwa

MADAKATARI nchini Uingereza wamerekebisha uti wa mgongo wa watoto wawili wiki kadhaa kabla ya kuzaliwa. Oparesheni hiyo ya kwanza ya...

READ MORE

JERRY MURO ATAFUNA MFUPA WA MGOGORO WA ARDHI SELASI SING’ISI

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Cornel Muro, anakusudia kupeleka ombi kwa Rais wa Jamhuri ya muungano Mhe ,Dkt. John...

READ MORE

AJALI: Basi la Tashriff Latekeketea kwa Moto Tanga

Basi la Kampuni ya Tashriff limeteketea kwa moto leo asubuhi karibu na Kituo cha Mafuta kilichopo Kange Mkoani Tanga.  Hakuna...

READ MORE

Mwanzilishi wa Tukuyu Stars Kuzikwa kwa Kuchomwa Moto – Picha

MAMIA ya waombolezaji wamejitokeza kuuaga mwili wa marehemu Ramnik Patel ‘Kaka’, ambaye alifariki Oktoba 18 mwaka huu, nyumbani kwao Uhindini...

READ MORE

WACHUNGAJI WAGOMBANA MO DEWJI KUPATIKANA

SIKU chache baada ya bilionea namba moja Tanzania, Mohammed Dewji kupatikana, balaa kubwa limeibuka kwa wachungaji wawili wa jijini Dar...

READ MORE

Picha 5: Makonda Aanika Sura ya Mwanaye Keagan “Nilitukanwa Mitandaoni”

KWA mara ya kwanza, wakati leo Jumatano, Oktoba 24, 2018 akitimiza miaka saba ya ndoa na mkewe, Bi. Maria, Mkuu...

READ MORE

MKUU WA KAMPUNI YA ACACIA ASHTAKIWA

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya uchimbaji madini Tanzania Acacia Mining, Asa Mwaipopo,  amefikishwa mahakamani hii leo kwa mashtaka ya uhalifu...

READ MORE

Rais Amteua Mwanaye, Ndugu 4 wa Familia Yake Kuwa Majenerali

RAIS Teodoro Obiang Nguema, wa Equatorial Guinea amewateua ndugu wanne wa familia yake kuwa majenerali katika Jeshi la nchi hiyo....

READ MORE

TIZEBA AIPINGA TAARIFA YA POLISI KUHUSU AJALI YA WATUMISHI 5 SINGIDA

  Waziri wa Kilimo na Chakula, Eng. Dkt. Charles Tizeba (Mb) jana Jumanne tarehe Oktoba 23, 2018 aliongoza mamia ya...

READ MORE

MZEE wa ‘Fyekelea Mbali’: NACHEZA Mpira Hadi Naukalia – Video

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri ambaye amejizolea umaarufu kupitia kauli yake ya FYEKELEA MBALI amesema kuwa yeye ni...

READ MORE

MMILIKI MABASI YA PRINCESS MURO AFIKISHWA MAHAKAMANI

MFANYABIASHARA na mmiliki wa mabasi ya Princess Muro, Majid Abdallah maarufu kama Kimaro (51) leo Oktoba 23.2018 amefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Ateta na Kikwete Ikulu (Picha +Video)

      Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, Leo Oktoba 23, amemtembelea Rais Dkt John Magufuli, Ikulu...

READ MORE

MAWAKALA WA NMB KANDA 7 WAPATIWA MAFUNZO

    BENKI ya NMB imetoa mafunzo ya kibenki kwa mawakala wake kutoka Kanda saba nchini ili kuboresha huduma kwa wateja...

READ MORE

Azam Marine, Kilimanjaro Fast Ferries Zasitisha Safari za Zanzibar

KAMPUNI ya Azam Marine na Kilimanjaro Fast Ferries, kupitia Mamlaka ya Usafiri Baharini (ZMA),  imesitisha safari zake kati ya Dar...

READ MORE

MIILI YA WATUMISHI WATANO WALIOFARIKI AJALINI YAAGWA DODOMA

MIILI ya watumishi 5 wa Wizara ya Kilimo na Chakula waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea juzi Oktoba 21, 2018 ...

READ MORE