×

Ijumaa

JOHARI, RAY WAFIKA PABAYA

    DAR ES SALAAM: Mastaa wahenga Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ na Vincent Kigosi ‘Ray’ wamefika pabaya baada ya...

READ MORE

CHUNGA SANA USIKOSEE KUOA , KUOLEWA

UHUSIANO wa kimapenzi siku zote unajengwa na imani. Wapendanao wanapaswa kuaminiana kwa asilimia mia. Waswahili wanakuambia bora ukosee njia lakini...

READ MORE

SIRI JOKATE KUMZIDI UWOYA ZAFICHUKA!

WANAOWEWESEKEA uteuzi wa Miss Tanzania Namba 2, 2006, Jokate Mwegelo wameibua mapya, kwamba harakati za kusaka uongozi wa umma alizofanya...

READ MORE

FEZA KESSY APIGA CHINI UTANGAZAJI , AMFUNGUKIA MWANAYE

FEZA Kessy aka Manzi ya Arusha ni miongoni mwa mastaa ambao wamepata nafasi ya kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania nje...

READ MORE

LINAH ASIMULIA ALIVYOKUTANA NA SHABANI BENKI

MPENZI msomaji tunazidi kuinjoi simulizi za watu mbalimbali juu ya namna walivyokutana na kuanzisha uhusiano wa kimapenzi.  Wiki iliyopita tuliwaona mastaa...

READ MORE

 KIFESI AFUNGUKA UHUSIANO WAKE NA ZARI, DIAMOND‘ ALIVYOMBLOCK’

MITANDAO ya kijamii hasa Instagram kwa sasa ndiyo habari ya mjini. Huku mastaa wanajiachia kwa kuweka mambo yao mbalimbali bila...

READ MORE

ATHARI ZA MWANAMKE KUTOFIKA KILELENI KWENYE TENDO LA NDOA

TATIZO hili la mwanamke kutofikishwa kileleni wakati wa kujamiiana huitwa ‘Female Orgasmic Disorders’ kufika kileleni tunaita ‘orgasm’ au ‘climax’. Kila...

READ MORE

Familia Ya Diamond Yasusia Bethidei Ya Mtoto

MAMBO ni hivi! Familia ya staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ imesusia mwaliko wa bethidei wa mwanamitindo...

READ MORE

Muna Aibua Mapya Mavazi ya Mwanaye

KISHINDO kifo cha mtoto wa msanii Rose Alphonce ‘Muna’, Patrick Peter kingali kikivuma na kusababisha mapya kila uchwao, safari hii...

READ MORE

Siri Jokate Kuteuliwa Mkuu wa Wilaya

  MTU akipata mafanikio ya kushangaza, imezoeleka na wengi kuuliza: “Hebu nipe siri ya mafanikio yako?” Hata kwa Miss Tanzania...

READ MORE

Nandy ‘Achojoa’ Nguo Kiatu Jukwaani!

KUONESHA mzuka umemkolea, msanii wa Kizazi Kipya zao kutoka Jumba la Kuibua Vipaji Tanzania (THT), Faustina Charles ‘Nandy’ amejikuta akishindwa...

READ MORE

MAJIBU YA UKIMWI YA DIAMOND GUMZO!

DAR ES SALAAM: Baada ya mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuanika stika inyaoonesha amepima magonjwa yote, gumzo...

READ MORE

FAMILIA YA KIBA; MIEZI 3, NDOA 3

IKIWA zimebaki siku saba kufikia ndoa ya mwanadada Zabibu kiba ambaye ni dada wa mkali wa Bongo Fleva, Ali Saleh...

READ MORE

MWANAMKE KUKOSA MSISIMKO WA TENDO LA NDOA

  TATIZO hili la mwanamke kukosa msisimko wa tendo la ndoa kitaalamu tunaita ‘Female Sexual arousal disorder’. Mwanamke akiwa na...

READ MORE

FATMA KARUME; MWANAMKE WA CHUMA

UNA msemo wa Wahenga kutoka Magharibi mwa Tanzania mkoani Kigoma unasema; Mungu anatoa, hana choyo, usipomuomba pia anakuwa ghali. Kesho...

READ MORE

KUNA TATIZO KWA MWANAMKE KUMTONGOZA MWANAUME?

DUNIA inakwenda kwa kasi kwelikweli, yale ambayo miaka kadhaa iliyopita yalikuwa hayawezekani, hivi sasa yanawezekana.   Utandawazi umeleta mabadiliko makubwa...

READ MORE

RICH MAVOKO KWA WCB, IMEBAKI STORI !

“MWAKA 2010 nilitoa wimbo wangu wa kwanza wa Uzuri Wako, kazi hii ilikuwa ina vikwazo vingi sana ila tukafanikisha lokesheni,...

READ MORE

AUNT EZEKIEL: WEMA ALINIFANYA NIMJUE IYOBO

MAMBO yanazidi kunoga katika safu hii ya Siku ya Kwanza Kukutana, leo tunaye mrembo kutoka Bongo Movies, Aunt Ezekiel ambaye...

READ MORE

DIA MOND ACHARUKIA USHOGA!

KUFUATIA kusambaa kwa picha zikimuonesha akiwa ametinga kikuku mguuni kisha kushambuliwa akihusishwa na skendo ya ushoga, hatimaye staa wa Afro-Pop,...

READ MORE

WATATU WAUAWA MIKONONI MWA POLISI

UTATA mkubwa umeibuka kufuatia vifo vya vijana watatu waliotajwa kwa majina ya Ismail Linyembe, Twahir Said ‘Gama’ na Iddi Said...

