×

Habari

BREAKING: NECTA Yaanika Shule Nyingine Inayodaiwa Kuiba Mitihani – Video

Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani NECTA, Dkt Msonde amesema walimu wa shule zilizohusika katika udanganyifu wa mitihani ya kuhitimu...

READ MORE

TIGO PESA KULIPA MPAKA MILLION 10 KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo imeongeza kiasi cha kulipa wakulima wa korosho kutoka shilingi Million tatu na sasa...

READ MORE

Mo Dewji: Ninawashukuru, Mungu Awazidishie kwa Wema Wenu

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mohammed Dewji amemshukuru Mungu kwa kumrejesha salama kutoka kwenye mikono ya watekaji huku akiwashukuru Watanzania kwa kumuombea...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Wenyeviti Watano wa Bodi za Taasisi za Serikali

Rais Magufuli afanya uteuzi wa wenyeviti watano wa taasisi za Serikali.

READ MORE

KUTEKWA MO, LEMA AHOJIWA POLISI SAA 3, ATOA ‘POVU’ ZITO – VIDEO

MBUNGE wa Arusha Mjini (CHADEMA) na Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema leo Oktoba 12, 2018, amehojiwa na Kamanda...

READ MORE

RC MAKONDA ATANGAZA FURSA KWA VIJANA WATAALAM WA IT

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, anawaalika wote wenye utaalam wa Teknolojia ya Habari yaani (Information Technology...

READ MORE

INDIA: Hawa Akutwa na Ugonjwa Tofauti na Alivyopimwa Dar

IKIWA ni siku chache baada ya kuwasili nchini India kwa ajili ya matibabu ya ugonjwa unaomsumbua, msanii wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Infinix HOT 6X IFANYE IWE YAKO KWA PUNGUZO LA ASILIMIA 50

KAMPUNI ya simu ya Infinix imekuletea aina mpya ya simu ikiwa ni muendelezo wa toleo la simu za HOT na...

READ MORE

ZIDISHENI MATUMIZI YA TEHAMA MAHAKAMANI: JAJI MZUNA

 Jaji Mfawidhi Mahakama Kuu- Kanda ya Arusha, Mhe. Mosses Mzuna amewakumbusha Watumishi wa Mahakama ya Wilaya Ngorongoro kuongeza kasi ya...

READ MORE

TFF YATEUA WAJUMBE WAPYA KAMATI ZA UCHAGUZI, NIDHAMU, RUFAA MAADILI

Kamati ya Utendaji iliyokutana Jumamosi, Oktoba 20,2018 Makao Makuu ya TFF yaliyopo Karume, Ilala jijini Dar es Salaam ilipitia masuala...

READ MORE

Ammy Ninje Ateuliwa Kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemthibitisha Ammy Ninje (Pichani) kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa shirikisho hilo. Nafasi...

READ MORE

LEMA ATII WITO WA POLISI, AWASILI SENTRO KUHOJIWA – VIDEO

MBUNGE wa Arusha Mjini (CHADEMA) na Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema ameitikia wito wa Jeshi la Polisi...

READ MORE

MASWALI TATA UPATIKANAJI WA MO

SHANGWE za kupatikana kwa mfanyabishara bilionea Mohammed Dewji ‘Mo’ Jumamosi iliyopita baada ya kutekwa na wasiojulikana ziko kila mahali nchini,...

READ MORE

TUKIO LA MO DEWJI KUTEKWA, WAZIRI MAKAMBA AHOJIWA NA POLISI

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam jana usiku Oktoba 21, 2018 lilimhoji kwa saa kadhaa Waziri wa...

READ MORE

Watu 18 Wafariki Dunia kwa Ajali ya Treni

TAKRIBAN watu 18 wamepoteza maisha na 170 wamejeruhiwa baada ya treni ya abiria kutoka katika  njia yake kaskazini-mashariki mwa Taiwan....

READ MORE

DC Kinondoni kutatua kero ya barabara inayokwenda Kliniki ya Heameda

VIONGOZI wa ngazi mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es  Salaam wamepongeza uongozi wa Kliniki ya Heameda...

READ MORE

Godbless Lema Aitwa Polisi

MBUNGE wa Arusha Mjini (CHADEMA) na Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema ameitwa na Jeshi la Polisi katika...

READ MORE

ANASWA UTEKAJI MTOTO!

WAKATI mfanyabi-ashara bilionea namba moja nchini, Mohammed Dewji ‘MO’ akifikisha siku ya tisa tangu atekwe na watu wasiojulikana, binti mmoja...

READ MORE

DKT. BASHIRU AKIWA CHINA AANIKA KAZI KUBWA ALIYOIFANYA JPM

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi,  CCM Dkt. Bashiru Ally amesema serikali ya awamu ya TANO inayoongozwa na Rais Dkt....

READ MORE

MAPIGANO NA WANANCHI, POLISI 4 WADAIWA KUUAWA, ZITTO AMPA POLE SIRRO

ASKARI wanne wa Jeshi la Polisi akiwamo Mkuu wa Kituo cha Polisi Nguruka – Uvinza, Ramadhan Mdimi wameuawa na wananchi...

