The House of Social Media
gunners X
Browsing Category

Hadithi

Simulizi ya Kusisimua… MKATABA – 4

ILIPOISHIA IJUMAA “Vipi kwani?” “Yule matawi ya juu sana, nimeshangaa kuona mnafahamiana tena mna ukaribu.” “Kawaida tu, yupo lakini?” “Kwani yeye amekuelekeza lini hapa?” “Muda kidogo, ni kama miezi minne hivi…

Simulizi ya Kusisimua…. MKATABA – 3

ILIPOISHIA  JUMATANO “Sina uhakika na hili jambo.” “Usinitaje, mimi nimekuambia tu kama shoga yangu. Sisi wote ni wazazi.” “Sawa.” “Lakini jambo lingine linalowashtua zaidi watu ni tabia yake ya kujipenda kupita kiasi. Muda…

OPERESHENI DAKABU

  MUITO wa simu iliyokuwa mezani ulimgutusha pale kitandani alipokuwa amelala, lakini aliipuuza. Simu kwa wakati ule haikuwa na maana kabisa kwake. Msichana mrembo Upendo, alikuwa kando yake, akionyesha kumhitaji sana ndiye aliyekuwa na…

MKATABA – 2

ILIPOISHIA JUMATATU... Haraka mmoja wao akaingia ndani, hakukawia sana, tayari Ustaadhi Alii alikuwa ameshatoka nje, naye alikuwa anatweta. “Vipi Suma?” “Mtihani Ustaadhi.” “Nini?” “Twende nyumbani.” Ustaadhi hakukaidi, wakatoka…

MKATABA – 1

MKATABA - 1 KICHAA cha moyo kilimpanda ghafla Suma. Ni mara ya tatu sasa anamwita msichana huyo lakini haoneshi dalili ya kumwitikia. Suma akazidi kuchanganyikiwa. Kwa nini haitikii? Akajiuliza mwenyewe kichwani mwake bila kupata…