×

Magazeti

Ukimtaka Shilole andaa Mil. 20

Amepanda dau? Msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa bila mtu kuwa na kiasi cha Sh. Milioni 20...

READ MORE

Jokate amwangukia mama Kiba

Mwanamitindo Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’. Stori: Musa Mateja, Wikienda Dar es Salaam: Malovee tena! Siku chache baada mwanamitindo Jokate Urban...

READ MORE

Wema atapika tembele hadharani

Staa wa sinema za Bongo, Wema Sepetu. Musa Mateja NA gabriel ng’osha, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Hii pia ni habari...

READ MORE

Mchepuko atorosha mke wa mtu!

lsihaka Makulunga akionyesha hati ya ndoa. Stori: DUSTAN SHEKIDELE, Wikienda Morogoro: Wakati dunia ikielekea Siku ya Wapendao (Valentines Day) ambayo...

READ MORE

Kichanga atelekezwa nje ya kanisa!

Kichanga kinachodaiwa kutelekezwa kanisani. Stori: Chande Abdallah, Wikienda Mbeya: Dunia haina huruma! Kichanga kinachokadiriwa kuwa na umri usiozidi miezi miwili,...

READ MORE

Rucky Baby aibuka kama Farao

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Rukia Jumbe ‘Rucky Baby’ anayetamba na ngoma ya Give Me Some More, wikiendi iliyopita...

READ MORE

Maneno ya Magufuli yawakuna mastaa

Salma Jabu ‘Nisha’. Stori: Waandishi Wetu, wikienda Dar es Salaam: Kwa nini Mungu hakumleta Magufuli mapema? Ndiyo kauli ya wikiendi...

READ MORE

Usharobaro wamtokea puani Stan Bakora

Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’ Usharobaro umemtokea puani komediani wa Bongo, Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’ baada ya kudondoka na kuumia mguu...

READ MORE

Inauma Sana… Mama Afia Daraja la Mahita

Daraja la Mahita Na Dustan Shekidele, Risasi Jumamosi Morogoro: Inauma sana! Baada ya mwanakijiji mwenzao ambaye ni mama kufa kwa kutumbukia...

READ MORE

Recho Ashikiliwa na Polisi Dubai

Winfrida Josephat ‘Recho’. Msala! Mtoto mzuri mwenye sauti tamu kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Winfrida Josephat ‘Recho’ anadiwa kushikiliwa...

READ MORE

Wabunge stop ‘ganja’

Mbunge wa Geita Vijijini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mh. Joseph Kasheku (Msukuma). Na Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DODOMA:Kauli...

READ MORE

Johari: Nimemchuna sana Ostaz Juma Namusoma

Mkongwe kwenye sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’. DAR ES SALAAM: Mkongwe kwenye sinema za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amevunja...

READ MORE

Dr. Slaa, mkewe wala raha Canada

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Peter Slaa akiwa na mkewe, Josephine Mushumbuzi. DAR...

READ MORE

Akutwa amechinjwa ndani ya mashine ya kusaga

Marehemu Juma Saidi wa kwanza (kushoto) aliyevaa tishet iliyochanika akiwa na wenzake katika picha ya pamoja. Na Johnson James, IJUMAA...

READ MORE

Aliyedaiwa kumbaka Shilole afunguka mazito!

Makala Elia Joseph. Makala: Richard Manyota -Igunga KATIKA mahojiano na Mwandishi nguli wa burudani nchini wa Gazeti la Ijumaa, Erick...

READ MORE

Mbunge adatishwa na penzi la Lungi

Msanii maarufu wa filamu Bongo, Lungi Maulanga. Hamida Hassan na Gladness Mallya Taarifa ambayo gazeti hili linayo ni kuhusu mbunge...

READ MORE

Mimba ya Wema yamtia uchizi Penny

Penniel Mungwilwa ‘Penny’. Mwanadada anayepiga dili la utangazaji kupitia Zouk TV ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel...

READ MORE

Nuh Mziwanda amwangukia Shilole

STAA wa Wimbo wa Msondo Ngoma, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’. Musa Mateja, AMANI STAA wa Wimbo wa Msondo Ngoma, Naftari...

READ MORE

Kigogo adaiwa kuvunja penzi la Malaika

Imelda Mtema KIGOGO mmoja wa serikalini anadaiwa kutibua penzi la Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diana Exavery ‘Malaika’ na mpenzi wake...

