×

Kitaifa

Mechi Ya Simba Vs Yanga, Gazeti la Championi Lagombaniwa

Wakati Mashabiki na wapenzi wa mpira wa miguu Tanzania wakimiminika katika uwanja wa Benjamin Mkapa kushuhudia mechi ya watani wa...

READ MORE

Machinga Iringa Wagoma Kuondoka

WAFANYABIASHARA wadogo wadogo (machinga) wa Manispaa ya Iringa wamesema kuwa hawapo tayari kuondoka katika eneo la Mashine Tatu na Miomboni...

READ MORE

Vijana Walioitwa Kwenye Usaili Kujiunga na Jeshi la Polisi

Jeshi la Polisi linapenda kuwatangazia kuwa usaili wa vijana wenye elimu ya shahada, stashahada na astashahada ambao walioomba kujiunga na...

READ MORE

Adaiwa Kubaka Mtoto wa Kambo wa Miaka 6

JESHI la polisi mkoani Simiyu linamshikilia mkazi wa kata ya Dutwa kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka...

READ MORE

Moto Uliozuka Chini ya Ardhi Wazua Taharuki – Video

MOTO uliozuka chini ya ardhi, kando ya Mto Uwashi, kijiji cha Momwe, wilayani Rombo na kuzua taharuki kwa wananchi imebainika...

READ MORE

Jamaa Achoma Nyumba Ya Mpenzi Wake, Mwingine Auawa -Video

  KATIKA hali ya kusikitisha, mwanamama Felista Michael mkazi wa kijiji cha Wama, Kata ya Gisambala wilayani Hanang Mkoani Manyara...

READ MORE

TRA Yamkana Ole Sabaya

Kaimu meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Arusha, Kayobyo Majogolo(41) ambaye ni shahidi wa pili katika kesi...

READ MORE

Vijana Wawili Wahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa Baada ya Kukutwa na Hatia ya Kumteka Mtoto na Kumuuwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Kigoma, imewahukumu watu wawili kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuteka mtoto wa...

READ MORE

Sabaya Atua Mahakamani na Jezi ya Wananchi – Video

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kusikiliza...

READ MORE

Binti wa Miaka 21 Akutwa na Meno ya Tembo – Video

JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limewakamata watu wawili (mwanamke mwenye umri wa miaka 21 na mwanaume mwenye umri...

READ MORE

Mshtakiwa Kesi ya Mbowe Adai Kuning’inizwa na Polisi Kama Mshikaki

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imeanza kusikiliza mashahidi wa upande wa utetezi katika...

READ MORE

Kesi Ndogo ya Mbowe… Jamhuri Yafunga Ushahidi Wake

Kutoka katika chumba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, shahidi wa nne kati...

READ MORE

Makalla Awataka Machinga Bunju Waondoke Juu ya Mitaro

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amewataka wamachinga walioweka vibanda vyao juu ya mitaro katika eneo la...

READ MORE

Watu Wasiojulikana Wavunja Mabanda ya Machinga Usiku – Video

  TAHARUKI ya aina yake imetokea maeneo ya Scania, Kata ya Kiwalani jijini Dar baada ya watu wasiojulikana kuvamia na...

READ MORE

Mwandishi Gabriel Kandonga Afariki kwa Ajali – Video

Mwandishi wa ITV na Radio one mkoa wa Songwe,Gabriel Kandonga amefariki kwa ajali alfajiri ya leo akiwa njiani kuungana na...

READ MORE

Rais Samia Alivyohutubia Mkutano wa UN – New York – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amegusia janga la UVIKO-19, mabadiliko ya tabia nchi na swala...

READ MORE

Shahidi: Sabaya Hakuwa na Kibali cha Kutoka Nje ya Kituo cha Kazi

Ofisa wa juu katika Wizara ya Fedha na Mipango, Renatus Msangira (45) ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kuwa aliyekuwa...

READ MORE

Samia Aikaribisha Marekani, Ulaya Kuwekeza Tanzania

KABLA kuhutubia ulimwengu kwenye mkutano wa 76 wa Baraza la Umoja wa Mataifa (UNGA), Rais Samia Suluhu Hassan amewakaribisha wafanyabiashara...

READ MORE

Wanahabari Wapata Ajali Geita

Waandishi wa habari mkoani Geita, Consolata Evarist wa Global TV, Esther Sumira wa Azam TV na Muta Robert wa Majira,...

READ MORE

Msajili wa Vyama Akutana na Timu ya IGP Sirro

Msajili wa vyama vya siasa, Jaji Francis Mutungi leo amekutana na maafisa wakuu waandamizi wa Makao Makuu ya Jeshi la...

