×

Risasi

Meja Jenerali Msuya; Alivyokufa na Kufufuka – 04

Meja Jenerali Mstaafu Msuya. Ilipoishia wiki iliyopita kulikuwa kumetokea uzembe kwa upande wa manesi kwani baada ya tukio la kwanza...

READ MORE

Chaguzi Dar, Zanzibar zimekwisha; tuchape kazi

Mshindi wa Urais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein akikabidhiwa Cheti cha Ushindi. Kila mmoja nchini anajua uchaguzi wa Zanzibar...

READ MORE

Mashabiki waleta fujo ukumbini kisa, Bella

Christian Bella ‘Obama’ amefunguka mambo mengi sana kwenye simulizi hii ya maisha yake. Alielezea jinsi alivyoacha shule kutokana na baba...

READ MORE

Shtuka Mapema kuwakusanya mastaa

Na Mwandishi Wetu MASTAA kibao wakiwemo, mtangazaji Millard Ayo, mwanamuziki Hellen George ‘Ruby’, muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ na wengine kibao...

READ MORE

Nay, Dayna Aibu Yao!

Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa katika pozi la nusu utupu na msanii wa Bongo Fleva, Aisha Nyange ‘Dayna’. NA...

READ MORE

Baba Diamond Ashinda Njaa

MSIKIE BABA DIAMOND AKIFUNGUKANA WAANDISHI WETU, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Wakati mwanaye staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mama...

READ MORE

Wanakijiji Wala Nyama ya Ng’ombe Aliyegongwa na Nyoka

Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DODOMA: Hatari! Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Saji kilichopo wilayani Bahi, Dodoma wamejikuta wakila nyama ya...

READ MORE

Mauzauza! Familia Zachapwa Bakola Usiku!

Wakazi wa Mtaa wa Kiyombo Shule, Nyantira Kata ya Kitunda jijini Dar, wakiwa kwenye kikao kujadili tukio hilo. GLADNESS MALLYA Risasi...

READ MORE

Baada ya Talaka… Wastara Sasa Hali Mbaya!

Staa wa Bongo Muvi, Wastara Juma akiugulia. NA DUSTAN SHEKIDELE, Risasi Jumamosi Morogoro: Anahitaji maombi! Baada ya kupewa talaka kufuatia madai...

READ MORE

Dina: Sanaa hailipi, nimepangiwa nyumba na mtu wangu!

Nasra Mohamed ‘Dina’ MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu wa Mpaka Home. Kama kawa, kama dawa tunazidi kusonga mbele kila wiki...

READ MORE

Meja Jenerali Msuya; alivyokufa na kufufuka -03

Meja Jenerali Msitaafu, Msuya ILIPOISHIA… Siku ya Mei 10, tulirejea Tanzania na mara moja nikaenda kumwona daktari. Baada ya uchunguzi...

READ MORE

Wasomaji Wasubiri kwa hamu droo ya 3

BAADA ya kufanyika kwa kishindo kwa droo ya kwanza na ya pili, wasomaji wengi wameonesha kuingojea kwa hamu droo nyingine...

READ MORE

Tumekopi, tumepesti ‘Ngada’ inatunyoosha!

MOJA kati ya janga kubwa la vijana kwa sasa ni madawa ya kulevya (ngada). Kwa kipindi kirefu tumekuwa tukishuhudia vijana...

READ MORE

Machangudoa: alishindwa Makamba sembuse Makonda

Machangudoa wakiwa kwenye mawindo. Erick Evarist na Richard Bukos, RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM: Licha ya jitihada za serikali kutangaza...

READ MORE

Meja Jenerali Msuya; Alivyokufa na Kufufuka

Meja Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Benjamin Noah Msuya. HAYA ni maajabu ya Mungu! Meja Jenerali...

READ MORE

Ripoti Mpya za bei za mastaa kujiuza

GIFT STANFORD ‘GIGY MONEY’. Na Waandishi Wetu, RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM: Wakati serikali ikitangaza vita dhidi ya watu wanaojihusisha na...

READ MORE

Rais Magufuli aitumbua Tanesco

Rais Dk. John Pombe Magufuli. Na Ojuku Abraham,RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM: Rais wa awamu ya tano, Dk. John Pombe...

READ MORE

Chuchu, Johari wamaliza bifu

Chuchu Hans Mayasa Mariwata,RISASI Mchanganyiko DAR ES SALAAM: Habari mpya mjini kwa sasa ni kuwa wale mahasimu wawili wa muda...

READ MORE

Chongo – 29

Ilipoishia WIKI ILIYOPITA “Mbona uko kimya sana, naona unazungusha kichwa tu, vipi?” Sule alimshtua mpenzi wake wakiwa wamekaa pembeni ya...

