×

Kitaifa

Waziri Ummy Apiga Marufuku Matumizi ya ‘Fedha Mbichi’

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amepiga marufuku kwa matumizi...

READ MORE

Walimu Wagoma Kufundisha Kisa Mishahara

ZIADI ya wanafunzi 130 wa kidato cha kwanza hadi cha nne katika shule ya sekondari Tabasamu, iliyopo Nyasaka, Ilemela mkoani...

READ MORE

Daraja Lililogharimu Milioni 31 Morogoro

MIEZI Saba ya mafanikio! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mbunge wa Jimbo la Mlimba Mkoani Morogoro, Godwin Kunambi kufanikisha ujenzi...

READ MORE

Tanzia: Malcom Masoud Kipanya Afariki Dunia

MALCOM Ally Masoud Kipanya ni mtoto wa mtangazaji maarufu na mchora katuni, Masoud Kipanya na Sara Chande amefariki dunia leo...

READ MORE

Waziri Mkenda Atoboa Siri Jinsi Mshindo Msola Alivyoisaidia Nchi

  Serikali imetangaza unafuu kwa wakulima kwa mbolea za kupandia aina ya NPS na NPS Zink ambazo zitauzwa kwa kiwango...

READ MORE

Shahidi Kesi ya Sabaya Aangua Kilio Mahakamani “Alitaka Kunipiga Bastola”

Shahidi wa sita wa Jamhuri katika kesi ya unyan’ganyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai...

READ MORE

Mjane Auawa Kisa Mgogoro wa Mirathi

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Emma Mfikwa umri (43) ameuawa kikatili kwa vitu vyenye ncha kali na mtoto wake...

READ MORE

Zari, Mondi Wajifungia Bafuni

WAHENGA walipata kusema; ‘wagombanapo wapenzi, shika jembe ukalime!’ Ndicho anachosisitiza mmoja wa mameneja wa staa wa muziki barani Afrika, Nasibu...

READ MORE

Lori Lateketea Tunduma

Lori la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T 887 CWN lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Tunduma...

READ MORE

Rais Samia: Tozo ya Miamala ya Simu Ipo – Video

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haikuwa na nia mbaya kuanzisha tozo ya...

READ MORE

Tanzia: Sophia Nyerere Afariki Dunia

Mjukuu wa Baba wa Taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, Sophia Nyerere amefariki dunia leo Jumanne Julai 27, 2021 katika Hospitali...

READ MORE

Asilimia 60 ya Watanzania Kuchanjwa, Watakaoanza ni Hawa

Msemaji Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Gerson Msigwa amesema kuwa chanjo za homa ya virusi vya...

READ MORE

Rais Samia Amlilia Mwenyekiti wa CCM Kusini Unguja

Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kusini Unguja, Ramadhan Abdallah...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Ugeni Huu Ikulu

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Julai 27, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia...

READ MORE

CCM Yapata Pigo

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa mshtuko, majonzi na masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa...

READ MORE

Waziri Mkuu: Chanjo ya Corona Sio Lazima

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali haijamlazimisha na wala haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya...

READ MORE

Maagizo ya Waziri Mkenda Kwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji

  Waziri wa Kilimo Mhe. Prof Adolf Mkenda ameielekeza Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuhakikisha inashirikiana na Umoja wa Wajasiriamali...

READ MORE

Mtoto wa Anna Mghwira Anena Mazito Kifo cha Mama Yake- Video

Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewaongoza mamia ya Wananchi Wilayani Arumeru Mkoani Arusha katika kuaga mwili pamoja na kuongoza mazishi...

READ MORE

Serikali Yasitisha Matamasha, Ibada za Mazishi Dakika 30

Serikali ya Tanzania imesitisha rasmi matamasha, sherehe na mikusanyiko na masharti kwa watakaolazimika kuwa na kibali maalumu kutoka kamati maalum...

READ MORE

NMB Yakabidhi Hundi ya Milioni 438.4 Kwa Wahanga wa Moto Kariakoo

Benki ya NMB kupitia Kampuni ya Reliance Insurance, imewalipa bima ya Sh. Milioni 438.4 wafanyabiashara 12, kati ya waliounguliwa moto...