READ MORE

Simba, Yanga Msibebe Matokeo Mkononi

PRESHA kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi ya...

READ MORE

Jeneza Lililozua Kizaazaa Arusha, Mmiliki Afungukia Utapeli – Video

Muda mfupi baada ya tukio lisilo la kawaida kuzua kizaazaa mkoani Arusha baada ya jeneza lenye mkungu wa ndizi ndani...

READ MORE

Anayedai Kuwa Mtoto Wa Mzee Yusuf Aibuka; Baba Amenikataa – Video

Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Hamad Hassan Mashauri mwenye umri wa miaka 18, mkazi wa Charambe Magengeni jijini Dar...

READ MORE

Waziri Mkuu Aipongeza GGML Kuajiri Watanzania 5,000

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu Geita (GGML) kwa kutoa ajira zaidi ya 5000 kwa Watanzania huku...

READ MORE

Kampeni ya ‘Vuna zaidi na NBC Shambani’ Yatua kwa Walima Korosho

Changamoto ya huduma za kifedha iliyokuwa ikiwakabili wakulima wa korosho mikoa ya Mtwara na Lindi ikiwemo kutopata mikopo kwa wakati...

READ MORE

Unatakiwa Kula Angalau Kg 15 za Nyama kwa Mwaka

  WIZARA ya Mifugo na Uvuvi, imesema bado ulaji wa nyama nchini ni mdogo, ukilinganisha na kiwango cha ulaji wa...

READ MORE

Mtambo Achangia Ujenzi Zahanati ya Kijiji Dondo

  Aliyekuwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani mwaka 2020 kupitia ACT Wazalendo, Mhandisi Mohamed Mtambo amechangia Shilingi...

READ MORE

RC Makalla: Awapa Wiki Moja Makahaba Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla ametoa wiki moja kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwa kushirikiana...

READ MORE

Chanzo cha Shule ya Sekondari Gichameda Kuteketea kwa Moto

KUFUATIA tukio la moto kuteketeza ofisi ya walimu katika shule secondari ya Gichameda iliyopo wilaya ya Babati mkoani Manyara, Jeshi...

READ MORE

Jeneza Latelekezwa Likiwa na Mkungu Wa Ndizi – Video

Tukio lisilo la kawaida, limezua kizaazaa mkoani Arusha baada ya wakazi wa Mtaa wa Bondeni, Kata ya Endaseni wilayani Arumeru,...

READ MORE

Waziri Gwajima Akabidhi Magari Mikoa Sita

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, amekabidhi magari kwa ajili ya ufuatiliaji wa...

READ MORE

Sheikh Mkuu Dar: Mtaani Mtu Anajipa tu Uaskofu

SHEIKH wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Alhad Mussa Salum amebainisha mambo mawili ambayo dini za Kiislamu na...

READ MORE

Breaking: Tundu Lissu Afutiwa Kesi

Kesi ya jinai namba 208/2016 ya Jamhuri dhidi ya Tundu Lissu, Jabir Idrissa na wenzao wawili imefutwa katika Mahakama ya...

READ MORE

Mtoto Asimulia Alivyoshuhudia Mauaji ya Mama Yake Kinyama – Video

MAPYA yameibuka kuhusu tukio la mauaji ya kikatili lililotokea katika Mtaa wa Kifuru- Msitu wa Nyuki, Kinyerezi jijini Dar es...

READ MORE

Mtoto Anayedaiwa Kuuawa na Dada wa Kazi Aagwa

HATIMAYE mwili wa mtoto Talia Essau Moshi mwenye umri wa miaka minne ambaye anadaiwa kuuawa kutokana na kupigwa na msichana...

READ MORE

Songwe: Askari Polisi 7 Wafukuzwa Kazi

JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe limewafukuza kazi askari wake saba wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani...

READ MORE

Waandishi Global TV na Dar Mpya Apata Ajali Tabora – Video

MWANDISHI wa habari wa Global TV, ambaye kituo chake cha kazi ni jijini Dodoma, Mohamed Zengwa (pichani chini) na wenzake...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa UN Marekani – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 20 Septemba, 2021 ameshiriki Mkutano wa Umoja...

READ MORE

Mrema Aongea kwa Uchungu Akimuaga Marehemu Mkewe – Video

MWILI wa mke wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Mzee Augustine Mrema, mama Rose Mrema umeagawa nyumbani...

READ MORE

NMB Yashinda Tuzo nne za Kimataifa

  Katika kudhihirisha ubora na upekee wa huduma zake, Benki ya NMB imeshinda tuzo nne za kimataifa zote zikiitaja kuwa...

READ MORE