×

Kitaifa

Sirro Atoa Kauli Sakata la RC Dar Kuvamia Clouds Media

DAR ES SALAAM: Kamishna wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro,  amesema uchunguzi wa tuhuma...

READ MORE

VIDEO: Sirro Afafanua Utata wa Kifo cha Denti UDSM Aliyedaiwa Kuuawa na Polisi

DAR ES SALAAM: KAMISHNA wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro,  amesema jeshi la polisi...

READ MORE

Vodacom Kumwaga Zawadi Kwa Washindi Ligi Kuu

Wadhamini wa kuu wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC inatarajia kutoa zawadi kwa...

READ MORE

SINGIDA: Polisi Wanamshikilia Mtuhumiwa kwa Kukutwa na Viungo vya Binadamu

Jeshi la Polisi mkoani Singida lina mshikilia mkazi moja wa mkoa wa Tabora wilaya ya Igunga wa kijiji cha Itumba...

READ MORE

Mtoto wa Miaka 12 Auawa, Anyofolewa Sehemu za Siri na Macho

Katika hali isiyokuwa ya kawaida mtoto wa miaka 12, Dorcas Meshak mkazi wa kitongoji cha Mbughantigha kijiji cha Matongo tarafa...

READ MORE

Shinda Nyumba Kibamba Hapatoshi Leo

Na Mwandishi Wetu | IJUMAA WIKIENDA WAKAZI wa mitaa ya Kibamba na vitongoji vyake, nje kidogo ya Jiji la Dar...

READ MORE

Askofu Gwajima Ataja Njia Mbadala ya Kuwabaini Wahusika wa Mauaji Kibiti

Askofu  wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema Serikali inapaswa kuwashirikisha viongozi wa dini katika kupambana na mauaji...

READ MORE

Kumbukumbu ya Kuzama kwa Meli ya MV Bukoba Mei 21, 1996

Meli ya MV Bukoba ikiwa Ziwa Victoria wakati ilipokuwa ikitoa huduma ya usafirishaji kabla ya kuzama. KIUKWELI tarehe kama ya...

READ MORE

GLOBAL TV Online: Tamthilia ya Jumba la Dhahabu – Sehemu ya 9 …Itaendelea leo Saa 12:00 Jioni

SUBSCRIBE NOW: https://www.youtube.com/user/uwazi1 GLOBAL TV Online inakuletea mfululizo wa Tamthilia maarufu. Naamini uliiona lakini haikua yote au ulisikia ubora wa...

READ MORE

Watuhumiwa wa Mauaji Kibiti Watiwa Mbaroni

Mkuu  wa Wilaya ya Rufiji, ambaye pia anakaimu Wilaya ya Kibiti, Juma Njwayo,  amesema vyombo vya dola vimewakamata watu wengi...

READ MORE

TGNP Yawapa 5 Wanafunzi wa Kike Elimu ya Juu

Mtandao wa Wanawake Tanzania (TGNP)  umesema kuwa tatizo linalowakabili wasichana wengi hapa nchini ni changamoto ya masuala ya mapenzi wakiwa...

READ MORE

Meya Arusha Aachiwa, Amkomalia RC Gambo

ARUSHA: Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro amesema kuwa ataelekeza fedha zote za rambirambi kwa wafiwa  badala ya kuzipeleka kwa...

READ MORE

Picha: Rais Magufuli kuongoza Mkutano wa18 wa Wakuu wa EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea jambo na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni...

READ MORE

MWANZA: Polisi Waua Majambazi Watatu -(Video)

MWANZA: Polisi mkoani Mwanza wamewaua watuhumiwa watatu wa ujambazi baada ya majibizano ya risasi kati yao na askari wa jeshi...

READ MORE

BREAKING NEWS: Majambazi Wanne Wauawa na Polisi Kariakoo (Pichaz)

DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi limewaua watu wanne wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakati wakivamia maduka Kariakoo, Mtaa wa Aggrey...

READ MORE

PICHAZ: Dogo Mfaume Alivyozikwa Dar

JUZI JUMATANO, Mei 17, 2017 tasnia ya muziki wa Bongo ilikumbwa na msiba mkubwa baada ya kuondokewa na msanii Mfaume...

READ MORE

Maagizo Mapya ya Makamu wa Rais kwa Wizara ya Ardhi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameagiza kufanyika...

READ MORE

Makamu wa Rais Atoa Onyo kwa Makatibu Mahsusi Wanaotoa Siri za Serikali

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amewaagiza Makatibu Mahsusi nchini kufanya kazi kwa...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Aanika Maisha Yake

Makala: Brighton Masalu | IJUMAA HIVI karibuni gazeti hili namba moja kwa kuchimbua undani wa maisha ya watu maarufu, lilipiga...

READ MORE

Wema kwa Hili la Mihela, wa Kukuoa….

NA OJUKU ABRAHAM | IJUMAA| ZA CHEMBE WEMA Sepetu, kwangu ni miongoni mwa wasanii waigizaji wa kike wanaojua nini wanafanya...