READ MORE

Rais Samia Kuchanjwa Covid-19, Ikulu

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Doroth Gwajima amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Simanzi! Mazishi ya Anna Mghwira – Video

Waziri wa TAMISEMI hapa Nchini Bi Ummy Mwalimu amewaongoza mamia ya Wananchi Wilayani Arumeru Mkoani Arusha katika kuaga Mwili pamoja...

READ MORE

Mashtaka Aliyosomewa Mbowe Mahakamani ni Haya

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka...

READ MORE

Anayedaiwa Kuchoma Nyumba ya Mpenzi Wake Anaswa

Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa...

READ MORE

Fisi Asababisha Kifo cha Mtoto, Ajeruhi Watatu

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida fisi aliingia ndani ya nyumba na kumnyakua mtoto wa mwaka mmoja na kisha kukimbia naye...

READ MORE

Breaking News: Mbowe Afikishwa Mahakamani

  MWENYEKITI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe anadaiwa kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar...

READ MORE

Breaking: Aliyetuhumiwa Kumteka Mo Dewji Aachiwa Huru

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemfutia kesi na kumwachia huru dereva taksi Mousa Twaleb aliyekuwa...

READ MORE

Anna Mghwira Aagwa Arusha

Shughuli za kumuaga aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira zinaendelea nyumbani kwake Manyata Jijini Arusha huku tahadhari...

READ MORE

RC Makalla: Kuvaa Barakoa Lazima, Marufuku Kujaza Abiria

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewataka Wananchi kuchukuwa tahadhari dhidi ya Ugonjwa wa Corona ambapo...

READ MORE

Shigongo Kukamilisha Zahanati Iliyomaliza Miaka 12 Bila Kukamilika

SHIGONGO KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI ILIYODUMU KWA MIAKA 12 BILA KUKAMILIKA. Mbunge wa jimbo la Buchosa Eric Shigongo amepokelewa kwa...

READ MORE

Arusha: Polisi Auawa kwa Kukatwa Panga Akikamata Mhalifu

  ASKARI polisi katika kituo kidogo cha polisi Mbughuni mkoani Arusha, PC Damas ameuawa kwa kukatwa na panga kichwani wakati...

READ MORE

Mikoa 10 Kipaumbele Chanjo Corona

SERIKALI imepokea msaada wa chanjo ya Corona kutoka Marekani na kueleza kuwa baada ya kujiridhisha kuwa ni salama utolewaji wake...

READ MORE

Serikali: Saluni Ziwapime Wateja Joto la Mwili

WAMILIKI wa Saluni na vinyozi wanatakiwa kuwa na vifaa vya unawaji mikono nje ya saluni ambapo kila atakayeingia katika eneo...

READ MORE

DC Nyamagana: Wanawake Changamkieni Fursa Zinazoletwa na NMB

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza, Bi. Amina Makilagi amewaasa wanawake wilayani humo kuchangamkia fursa zinazoletwa kwao na benki...

READ MORE

Zaidi ya Bil 120 Kukopeshwa Wachimbaji Madini wadogo

Benki ya NMB imepanga kutumia zaidi ya Sh.120 bilioni kutoa mikopo ya mitaji, vifaa na mitambo kwa wachimbaji wadogo wa...

READ MORE

TLS Yaingilia Kati Sakata la Mbowe

  Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimeingilia kati sakata la kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kikitaka aachiliwe au...

READ MORE

Bil 48.6 Kutumika Kukamilisha Ujenzi wa Vyuo 29 Vya VETA

  Serikali imetenga jumla ya Shilingi bilioni 48.6 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyuo 29 vya Elimu na Mafunzo...

READ MORE

Tanzia: Mwanamuziki Waziri Ally Afariki, Familia Yaeleza Chanzo

Mwanamuziki wa siku nyingi wa Muziki nchini, Waziri Ally Kissinger wa The Kilimanjaro Band (Wana Njenje) amefariki dunia usiku wa...

READ MORE

Wagonjwa 29 Wafa kwa Covid-19 Tanzania

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima amesema hadi sasa jumla ya watu 29...

READ MORE

Ndugai: Tozo ni Halali, Unayepinga Tupe Njia Mbadala ya Kupata Fedha

KUFUATIA mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii, Spika wa Bunge la Jamhuri...

READ MORE