×

Habari

Polisi Wanaume Wavalia Moka za Wanawake, Watinga Mtaani!

Maafisa kadhaa wa Jeshi la Polisi wa kiume nchini Uganda, jana Desemba 9, 2026 walivalia viatu vya kike na kushiriki...

READ MORE

Sokwe Mvuta Sigara Awa Gumzo!

Baada ya kutengenishwa na mamake muda mfupi baada ya kuzaliwa, sokwe Manno alisafirishwa hadi nchini Iraq ambapo aliishi akivuta sigara...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Desemba 10, 2016 Yako Hapa

  Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 1o, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Wanasiasa wa Upinzani Burundi Wamkataa Rais Mkapa

BURUNDI: Wanasiasa wa upinzani nchini Burundi walio uhamishoni wamepinga jitihada za aliyekuwa rais wa Tanzania Benjamin William Mkapa za kutatua...

READ MORE

Darassa Atembelea Global, Anavutiwa Na Msuva Wa Yanga

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (kulia) akisalimiana na Rapa Shariff Thabeet maarufu kwa jina la Darassa alipotembelea leo...

READ MORE

Rais Magufuli: Maadhimisho ya Uhuru Dar Mwisho Leo, Yatakuwa Yakifanyikia Dodoma

DAR ES SALAAM: Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanzania Bara zitakuwa zikifanyika mjini Dodoma kuanzia mwaka 2017...

READ MORE

Rais Magufuli Asamehe Wafungwa 5,678

Dar es Salaam. Rais John Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 5,678 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 55 ya...

READ MORE

Yaliyojili Kwenye Sherehe za Maadhimisho ya 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

           DAR ES SALAAM: Leo Desemba 9 Tanzania Bara imeazimisha miaka 55 tangu ilipopata uhuru wake...

READ MORE

Lulu Diva Atambulisha Wimbo Wake wa ‘Milele’ Global TV

Muuza sura kwenye video za Kibongo na msanii mpya wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva,’ akiwa Global TV Online...

READ MORE

Mzee wangu Kilomoni Nakukumbusha… ‘Akili ya Kuambiwa Changanya na yako’

Na John Joseph | Championi TANGU naanza kupata uelewa wa kutambua vitu, nilizikuta Simba na Yanga zikiwa ni klabu kubwa...

READ MORE

Mabweni ya shule ya Secondary ya Ufundi ya Mtwara Yateketea Kwa Moto

      Bweni la wasichana wa shule ya sekondari ya Mtwara ufundi iliyoko katika Manispaa ya Mtwara Mikindani limeteketea kwa moto...

READ MORE

Tiwa Savage Arudiana Kimya Kimya na Mumewe Teja wa Madawa Teebillz

NIGERIA: MWANADADA maarufu kwenye tasnia ya muziki Barabi Afrika, Tiwa Savage amerudiana na mumewe Teebillz baada ya kuachana naye kwa kile...

READ MORE

LIVE: Kutoka Uwanja wa Uhuru Dar, Sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania

UHURU: Rais Magufuli amemaliza kuzungumza na Taifa, amesalimiana viongozi mbalimbali wa serikali na siasa na kuondoka kwenye Uwanja vya Uhuru...

READ MORE

Ishu ya Dhamana Mahakamani, Lema Akumbana na Kikwazo Kingine

ARUSHA: Jana, Desemba 8, 2016, Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, ilishindwa kusikiliza maombi ya kuongezewa muda wa kuwasilisha notisi ya...

READ MORE

‘Meneja wa Dangote Auawa kwa Kutoa Fedha Ndogo Kufidia Mateka’

Istifanus Bello enzi za uhai wake. WATU watatu wanaodaiwa kumteka na kumwua meneja raslimali watu wa kampuni ya Dangote Industries...

READ MORE

Sakata la Faru John: Maofisa 5 wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Mbaroni

ARUSHA: Maofisa watano wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wanaotuhumiwa kushiriki kumwondoa faru John kutoka katika Creta hiyo walikamatwa...

READ MORE

‘Mchawi’ wa Diamond, Ali Kiba, Q-Chillah 2016 Huyu Hapa

    Mwaka 2016 unaelekea ukingoni lakini kuna vionjo vipya vimeingia kwenye tasnia ya Bongo Fleva! Hebu sikiliza kwa makini...

READ MORE

Miaka 55 Ya Uhuru Watanzania Vumilieni

Ni mwanzo wa safari ndefu, huwezi kuanza safari kwa kuwa barabarani ghafla bali utaanza kwa kuvaa nguo na viatu ndio...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Desemba 9, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 09, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Rais JPM Akutana na Ujumbe wa Sudan Kusini, Yumo Mtoto wa Rais Aliyetikisa Mitandaoni Kwa Mavazi Yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC Dkt. John Pombe...

