×

Habari

Rais TrumpAmkatia Simu Waziri Mkuu wa Australia

RAIS Donald Trump wa Marekani amemkatia simu Waziri Mkuu wa Australia, Malcolm Turnbull wakati wakizungumzia makubaliano ya nchi hizo juu...

READ MORE

Wasiohakiki TIN Dar Watakiwa Kwenda Mamlaka ya Mapato

Kutoka kushoto ni Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mariam  Mwayela, Richard Kayombo na Ofisa Mwandamizi wa Mahusiano...

READ MORE

Waya wa Umeme Ulioungua Barabarani Kariakoo Wazua Taharuki

Waya ukiwaka moto katikati ya barabara, Kariakoo, Dar. Zimamoto wakifanya juhudi za kuuzima moto huo.  Polisi wakiwakamata waendesha bodaboda wasiokuwa...

READ MORE

Video: Mjane Amwaga Machozi Mbele ya Rais Magufuli Akidai Kudhulumiwa Mirathi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimsikiliza mwananchi, Bi. Sobha Mohamed, aliyejitokeza kueleza kero...

READ MORE

Video: RC Makonda Awataja Wema, TID, Askari Kujihusisha na Mtandao wa Madawa ya Kulevya, Majina Yao Bofya Hapa!

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataja Askari wa Jeshi la Polisi pamoja na...

READ MORE

Familia Yakubali Barua Uchumba wa Wema, Manara

Wema Sepetu. Na MWANDISHI WETU | AMANI DAR ES SALAAM: Hivi karibuni, msemaji wa Klabu ya Simba ya jijini hapa,...

READ MORE

Yaliyojili Kwenye Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Sheria Nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Majaji wa...

READ MORE

Jack Chuzi Apigwa Talaka Tatu

Stori: MAYASA MARIWATA| AMANI  ALIYEKUWA mume wa staa wa filamu Bongo Jack Pentezel ‘Jack Chuz’ ambaye ni mfanyabiashara Gadner Dibibi...

READ MORE

Kopa, Mwanahawa Kukutana Valentine Dar Live

Khadija Kopa katikati akitumbuiza. Showbiz-XTRA |AMANI WAKONGWE wawili kunako muziki wa Taarab, Mwanahawa Ally kutoka East Africa Modern pamoja na...

READ MORE

Mpoto Ataja Sababu za Wasanii Kumkimbia, Bendi Yake Kufa

Mrisho Mpoto   MAKALA: Hashim Aziz | AMANI Mrisho Mpoto ndiyo jina lake kamili lakini wengi wanamfahamu kwa jina la...

READ MORE

Bombardier Yashindwa Kupaa kwa Hitilafu, Fastjet Yashindwa Kutua

JANA Februari 1, 2016, kulikuwa na matukio mawili yanayohusu kampuni za ndege zinazofanya safari zake nchini Tanzania. Jijini Mwanza, ndege...

READ MORE

Lulu Avaa Viatu vya Paula wa Kajala

  Elizabeth Michael, ‘Lulu’ STAA wa Filamu nchini Elizabeth Michael, ‘Lulu’ wiki hii yamemfika yale yaliyomfika mtoto wa Mbongo Muvi,...

READ MORE

Kwa Nini Wanawake Wanaongoza Kwa Kupata U.T.I?

  U.T.I ni kifupi cha (Urinary Tract Infection) ni ugonjwa unaoathiri zaidi njia ya mkojo. Wanawake ndiyo wanaongoza kwa kuupata...

READ MORE

Joh Makini Amtamani Fid Q

Joh Makini Rapa anayekimbiza gemu la Muziki wa HipHop Bongo, Joh Makini ‘Mwamba wa Kaskazini’ amesema ipo siku atamshirikisha Fid...

READ MORE

Misri Yaitwanga Burkina Faso na Kutinga Fainali ya Afcon

  GABON: Timu ya Taifa ya Misri imefanikiwa kuiong’oa Burkina Faso na kitinga fainali ya Kombe la Mataifa Barani Afrika,...

READ MORE

Messi, Suarez Waitungua Atletico, Griezman Hoi

Barcelona wameifunga Atletico Madrid katika mzunguko wa kwanza wa nusu fainali ya kombe la Copa del Rey katika dimba la...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani DRC, Etienne Tshisekedi Afariki Dunia

Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Etienne Tshisekedi, amefariki dunia mjini Brussels nchini Ubelgiji akiwa na umri...

READ MORE

Pam D: Kifo cha baba kimeniyumbisha kimuziki

Stori: MAYASA MARIWATA MKALI wa Ngoma ya Nimempata, Pamela Daffa ‘Pam D’ ambaye hivi karibuni alipata pigo la kuondokewa na...

READ MORE

Dayna: Nimehenya kutoa video

  MWANADADA anayefanya vizuri kwenye gemu la muziki wa Bongo Fleva kwa sasa na video yake mpya iitwayo Komela aliyomshirikisha...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo, Alhamisi, Feb 2, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Februari 2, 2017. Ni yale ya Hardnews,...