READ MORE

Jinsi ya kutibu choo kigumu!

Juisi ya Aloe vera Kama unasumbuliwa na choo, yaani kila ukijisaidia unapata choo kigumu tumia juisi ya Aloe vera, kunywa...

READ MORE

Maajabu ya Mungu… Meja Jenerali Afariki, Afufuka!

Meja Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Benjamin Noah Msuya (enzi akiwa kazini). Oscar Ndauka, RISASI JUMAMOSI DAR...

READ MORE

Johari, Baba Haji wagandana

Mastaa wawili wa Bongo Muvi, Super Woman, Blandina Chagula ‘Johari’ na mwenzake, Adam Haji ‘Baba Haji’ wakiwa katika pozi  baada...

READ MORE

Diamond Afungukia Mimba Nyingine ya Zari

Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mama mtoto wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Musa Mateja, Risasi Jumamosi Dar es Salaam:...

READ MORE

RC amtumbua mwalimu tuhuma za kudhalilisha wanafunzi

Stephano Mango,   SONGEA MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amemvua madaraka na kumhamisha Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari...

READ MORE

Simanzi kifo cha aliyeolewa na wanaume wawili

Marehemu Veronica Salehe (54), mkazi wa Kijiji cha Ikondamoyo Tarafa ya Nsimbo Wilaya ya Mlele mkoani hapa aliyewahi kuripotiwa kuolewa...

READ MORE

Lulu atengwa Bongo Muvi

Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael Mayasa mariwata, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ameendelea kuzua...

READ MORE

Maalim Hassan autabiria uchaguzi wa Zanzibar

Mtabiri maarufu nchini, Maalim Hassan Yahya Hussein Elvan Stambuli, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Mtabiri maarufu nchini, Maalim Hassan Yahya Hussein...

READ MORE

Meja Jenerali afariki, afufuka! usikose Risasi Jumamosi leo

  USIKOSE KUSOMA RISASI JUMAMOSI LEO TSH 500 TU Haya ni maajabu…Meja Jenerali afariki, afufuka baada ya siku 4! Johari,...

READ MORE

Kuzuia na kudhibiti kupanda kwa shinikizo la damu -2

Wiki iliyopita nilianza kuelezea namna ya kudhibiti kupanda kwa shinikizo la damu, leo nitaendelea na mada hiyo ili kukupa ufahamu...

READ MORE

Wajasiriamali Wahimizwa Kushiriki Shinda Nyumba

Na Chande Abdallah WANAWAKE wajasiriamali jijini Dar wamehimizwa kushiriki kwa wingi Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya...

READ MORE

Mama adaiwa kujigeuza kunguru, anaswa na mali za wizi

Na Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi Mbeya: Jeshi la Polisi jijini hapa limetumia takriban saa nne kumkamata mama aliyedaiwa kujigeuza kunguru...

READ MORE

Nay amchana Dudubaya

Nyemo Chilongani MSANII anayetamba na ngoma ya Shika Adabu Yako, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amemchana mwanamuziki mkongwe, Godfrey Tumaini...

READ MORE

DNA Ya Tiffah….

Musa Mateja na Issa Mnally, Dar es Salaam: Taarifa njema kwa Giant wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na...

READ MORE

Kanumba Aliwabeba, Alipofariki Wamepotea!

Na Gladness Mallya KILA mtu ana kipaji ambacho Mwenyezi Mungu amempatia ili kuendesha maisha yake pamoja na watu wanaomzunguka. Unapozungumzia...

READ MORE

Mauaji Ya Kutisha Ndani Ya Teksi

Polisi wakiwa kwenye eneo la tukio. Na  Dustan Shekidele,RISASI mchanganyiko MOROGORO: Dereva wa teksi Omari Selemani Mwanamtwa anayeegesha gari lake...

READ MORE

Husna, Mobeto ndani ya bifu zito

Husna Maulid. Na Mwandishi wetu RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM: Bifu la chinichini linaendelea kuwatafuna warembo wawili ambao wote waliwahi kunyakua...

READ MORE

Nay atajwa Freemason

Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Na Gladness Mallya,RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM: Kutokana na muda mrefu...

READ MORE

Fursa ya kuwa Mwandishi na Mtangazaji wa Kitaifa na Kimataifa yapatikana MSPS

Chuo cha Mlimani Schoool of Professional Studies (MSPS) cha jijini Dar es Salaam, kimetangaza fursa ya mafunzo ya Uandishi bora...

READ MORE

Gigy Money: Nipo Tayari Kucheza Picha za Ngono

Video Queen na msanii wa filamu Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’. Gladness Mallya na Hamida Hassan, RISASI Mchanganyiko DAR ES...

READ MORE