READ MORE

BABU TALE AFUNGUKA MAVOKO KUTIMULIWA WCB

BAADA ya kuzagaa kwa madai kwamba msanii wa Bongo Fleva, Rich Mavoko ambaye yuko kwenye Kundi la WCB ambalo mkurugenzi...

READ MORE

MUNA LOVE; WAKATI MWINGINE KUKAA KIMYA HUEPUSHA MENGI

  BADO msiba wa mtoto Patrick wa msanii wa filamu za Kibongo, Rose Alphonce ‘Muna Love’ haujasahaulika! Bado sarakasi zilizotokea...

READ MORE

ROMA AGAWA MAGAZETI YA GLOBAL, KUPIGA SHOO DAR LIVE J2

Mwanamuziki wa Hip Hop Bongo, Roma Mkatoliki juzi Jumatano alihamsha shangwe za kutosha kwa mashabiki wake baada ya kufanya sapraiz...

READ MORE

UNARINGIA SHEPU , UZURI, FARAGHA UNAJIMUDU?

ULIMWENGU wa sasa umejaa wanawake wazuri sana, kila unayemuangalia unaona kuna vitu f’lani Mungu kamjaalia. Unaweza kukutana na msichana ambaye...

READ MORE

Mainda: Mitandao Imeharibu Msiba wa Patrick

MKONGWE kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kwa uchungu kuwa, kama sio timu za kwenye mitandao ya...

READ MORE

Sajenti Aeleza Alivyoachiwa Kovu Na Mtoto Patrick

STAA wa filamu kutoka Bongo Movie, Husna Idd ‘Sajenti’ ameeleza machungu yake kwa aliyekuwa mtoto wa msanii mwenzake ambaye ni...

READ MORE

HIKI NDICHO WANAWAKE WENGI WANAKOSAGA KWA WAUME ZAO

NI wiki nyingine ninapokukaribisha mpenzi msomaji wangu katika ukurasa huu mzuri. Leo ningependa tujadiliane kuhusu jambo hili ambalo kwa kiasi...

READ MORE

WALIOIUA TWANGA NDIYO WALIOIZIKA DANSI

AFRICAN Stars Band ‘Twanga Pepeta’ imefuLia ile mbaya! Walich-okuwa hawa-kitaki wenye be-ndi hiyo yaani ku-pi-ga sh-oo kwe-nye ku-mbi za usw-azi...

READ MORE

WAKONTA ATAKAVYOITENDEA HAKI MILIONI 55 YA JPM NA MENGI

BINGO! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mwanadada Wakonta Kapunda, kujipatia fedha taslimu zaidi ya shilingi milioni hamsini na tano (55),...

READ MORE

NANCY SUMARI MWANADADA WA CHUMA ‘SPECIAL’ KWA TAIFA

UNAPOMZUNGUMZIA Nancy Abraham Sumari, hakika unataja jina la miongoni mwa kinadada ‘special’ wa taifa hili ambao wana mchango mkubwa kwenye...

READ MORE

TARAJI AFUNGA NDOA YA SIRI!

MUIGIZAJI maarufu nchini Marekani, Taraji P Henson amefunga ndoa ya siri na mpenzi wake ambaye inasadikika walikuwa na uhusiano wa...

READ MORE

VERA SIDIKA KUMPELEKA MPENZ WAKE UKWENI

BAADA ya kukinukisha katika mitandao na TV, muuza nyago ambaye pia ni mwanamitindo maarufu kutoka pande za Kenya, Vera Sidika...

READ MORE

DIAMOND, BAUNSA WAKE WAFIKA PABAYA!

PENYE siri iliyofichwa na wengi husubiri wakati na sababu ili ifichuke, ndiyo maana Waswahili husema ‘hakuna siri ya watu wawili,’...

READ MORE

Mastaa Hawa… Kwa Tiffah Watapata Tabu Sana!

KUWA mtu maarufu ni jambo moja, ‘ku-maintain’ huo umaarufu huwa ni jambo lingine tofauti. Unaweza kuwa maarufu kwa maana ya...

READ MORE

Ntuyabaliwe: Ukiwa na Ndoto, ota Ndoto Kubwa Kupindukia

MIONGONI mwa vitu ambavyo Hawezi kukwepa mwanamama Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi, ni historia yake kwamba aliwahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2000,...

READ MORE

CHRIS BROWN AMPONZA KARRUECHE

GUNDU! Unaweza sema hivyo kwa maana nyingine baada ya mwanamitindo ambaye pia ni staa wa filamu, Karrueche Tran ‘kupigwa kibuti’...

READ MORE

LUPITA KUPEWA HESHIMA HOLLYWOOD

MDADA mwenye asili ya Kenya na Mexico, Lupita Nyong’o amezidi kupeta ambapo safari hii anatarajiwa kupewa tuzo kubwa ya heshima...

READ MORE

SIRI BABA WA ALIKIBA ZAFICHUKA

BAADA ya ukimya wa muda mrefu wa mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Ally Salehe Kiba, mzee Salehe hatimaye Ijumaa...

READ MORE

Jux… Huku ni Kuzubaa, Ushamba, Woga au Kuridhika?

BOB Manecky ni mmoja kati ya maprodyuza naweza sema waliofanikisha kwa kiasi kikubwa safari ya muziki wa Juma Khalid ‘Jux’....

READ MORE

Huddah Aasili Mtoto

Huddah Monroe ‘The Boss Chick’ BAADA ya kukaa muda mrefu bila kupata mtoto, muuza nyago kwenye mitandao na mjasiriamali, Huddah...

READ MORE