READ MORE

Maji, Papai na Nyanya huifanya ngozi iwe laini

Umechoshwa na makunyanzi na jinsi ngozi yako ya uso inavyozeeka haraka? Badala ya kuhangaika na cream kali za bei mbaya,...

READ MORE

ALFRED SHAURI: Sijawahi Kufeli wala Sijawahi Kufaulu kwa Kiwanngo Ninachokitaka!

Alfred Shauri akizungumza jambo wakati alipotembelea ofisi za Global Publishers leo. Dar es Salaam: KIJANA Alfred Shauri (17), aliyeongoza kwenye...

READ MORE

Shinda Nyumba Yawapagawisha Wakazi wa Chanika

KUFUATIA kuanza kwa mchakato wa Bahati Nasibu ya awamu ya pili ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na kampuni ya Global Publishers...

READ MORE

Serikali Imeamua Kuchukua Hatua Hizi Dhidhi ya Gazeti la MwanaHalisi

Save Shinda Nyumba Awamu ya Pili Yatikisa Jiji la Dar es Salaam

READ MORE

Jaji Mkuu Atembelea Mabanda Wiki ya Sheria Dar

Naibu Msajili wa Mahakama Kuu, Emmanuel Mrangu (aliyesimama katikati) akimpatia ufafanuzi wa jambo Kaimu Jaji Mkuu (aliyekaa) Prof. Ibrahim Hamis...

READ MORE

Jerry Muro Atemwa Yanga

PHILLIP NKIN | CHAMPIONI, Dar es Salaam UNAWEZA kusema kweli hali ya uchumi ni ngumu na Klabu ya Yanga, ime­amua...

READ MORE

Rais Magufuli Awasili Nchini Akitoke Addis Ababa Kwenye Mkutano wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akilakiwa na Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Azam uso kwa uso na mabingwa wa Afrika leo usiku

Azam FC Na Mwandishi Wetu TIMU ya Azam FC, leo saa 1:00 usiku, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa...

READ MORE

Fahamu Sababu za U.T.I kuwapata Wajawazito

Dk. Marise anapatikana Marise Dispensary, njia panda ya Mabibo mkabala na kituo cha mafuta. Simu: 0713 252 394 Na Dk....

READ MORE

Chuchu: Tumefunga Ndoa na Ray

Makala: Mayasa Mariwata | CHAMPIONI KATIKA kila kinachotokea kwa staa kuna mengi huwa yanazungumzwa, mfano mzuri ni baada ya msanii...

READ MORE

Mchekeshaji Idris Alamba Shavu la Ubalozi

Idris Sultan akionesha cheti cha ubalozi alichopewa. DAR ES SALAAM: Msanii mchekeshaji, Idris Sultan leo, Februari 1, 2017 ameteuliwa kuwa...

READ MORE

Jike Shupa Atetea Ushosti na Wema

Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ WAKATI baadhi ya watu wakiusengenya urafiki wa ghafla ulioibuka baina ya Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ na...

READ MORE

Bunge Lapitisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Msaada wa Kisheria wa Mwaka 2016

Dodoma: Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo, Mjini Dodoma limepisha Muswada wa Sheria ya Huduma ya Msaada wa...

READ MORE

Davina Aruka Kimanga Skendo ya Usagaji

HALIMA Yahya ‘Davina’ Na Gladness Mallya: RISASI MCHANGANYIKO HALIMA Yahya ‘Davina’ mmoja wa waigizaji nyota nchini, ambaye amekuwa akitajwa kujihusisha...

READ MORE

Acha Papara, Usikubali Wakuachie Majuto

NINA hasira kama nini hapa mnaponiona, yaani nimevurugwa kabisa. Mwenyewe nilijua timu yangu ndiyo tunachukua ubingwa msimu huu, mara eti...

READ MORE

Mafuta yamepanda kuanzia leo Feb. 1, 2017, Bofya Hapa Kusoma Bei zote

BEI MPYA ZA YA MAFUTA FEB 1, 2017.pdf

READ MORE

Nay: Mimi Siyo Punda, ni Muziki tu

MMOJA kati ya marapa wanaofanya vizuri katika Bongo Fleva kwa sasa, ni Emmanuel Elibariki ambaye mashabiki wanamtambua vizuri zaidi kama...

READ MORE

Hamorapa Jeuri Hii Umeitoa Wapi?

Hamorapa.  DAR ES SALAAM: Akiwa bado anaendelea kutrendi kwa kuitwa ‘Nyani’ katika mitandao ya kijamii, msanii wa kizazi kipya anayefananishwa...

READ MORE

Arsenal ‘Wachezea Vitasa vya Watford

ENGLAND: Matumaini ya Klabu ya Arsenal kutwaa ubingwa wa England yameanza kufifia baada ya jana kuchezea kichapo cha bao 2-1...

READ MORE

Zlatan ampa ushauri kabambe Anthony Martial

Manchester, England STAA wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic amemwambia mshambuliaji wa timu hiyo Anthony Martial, amsikilize kocha wake Jose Mourinho...

READ MORE