READ MORE

Wizara ya Kilimo Yatoa Majina Waliofariki Katika Ajali, Singida

Wizara ya Kilimo na Chakula imetoa majina ya watumishi 5 waliofariki katika ajali ya gari iliyotokea leo asubuhi eneo la...

READ MORE

BREAKING NEWS: WATANO WAFARIKI AJALINI MANYONI, SINGIDA

WATU watano wamefariki jioni ya leo baada ya gari dogo linalomilikiwa na Wizara ya Kilimo na Chakula kupinduka katika eneo...

READ MORE

MASHAKA AZIKWA MAKABURI YA KINYEREZI DAR

MWIGIZAJI mkongwe nchini, Ramadhani Mrisho Ditopile, almaarufu kama Mashaka ambaye aling’aa na Kundi la Kaole Sanaa, aliyefariki dunia jana katika...

READ MORE

Breaking News: Polisi Yakanusa DCI, Mambosasa Kuondolewa

  MSEMAJI wa Jeshi la Polisi nchini, Barnabas Mwakalukwa, amekanusha taarifa zinazozagaa mitandaoni zinazohusu jeshi la polisi kufanya mabadiliko na...

READ MORE

ADAKWA AKITOA MAHARI NG’OMBE WA WIZI

BUNDA: Dunia ina mambo! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio la bwana harusi mtarajiwa, James Marwa, mkazi wa Wilaya ya...

READ MORE

KIOJA KUKU ‘KUBAKWA’ NA WATU

ARUSHA: Wakazi wa Mtaa wa Bonny City, Kata ya Muriet jijini Arusha, wamekumbwa na hofu ya ushirikina kufuatia kuzuka kwa...

READ MORE

PICHA: Muonekano wa Ndani wa Gari Lililomteka Mo Dewji

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amezungumzia tukio la kupatikana kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji kutoka...

READ MORE

TUKIO LA MO DEWJI, IGP SIRRO AWATAHADHARISHA LEMA, ZITTO – VIDEO

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro, amesema Jeshi la Polisi linaumizwa na kitendo cha baadhi ya Watanzania na...

READ MORE

LIN BARBECUE & COLLECTION WAUNGANISHA WASANII KUSAIDIA YATIMA

Wasanii wa filamu na muziki jana wameungana na uongozi wa Kampuni ya Lin Barbecue na Collection kupigania maisha ya watoto...

READ MORE

Silaha za Kivita Zilivyokutwa Kwenye Gari Alilotekwa Mo Dewji – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amezungumzia tukio la kupatikana kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji kutoka...

READ MORE

IGP SIRRO Asimulia: Waliomteka Mo Dewji Walitaka Pesa – VIDEO

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amezungumzia tukio la kupatikana kwa mfanyabishara maarufu nchini, Mohammed Dewji kutoka...

READ MORE

BREAKING NEWS: Bongo Muvi Yapata Pigo, Muigizaji wa Filamu Afariki Dunia

BREAKING NEWS: Aliyewahi kuwa msanii wa maigizo wa Kundi la Sanaa la Kaole, Ramadhani Mrisho Ditopile maarufu kama Mashaka amefariki...

READ MORE

BREAKING: Kilichokutwa Eneo Mo Dewji Alilopatikana! – Video

IKIWA ni takribani siku 9 tangu kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji (MO) na hatimaye kupatikana usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Magufuli Nimetoa 50m, Mkifungwa Mtazitapika

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli jana ameikabidhi timu ya taifa, Taifa Stars Sh...

READ MORE

Mo Dewji Asimulia Alivyotekwa, Kufichwa na Kujikuta Chumbani – Video

IKIWA ni takribani siku 9 tangu kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji (MO) na hatimaye kupatikana usiku wa kuamkia leo...

READ MORE

Breaking News: Kauli ya Kwanza Mo Dewji Baada ya Kupatikana – Video

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa  amethibitisha  Mfanyabiashara Bilionea  Mohamed Dewji  maarufu kwa jina la Mo Dewji amepatikana na  na Dewji...

READ MORE

BREAKING NEWS: MO DEWJI APATIKANA!

Taarifa zilizotufikia alfajiri ya leo, Oktoba 20, 2018, zinasema kuwa Mfanyabiashara Bilionea Mohamed Dewji maarufu kwa jina la Mo Dewji...

READ MORE

AMCHOMA VISU MKEWE, AJIUWA

DAR ES SALAAM: Steven Mwashilindi, Mkazi wa Tabata -Kimanga jijini Dar, amedaiwa kujiua baada ya kumchoma visu tumboni mkewe, Maida...

READ MORE

SERIKALI YAJITOSA MAZIMA STARS

SERIKALI kupitia kwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe imeahidi msaada wowote kwa Kocha wa Taifa Stars,...

READ MORE

DW Yaeleza Kifo cha Gamba Kilivyotokea Hadi Maiti Ilipokutwa – Video

NAIBU Mkuu wa DW, Mohammed Abdurahaman ameeleza kifo cha Mtangazaji Mwenzao Isack Gamba ambapo alikutwa chumbani kwake akiwa amefariki. Abdulrahaman...

READ MORE