×

Magazeti

Kinara wizi wa bodaboda Dar anaswa!

Kudura Kiboka anayedaiwa kuwa kinala wizi wa bodaboda  Stori: Mwandishi Wetu, Wikienda Dar es Salaam: Hapa kazi tu! Jamaa anayedaiwa...

READ MORE

Diamond ateketeza Sh.Mil 100 ulaya

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na familia yake. Stori: Erick Evarist na Musa Mateja, Wikienda DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo...

READ MORE

Mahakama yafungukia kibali cha Lulu kwenda Nigeria

Staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu. Stori: Sifael Paul, Wikienda Dar es Salaam: Mwisho wa malumbano! Tofauti na inavyodaiwa...

READ MORE

Uchaguzi Zanzibar; wapiga kura wagawanyika

Mwananchi wa Zanzibar akipiga kura. Stori: Mwandishi Wetu, Zanzibar UCHAGUZI wa marudio uliofanyika jana Machi 20, Zanzibar umegawa wapiga kura...

READ MORE

Daktari: Maini ya Penny yameharibika!

Mtangazaji wa Zouk TV, Penniel Mungilwa ‘VJ Penny’. Stori: Imelda Mtema, Wikienda Dar es Salaam: Habari mbaya! Majibu ya daktari...

READ MORE

Maajabu ya Mungu… Meja Jenerali Afariki, Afufuka!

Meja Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Benjamin Noah Msuya (enzi akiwa kazini). Oscar Ndauka, RISASI JUMAMOSI DAR...

READ MORE

Ripoti Inatisha! Wapaka rangi wanavyomaliza wake za watu na mastaa

 Vijana wanaofanya kazi ya kuwapaka rangi na kuwafanyia masaji za miguu wanawake wakiendelea na kazi yao. STORI: Waandishi Wetu, Ijumaa...

READ MORE

JB, Ester wanaswa kimahaba gizani

Stori: Musa Mteja,Ijumaa Wasanii wa filamu Bongo, Jacob Steven na Ester Kiama juzikati walinaswa wakiwa kimahaba gizani, jambo lililoibua maswali...

READ MORE

Paul Makonda ‘awatumbua’ Bongo Muvi

Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda akiongea na wasanii wafilamu Bongo. Stori: Musa Mteja,Ijumaa Wasanii wa filamu Bongo, Jacob...

READ MORE

Mrembo afanyiwa kitu mbaya

Mrembo huyo akiongea na simu kuomba msaada. Na Chande Abdallah, AMANI Dar es Salaam: Hatari! Mrembo aliyetambulika kwa jina moja...

READ MORE

Nabii aibuka asema, 2016 mastaa vifo tena!

Nabii wa Kanisa la Huduma ya Neno la Upatanisho Nicolas Suguye. Na Oscar Ndauka, AMANI DAR ES SALAAM! Kufuatia wasanii...

READ MORE

Mali za Jide zazua kizaazaa!

Mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Jide’. Erick Evarist, AMANI Dar es Salaam: Jambo limezua jambo! Siku chache baada ya kukabidhiwa talaka...

READ MORE

Kifafa chamharibu Kijana Pua, Macho

Kijana Omar Said Mbalale akiwa ameharibiwa pua baada ya kuugua ugonjwa wa kifafa. Stephano Mango, Amani RUVUMA: Kweli hujafa hujaumbika,...

READ MORE

DNA Ya Tiffah….

Musa Mateja na Issa Mnally, Dar es Salaam: Taarifa njema kwa Giant wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na...

READ MORE

Mauaji Ya Kutisha Ndani Ya Teksi

Polisi wakiwa kwenye eneo la tukio. Na  Dustan Shekidele,RISASI mchanganyiko MOROGORO: Dereva wa teksi Omari Selemani Mwanamtwa anayeegesha gari lake...

READ MORE

Lulu azuiwa kuingia Ikulu

Staa wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Gladness Mallya na Hamida Hassan, RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM: Imefichuka! Baada ya kuitwa...

READ MORE

Uteuzi wa wakuu wa mikoa, kuna Jipu?

Paul M akonda Dar es Salaam. Na Waandishi Wetu, UWAZI DAR ES SALAAM: Juzi Jumapili, Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’...

READ MORE

Polisi wafumua kituo cha ‘unga’ Dar

Polisi wakiwadhibiti vijana kwa utumiaji wa madawa ya kulevya. Stori: Makongoro Oging’, UWAZI DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi Mkoa...