READ MORE

Waoga maji ya sumu, wababuka

Mmoja wa waathilika wa maji hayo akiwa amebabuka shingono. Wakizungumza kwa nyakati tofauti hivi karibuni, baadhi ya wakazi wa vijiji...

READ MORE

Familia yamfanya ndondocha mtoto wao

Kijana Fred Bryson Mmari anayedaiwa kufanywa ndondocha na familia yake. KILIMANJARO: Kha! Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Naomi Bryson anashikiliwa...

READ MORE

Bongo Movie, Bongo Fleva waingia vitani

Mbongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego. DAR ES SALAAM: Kimenuka! Harufu ya damu inanukia ndani ya tasnia za Bongo...

READ MORE

Mfanyabiashara anasa pichaza mchumba’ke

Mfanyabiashara NA Gabriel Ng’osha, Risasi Mchanganyiko DAR ES SALAAM: Mfanyabiashara wa bidhaa mchanganyiko (Machinga) aliyefahamika kwa jina la Khamis Kibiti...

READ MORE

Vigogo wafurika kwa Sangoma kumdhibiti Magufuli

Mtabili maalim Hassan Yahya Hussein. Gladness Mallya na Hamida Hassan, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Kasi ya utumbuaji majipu ya...

READ MORE

Kampuni 3 zamtaka mtoto wa Wema

Staa wa filamu Wema Sepetu. Na Imelda Mtema, Risasi Mchanganyiko DAR ES SALAAM: Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto...

READ MORE

Vigogo Wahaha Kuficha Mali Zao

Rais John Pombe Magufuli. Stori: Makongoro Oging’ UWAZI DAR ES SALAAM: Kufuatia Jeshi la Polisi Tanzania, Taasisi ya Kuzuia na...

READ MORE

Afisa Maliasili adaiwa kulishwa sumu

Marehemu Doris Olotu enzi za uhai wake. Stori: Makongoro Oging’, UWAZI ARUSHA: Ndugu wa Doris Olotu 47, (pichani)aliyefariki dunia Januari...

READ MORE

Msukule aliyekutwa kwa tajiri mengi yafichuka

Mume wa Upa akiwa na watoto wao. Stori: Makongoro Oging’, UWAZI DAR ES SALAAM: Yule mwanamke ambaye gazeti hili lilitoa...

READ MORE

Mke atimuliwa msiba wa mumewe

Mke wa marehemu akilia kwa uchungu. Stori: Makongoro Oging’ na Issa Mnally, UWAZI D AR ES SALAAM: Mjane aliyejitambulisha kwa...

READ MORE

Mke Wangu Amenikimbia Baada ya Kuvunjika Kiuno, Kupasuliwa Kibofu

Stori: Na Makongoro Oging’,  UWAZI Kulwa Maganga (37) mkazi wa Mbande, Mbagala jijini Dar amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Jengo...

READ MORE

Shela la Aunt lazua maswali tata

Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akiwa ndani ya gauni la harusi (shela). Stori: Imelda Mtema KUNASWA kwa msanii wa...

READ MORE

Who is next? (Nani Anafuata?)

Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’. Stori: Gabriel Ng’osha, Wikienda Dar es Salaam: Who is next (nani anafuatia?) Ndivyo Wabongo wengi...

READ MORE

Mtandao wa waganga kuunganisha watu Freemason

Kiongozi Mkuu wa Freemason Ukanda wa Afrika Mashariki, Sir Andy Chande. Stori: Chande Abdallah na Gabriel Ng’osha, WIKIENDA DAR ES...

READ MORE

Zari ahofia kuishi Bongo!

Mwandani wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady. Stori: MUSA MATEJA, WIKIENDA Dar es Salaam:...

READ MORE

Msanii yamkuta mazito

Na Dustan Shekidele, Risasi Jumamosi Morogoro: Msanii maarufu wa muziki wa dansi mkoani hapa, Josse Kigenda yamemkuta mazito baada ya...

READ MORE

Mbunge Chadema Achaniwa Suti Mbili na Polisi

Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Peter Lijuakali akitolewa bungeni na polisi. Na Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DODOMA: KALI ya mwaka. Mbunge...

READ MORE

Wema Awekwa Chini ya Ulinzi

Mama kijacho Wema Sepetu ‘Madam’ STORI: Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Mama kijacho Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ kwa mara...

READ MORE

Mjane kulala nje; mapya yaibuka!

Zakia Onesmo STORI: GLADNESS MALLYA, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: NYUMA ya lile tukio la mwanamke mjane aliyetambulika kwa jina...

READ MORE