Browsing Category
Hadithi
Simulizi ya Kusisimua…. MKATABA – 3
ILIPOISHIA JUMATANO
“Sina uhakika na hili jambo.”
“Usinitaje, mimi nimekuambia tu kama shoga yangu. Sisi wote ni wazazi.”
“Sawa.”
“Lakini jambo lingine linalowashtua zaidi watu ni tabia yake ya kujipenda kupita kiasi. Muda…
OPERESHENI DAKABU
MUITO wa simu iliyokuwa mezani ulimgutusha pale kitandani alipokuwa amelala, lakini aliipuuza. Simu kwa wakati ule haikuwa na maana kabisa kwake.
Msichana mrembo Upendo, alikuwa kando yake, akionyesha kumhitaji sana ndiye aliyekuwa na…
MKATABA – 2
ILIPOISHIA JUMATATU...
Haraka mmoja wao akaingia ndani, hakukawia sana, tayari Ustaadhi Alii alikuwa ameshatoka nje, naye alikuwa anatweta.
“Vipi Suma?”
“Mtihani Ustaadhi.”
“Nini?”
“Twende nyumbani.”
Ustaadhi hakukaidi, wakatoka…
MKATABA – 1
MKATABA - 1
KICHAA cha moyo kilimpanda ghafla Suma. Ni mara ya tatu sasa anamwita msichana huyo lakini haoneshi dalili ya kumwitikia. Suma akazidi kuchanganyikiwa.
Kwa nini haitikii? Akajiuliza mwenyewe kichwani mwake bila kupata…
Wanasiasa 10 wa upinzani nchini Mali wafungwa jela kwa kuomba kurejeshwa kwa utawala wa kiraia
Mali imewafunga jela wapinzani 10 wa serikali ya kijeshi, wakiwemo viongozi wa upinzani kwa kuomba nchi kurejeshwa chini ya utawala wa kiraia, mawakili wao waliiambia AFP Jumatatu.
Mawakili wamesema watu hao 10, wakiwemo wakuu wa…
Rais Samia Apokea Taarifa Ya Haki Jinai Ikulu Chamwino, Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 15, 2024 amepokea Taarifa ya Haki Jinai Ikulu Chamwilno Mkoni Dodoma .
CRDB Bank Foundation, UNDP Kuwezesha Wajasiriamali Wanawake na Vijana
*CRDB Bank Foundation, UNDP kuwezesha wajasiriamali wanawake na vijana kunufaika na fursa za AfCFTA*
Taasisi yetu ya CRDB Bank Foundation leo imesaini mkataba wa ushirikiano wa miaka 5 na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS(SAA ZA GIZA TOTORO)-30
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
“Mkienda naye kwenye kazi kuwa makini, anaweza kukufanyia makusudi kulipa kisasi, nitajaribu kuzungumza naye kabla hamjaondoka, najua namna ya kumtuliza,” alisema, akaniachia…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS(USIKU WA GIZA TOTORO)-29
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Baada ya hapo, alituamrisha wote kuingia kwenye jengo kubwa kama bwalo hivi, mle ndani mlikuwa kama ‘gym’, kulikuwa na vyuma vingi vya kufanyia mazoezi na vifaa vingine vingi,…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS(SAA ZA GIZA TOTORO)-28
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
“Nataka unitoe upweke ndani ya moyo wangu,” alisema huku akijitoa kwenye mikono yangu, nikamshuhudia akilitoa lile gauni jepesi alilokuwa amevaa, cha kushangaza ni kwamba ndani…
HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS(SAA ZA GIZA TOTORO)-28
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
“Nataka unitoe upweke ndani ya moyo wangu,” alisema huku akijitoa kwenye mikono yangu, nikamshuhudia akilitoa lile gauni jepesi alilokuwa amevaa, cha kushangaza ni kwamba ndani…
HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS(SAA ZA GIZA TOTORO)-27
Mtunzi: HASHIM Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Alikuwa akitaka kuniletea uongo wa waziwazi, bila shaka sote tunawafahamu wale watu wanaofanya kazi mapokezi au kwa kiingereza receptionist. Eti alitaka kuniaminisha kwamba…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS(SAA ZA GIZA TOTORO)-26
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Harakaharaka nilivua shati langu, nikamsaidia na yeye kuvua zake, nikamvutia kifuani kwangu huku nikiwa na papara zisizoelezeka. Mara nilishtuka kusikia mlango ukigongwa kwa…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS(SAA ZA GIZA TOTORO)-25
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Kwa mara ya kwanza nilielewa maana ya mapenzi! Ile hofu niliyokuwa nayo ndani ya moyo wangu iliyeyuka na nikajikuta nikitamani kurudia tena na tena sanaa ile ya kikubwa, naye…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)-24
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Kiukweli bado nilikuwa na hofu kubwa mno ndani ya moyo wangu, kumbukumbu za tukio lililotokea zilikuwa zikiendelea kujirudia kwenye kichwa changu, ikafika mahali kichwa kikawa…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)-23
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Nilijikausha pale chini huku nikishikilia vyuma vinavyoziunganisha siti za gari na ‘chasis’, dereva akaendelea kufanya yake na kiukweli nikiri kwamba maisha yetu kwa wakati…
Simulizi Ya Kusisimua: The Darkest Hours (Saa Za Giza Totoro)- 22
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Dakika chache baadaye, tuliona yale magari yanayotumika kubebea fedha na kuzisambaza kwenye benki mbalimbali, likipita kwenye barabara ya lami huku nyuma likiwa…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 20
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Alitufundisha kwanza kwa maneno huku akituonesha, akatufundisha namna ya kuweka risasi kwenye bunduki na kuzitoa, pia akatufundisha namna ya kuikoki, yaani kuzitoa risasi kwenye…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 18
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Hakukuwa na muda wa kupoteza, mwenye nyumba alipigiwa simu, akaja na kuandikishiana mkataba ambao sasa pale kwenye jina la mpangaji, liliandikwa jina langu na hata sahihi…
HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 17
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Nilipofika tu getini, kabla hata sijagonga, mlango mdogo wa pembeni ulifunguka, mlinzi mwenye silaha, aliyevalia sare maalum alinikaribisha kwa kunionesha tu ishara kwamba…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 16
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
“Hakikisha huyo malaika wa Mungu anafikishwa kwenye mikono salama! Tumia akili yako kujua utafanya nini, lakini nataka awe salama lakini asiache alama yoyote inayoweza…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 15
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Nilichukua mfuko na kuuweka vizuri, nikafungua zipu na kuingia nao ndani ya lile gari ambalo lilikuwa likinuka damu, tena damu mbichi. Nilishindwa kumtazama yule mtu kwa…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 13
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Nilimuelekeza na kweli muda mfupi baadaye tayari tulikuwa tukipita kwenye njia ya kuelekea nyumbani lakini safari hii tulikuwa tukienda kwenye mwendo wa taratibu kwa hiyo…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 12
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
“Anaumwa sana, madaktari wamesema hawaoni ugonjwa na hivi tunavyoongea amekata kauli, yaani wa leo wa kesho!” nilisema huku nikijisikia uchungu mkali sana ndani ya moyo…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 11
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Ilionesha ni kama wanafahamiana kwa jinsi walivyokuwa wanachangamkiana. Muda mfupi baadaye, meza ilikuwa imejaa vinywaji, kuanzia pombe kali, bia za kawaida na pakti mbili za…
HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 10
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Licha ya kukimbia kwa kadiri ya uwezo wangu, yule konda bado alikuwa akija kwa kasi ya kimbunga, nikashtukia akinikata mtama wa nguvu kutokea nyuma, nikaruka na kudondoka…
SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 9
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
“Mimi pia nataka afe, na nitahakikisha namuua kwa mikono yangu.”
“Sikia Snox, usifanye maamuzi kwa hasira. Kwa hali uliyonayo hivi sasa, unatakiwa kwanza…
HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 8
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Ghafla niliinuka huku ‘bomba’ likiwa mkononi, kidole kikiwa kwenye ‘trigger’, nikazichekecha kwa mtindo wa kufagia kutoka kushoto kwenda kulia lakini ghafla nilihisi kitu…
HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 6
MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Pale nilipokuwa nimesimama, karibu na ukuta, kulikuwa na mtaro, ile inayochimbwa kandokando ya barabara. Kwa sababu maeneo mengi ya Masaki na Mikocheni yana kama asili ya majimaji,…
HADITHI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 5
Mtunzi: Hashim Aziz (Hashpower)
0719401968
ILIPOISHIA:
Basi niliingia ndani kimyakimya na nikaiweka vizuri bunduki yangu, tayari kwa chochote. Basi nilienda moja kwa moja mpaka kwenye vyoo vya uani, nikaingia kwenye moja kati ya vyoo…
Zari Amchamba Mondi Laivu Bila Chenga
ZARI The Boss Lady; ni baby mama wa supastaa wa muziki barani Afrika, Diamond Platnumz anayeiwakilisha vyema Tanzania ambaye ametema nyongo kwa kumchapa jamaa huyo laivu bila chenga.
Ikumbukwe kwamba, Zari; raia wa Uganda anayeishi…
Wasanii Shangwe Kama Lote Na Rais Samia
LEO ni maazimisho ya siku ya kuzaliwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan; “Happy Birthday Mama” ndiyo habari ya mjini.
Pamoja na watu wengi makumi kwa mamia kama siyo maalfu na mamilioni kumtakia heri Rais Samia katika siku yake…
Sikiliza Hadithi za Shigongo Kwenye Simu Yako
MAELFU ya watu wanasikiliza hadithi nzuri, za kusisimua za Eric Shigongo KWA NJIA YA SAUTI kupitia simu yako ya mkononi📱 Kasikilize uhundo huu kutoka VODACOM msimu huu wa SIKUKUKU🎅🏾. PIGA SIMU NAMBA 0901 767676.…
Shuga Sukari sehemu ya 13
“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na nyuma amefungasha wowowo
utasema wako wawili. Mtaani kwao walikuwa wakimuita kwa jina la Bonge, hata mimi siku za…
Shuga Sukari sehemu ya 12
“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na nyuma amefungasha wowowo
utasema wako wawili. Mtaani kwao walikuwa wakimuita kwa jina la Bonge, hata mimi siku za…
Shuga Sukari sehemu ya 11
“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na nyuma amefungasha wowowo
utasema wako wawili. Mtaani kwao walikuwa wakimuita kwa jina la Bonge, hata mimi siku za…
Hili Ndilo Kabila la Wala Watu, Ukifiwa Unakatwa Kidole
UKIHADITHIWA tu na mtu yeyote unaweza kusema ni hadithi ya kutungwa, lakini ukweli ni kwamba kuna watu huko kwenye visiwa vya Papua New Guinea ambavyo vimezungukwa na bahari inayoitwa Bismarck Sea wanakula binadamu wenzao.
Nchi hiyo…
Shuga Sukari sehemu ya 10
“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na nyuma amefungasha wowowo
utasema wako wawili. Mtaani kwao walikuwa wakimuita kwa jina la Bonge, hata mimi siku za…
Shuga Sukari sehemu ya 9
“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na nyuma amefungasha wowowo
utasema wako wawili. Mtaani kwao walikuwa wakimuita kwa jina la Bonge, hata mimi siku za…