READ MORE

Mke, mume wazua timbwili studio za radio

Wakiwa studio. Stori:  Dustan Shekidele, Wikienda Morogoro: Kioja! Mwanamke Betina Kimbe (25) na mumewe, Emmanuel Peter (30), wamezua timbwili ‘hevi’...

READ MORE

Vigogo wa unga, Jack Patrick ahojiwa gerezani

Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’ . Stori: Sifael Paul na Musa Mateja, Wikienda Dar es Salaam: Kila kona kimenuka! Ule...

READ MORE

Mama Diamond atoa siri ya Zari

Mama Diamond Platnumz, Sanura Kassim ‘Sandra’ Stori:  Musa Mateja, Wikienda Dar es Salaam: Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu...

READ MORE

Babu Seya, Papii, Mapokezi ya Kifalme

Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ NA MWANDISHI WETU Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM! Inawezekana ikawa habari...

READ MORE

Mama Diamond Afanya Kufuru

Mama Diamond akifanya usafi kwenye nyumba yake ya Tandale hivi karibuni. Na Musa Mateja, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: KUFURU! Mama wa...

READ MORE

Kiba amlipua Jokate

Kiba DAR ES SALAAM: Staa anayesumbua na wimbo wa Lupela, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amedaiwa kumlipua Jokate Mwegelo ‘Kidoti’...

READ MORE

Maajbu ajali ya DCM

Ajali ilivyotokea Na Mwandish wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Wakati ajali mbaya iliyohusisha magari matatu ikiwa bado ndani ya vichwa...

READ MORE

Gigy na madai ya kutumia unga, bangi

Stori: MAYASA MARIWATA MUUZA nyago gumzo Bongo kutokana na matukio yake, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amedaiwa kuwa anatumia unga na...

READ MORE

Kidoa Amkimbia Mama yake, Aishi na Bwana

Stori: MAYASA MARIWATA NA HAMIDA HASSAN MUUZA nyago anayefanya poa Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ anadaiwa kumkimbia mama yake aliyekuwa akiishi...

READ MORE

Mastaa watumika kukamata vigogo wa unga!

Video Queen, Agness Gerald ‘Masogange’ Stori: Sifael Paul, Ijumaa Dar es Salaam: Mjini hakukaliki! Mkakati wa Rais Dk. John Pombe...

READ MORE

Jokate: Nimemchoka Kiba!

Mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. STORI: Waandishi Wetu Yamekuwa yakitokea mambo mengi kwenye uhusiano wa mastaa wawili Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’...

READ MORE

Batuli asikitikia Figisu ndoa ya Rayuu

Staa wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Stori: Mayasa Mariwata STAA wa filamu Bongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amesema miongoni mwa...

READ MORE

Shamsa Ford: Maneno haya ni akili zako au za kuazima?

Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford. NIANZE kwa kukiri kwamba ninamzimia sana Shamsa Ford awapo kazini. Kwangu ni mmoja kati...

READ MORE

Diamond, Tiffah Wapima DNA Sauzi

Mtoto Latifah Nasbu ‘Tiffah Musa Mateja, AMANI DAR ES SALAAM! Hii ni EXCLUSIVE stori! Kufuatia kelele kibao kutoka kwa wadau...

READ MORE

Ofm Yamnasa Pam D kwa Dk. Mwaka

Msanii wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ akitoka langoni kwa Tabibu JJ Mwaka. Na mayasa Mariwata, Dar es Salaam:...

READ MORE

85% ya Wakuu wa Mikoa Hawarudi

Rais Dk. John Pombe Magufuli DAR ES SALAAM: Huku Rais Dk. John Pombe Magufuli akitarajiwa kutangaza uteuzi wa Wakuu wa...

READ MORE

Tuzo Ya Lulu yamliza mama Kanumba

Lulu. Na Imelda Mtema, RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM! Tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Filamu Afrika Mashariki, iliyotwaliwa na Mbongo, chozi...

READ MORE

Tumekwishaa! Poda Zadaiwa Kusababisha Kansa

Boniphace Ngumije na Gladness Mallya, RISASI Mchanganyiko DAR ES SALAAM: Kuna neno moja tu linaloweza kusemwa kwa sasa, kuwa tumekwisha, baada...

READ MORE

Richie Alivyowasotesha Mastaa Airport

Na Richard Bukos, Risasi Mchanganyiko STAA wa filamu za Kibongo aliyeshinda tuzo katika African Magic Viewers Choice Awards ‘AVCA’ katika kipengele...

READ MORE