READ MORE

Sirro: Mjimwage Mpendavyo Sikukuu ya Uhuru, Maulid

Dar es Salaam: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa limejipanga kuimarisha utulivu na amani kuelekea...

READ MORE

Manispaa ya China Kushiriki Maendeleo ya Wilaya ya Ilala, Dar

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, akiwa kwenye mkutano na wawakilishi kutoka China. Kushoto ni Meya wa Manispaa ya...

READ MORE

Yanga Kumuaga Mbuyu Twite kwa Mechi Dhidi ya JKU J’mosi

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga SC keshokutwa Jumamosi watamuaga beki wao kiraka ambaye ni raia wa...

READ MORE

Pichaz: Magari 4 Yagongana Mbeya, ni Basi la Abiria, Malori Mawili ya Mizigo na Pick-Up

MBEYA: Basi la abiria mali ya Kampuni ya New Force, malori mawili ya mizigo (ambapo moja ni aina ya Scania...

READ MORE

Video: Mzee wa Miaka 76 Amekuja na Sharti Jipya la Mke Anayemtaka, Wanawake Waanza kuchuana kwa Kasi

 DAR ES SALAAM: MZEE Athuman Mchambua (76), mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally jijini Dar es Salaam ambaye amezua gumzo...

READ MORE

Mawakili Wajitosa Tena Kumtoa Godbless Lema Gerezani

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) akiwa Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha. Licha ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless...

READ MORE

Pichaz: Muonekano Mpya wa Mwanadada Rihanna

  Huu ndiyo muonekano mpya wa Staa wa muziki kutoka Barbados, Robyn Rihanna Fenty maarufu kwa jina la Rihanna. Picha...

READ MORE

JKT Yawataka Wahitimu Kidato cha Sita Ambao Hawakujiunga na Vyuo Kuripoti Des 13

JESHI la Kujenga Taifa kwa mara nyingine tena, linawatangazia wanafunzi wote waliohitimu kidato cha sita mwezi Mei 2016, ambao hawakuchaguliwa...

READ MORE

Serikali Yafafanua Taarifa Zilizoandikwa na Magazeti Kuhusu Mgogoro wa Mpaka wa Tanzania na Malawi Kwenye Ziwa Nyasa

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UFAFANUZI WA TAARIFA ZILIZOANDIKWA NA BAADHI YA MAGAZETI JUU YA MGOGORO WA TANZANIA NA...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Desemba 8, 2016 Yako Hapa

     Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 08, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

JPM Afanya Mabadiliko Mikoani, Wizarani, Ole Sendeka Ateuliwa Kuwa RC wa Njombe, Atengua Uteuzi wa Msajili wa Hazina, Bw. Mafuru

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 07 Desemba, 2016 amefanya uteuzi wa Katibu...

READ MORE

Maonyesho ya Kwanza Bidhaa za Viwanda Nchini Yaanza Dar

MAONYESHO ya bidhaa za viwanda zinazozalishwa hapa nchini yameanza leo kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, Barabara...

READ MORE

Bukoba: Wamachinga Wavamia Kingo za Barabara, Wapanga Bidhaa Kufuatia Agizo la JPM Jana

BUKOBA: Baadhi ya wafanyabiashara ndogondogo katika manispa ya bukoba maarufu kwa jina la wamachinga waliokuwa wameondolewa kwenye maeneo ya kingo...

READ MORE

Mandela Sekondari Chalinze Watembelea Ofisi za Global

Wanafunzi wa Kidato cha tatu kutoka katika Shule ya Sekondari ya Mandela, Chalinze, Mkoa wa Pwani wakiwa katika meza ya...

READ MORE

Ridhiwani Kikwete aendelea na Ziara Jimboni kwake Chalinze

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mh Ridhiwani Kikwete ameendelea na ziara yake ya kushtukiza katika Jimbo lake kukaguwa miradi ya...

READ MORE

Serikali Kuanzisha Tuzo za Mitandao ya Kijamii kwa Wanahabari

Mwandishi wa habari wa mtandao huu, Denis Mtima (kushoto) akikabidhiwa kadi ya kujiunga na mfuko wa hiari wa mwanachama wa...

READ MORE

NEC Yatangaza Ratiba ya Chaguzi Ndogo za Ubunge na Madiwani 22 Utakaofanyika Januari 22

Na Eliphace Marwa – MAELEZO TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza ratiba ya uchukuaji wa fomu za kujaza nafasi zilizo...

READ MORE