READ MORE

PICHAZ: Taswira ya Msiba wa Dogo Mfaume Nyumbani Kwao Chanika – Dar

  KUFUATIA kifo cha aliyekuwa Msanii wa Bongo Fleva, Mfaume Selemani ‘Dogo Mfaume’, aliyetamba zaidi na wimbo wake wa Kazi...

READ MORE

Baada ya Agizo la Mwigulu… Huu ni Msimamo wa Jeshi la Polisi Kuhusu PF3

Baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba kutoa taarifa kupitia ukurasa wake wa Facebook kuwa kuanzia...

READ MORE

Shinda Nyumba Yawavutia Wananchi wa Vijijini

BAHATI Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Ijumaa, Championi,...

READ MORE

Zantel Yazindua Vifurushi vya Bure Kwa Mitandao Yote ya Kijamii

Meneja wa Data na Vifaa vya intaneti Zantel, Hamza Zuheri (kulia) na Meneja wa Muziki na uendeshaji Mdundo.com, Prisna Nicholaus...

READ MORE

Marekani: Mtoto Doreen Amemaliza Kufanyiwa Upasuaji wa Uti wa Mgongo

Taarifa ya Mbunge Lazaro Nyalandu Latest UPDATE: Mei 18, Alhamisi Saa 4:30 Usiku (Masaa ya Afrika Mashariki) Habari za HIVI...

READ MORE

Fuatilia LIVE Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Ijumaa Mei, 19

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake vya Bunge mjini Dodoma asubuhi hii katika Mkutano wa...

READ MORE

Shinda Nyumba Yatinga Maeneo ya Pembezoni

BAHATI Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Ijumaa, Championi,...

READ MORE

Wanafunzi Waadhimisha Siku ya Umuhimu wa Mimea Duniani

Taasisi ya kimataifa ya utafiti wa kilimo cha kitropiki (IITA) leo imeadhimisha na wanafunzi Siku ya Umuhimu wa Mimea Duniani...

READ MORE

Halotel Yatoa Ufafanuzi wa Kesi Iliyokuwa Inaikabili

DAR ES SALAAM: Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Mkononi ya Halotel imetoa ufafanuzi kuhusu  tuhuma zilizokuwa  zinaikabili kampuni hiyo...

READ MORE

Trust Care Tanzania, TTCL kuwajengea uwezo wanafunzi vyuo vikuu

  SHIRIKA la Trust Care Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wameandaa semina ya kuwajengea uwezo...

READ MORE

Meya wa Arusha, Waandishi 10, Wakamatwa Wakiwa Lucky Vincent

Wamiliki wa Shule Binafsi waliyokwenda kutoa rambirambi katika Shule ya Msingi ya Lucky Vincent kufuatia ajali iliyouwa watu 35 hivi...

READ MORE

TANZIA: Mfanyakazi wa Global Afiwa na Mama’ke

    Na Dustan Shekidele, Morogoro Dereva wa Kampuni ya Global Publishers, Heladius Banzi amepata pigo baada ya kufiwa na...

READ MORE

Mwigulu: Matibabu Kwanza PF3 Baadaye

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba amesema kuanzia sasa mtu yoyote atayeweza kupata majeraha yasiyokuwa na...

READ MORE

Shinda Nyumba Awamu ya Pili Bado Inazidi Kupeta Mitaa Mbalimbali

KWA uchunguzi uliofanywa na Gazeti la Amani, inaonesha kuwa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili bado inazidi kupeta...

READ MORE

Kiongozi Mwingine Auawa kwa Risasi Rufiji – Pwani

Kibiti: Mwenyekiti wa CCM tawi la Njia nne Iddy Kirungi liliopo katika kijiji cha Muyuyu Kata ya Mtunda wilayani hapa...

READ MORE

Undani wa Kifo cha Dogo Mfaume na Ugonjwa Uliomuua, Uswahilini Simanzi tupu

Dogo Mfaume – Kazi Ya Dukani (Official Video) STORI: MWANDISHI WETU | AMANI | DAR ES SALAAM DAR ES SALAAM:...

READ MORE

Kisa Ajali ya Wanafunzi Arusha…‘School Bus’ Sasa Zawahenyesha Wazazi

STORI: MWANDISHI WETU | AMANI | DAR ES SALAAM DAR ES SALAAM: Baadhi ya wazazi wenye watoto wanaosoma shule za...

READ MORE

Mke wa Kiongozi wa CCM, Kibiti Asimulia Mumewe Alivyouawa Kwa Risasi 10

STORI: WAANDISHI WETU | UWAZI | HABARI Pwani: Hali inazidi kuwa mbaya katika Wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga za...

READ MORE

VIDEO: Kama Serikali Mtayumba Katika Hili…. Wanakusini Hatutakubali -Nape

MBUNGE wa Mtama, Lindi (CCM), Nape Nnauye ameitaka serikali kuweka misingi thabiti ya utekelezwaji wa ujenzi wa viwanda hapa nchini...

READ MORE