×

Risasi

Sweden, amshuhudia mkewe akijifungua

Wiki iliyokatika alielezea harakati zake za kusaka nafasi katika bendi ya Koffi Olomide. Baada ya kukubaliwa kuingia katika bendi hiyo,...

READ MORE

Asha Baraka apunguza wanamuziki Twanga Pepeta

Na Imelda Mtema, Risasi Jumamosi BIG Boss wa The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka amewapunguza wanamuziki sita wa bendi yake...

READ MORE

Kwa Mwanangu Nitakayemzaa – 46

ILIPOISHIA: Huku Mtima akiwa hafahamiki alipo, Abdulrahman anamteka Destiny na kutoroka naye hadi kwenye maficho yake, wakiwa huko anagundua kuwa...

READ MORE

Ticha matatani kwa ubakaji wa denti

STORI:Dustan Shekidele, Wikienda Morogoro: Dunia haina huruma! Ticha wa shule ya msingi ameingia matatani kwa ubakaji wa denti wa darasa...

READ MORE

Utajiri wa Jack Pemba Watikisa Uganda

Jack Pemba akimwaga shampeni kwenye gari lake jipya. Stori:  Mwandishi Wetu, Risasi Kampala, Uganda: Kufuru ya matumizi makubwa ya fedha...

READ MORE

Gilla Anaswa Akipika Mamantilie

Msanii wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ katika pozi. MSANII wa filamu anayekuja juu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’ kumbe ni...

READ MORE

Mchepuko Ambwagia Mtoto Hawala!

Mtoto huyo baada ya kuokolewa na wasamalia wema. Shekidele, Risasi  MOROGORO: Mwanamke aliyefahamika kama Mama Gladnes, ambaye ni mchepuko wa...

READ MORE

Masogange na Wenzako Tumieni Ujana wenu Vizuri

KWAKO Agness Gerald ‘Masogange’ pamoja na wenzako wengi ambao baadhi yao nitawataja kwa majina hapo chini. Nawasalimu katika jina la...

READ MORE

Mbaroni kwa Ubakaji wa Mtoto na Kumsababishia Kifo!

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Zuberi Mwombeji Na Stephano Mango, Risasi Ruvuma: Jeshi la Polisi mkoani hapa limemtia mbaroni...

READ MORE

Samia Mgeni Rasmi Tamasha la Changia Damu

Makamu wa Rais, Samia Saluhu Hassan. Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais, Samia Saluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika Tamasha...

READ MORE

Tumbua majipu yawaliza wauza mitumba

Na Issa Mnally ZOEZI la kuwabana wafanyabiashara wakwepa kodi  sambamba na kuwawajibisha watumishi wa umma wanaokwenda kinyume na majukumu yao,...

READ MORE

Gardner: Ndoa Yangu na Jide Ilivunjwa kwa Simu

Mtangazaji nyota wa redio nchini, Gardner G. Habash na aliyekuwa mkewe, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’. Stori: Mwandishi DAR ES...

READ MORE

Wasanii wawili wafa Bongo Muvi

  Stori: Imelda Mtema, Wikienda Dar es Salaam: Misiba! Wakati wadau wa Bongo Movies wakiwa kwenye majonzi ya kifo cha...

READ MORE

Ray C afungiwa hospitalini

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’. Stori: Waandishi Wetu, Wetu Wikienda Dar es Salaam: Mwanamuziki wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Talaka ya Jide Mazito Yaibuka!

Mkongwe wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ na mumewe Gardner G. Habash ‘Captain’. Na Musa Mateja Risasi Jumamosi DAR...

READ MORE

Mbinu mpya ya Mastaa kujiuza

Masogange Na Mwandishi wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Imevuja! Siri ya maisha mazuri ya baadhi ya mastaa wa kike Bongo...

READ MORE

Hivi Ndivyo Wasanii Walivyotelekezwa Gesti

Wasanii hao wakihojiwa. Stori: Gladness Mallya, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Kama hukuipata kwa kina habari ya wasanii 22 wa...

READ MORE

Mastaa waukacha msiba wa John Woka

Mama mzazi wa ‘John Woka’ akiaga mwili wa mwanaye kanisani, katika hospitali ya Muhimbili. NA Mayasa Mariwata, Risasi Jumamosi DAR ES...

READ MORE

Mkubwa Fella; Mheshimiwa diwani fundi wa utunzi Yamoto Band

Imelda mtema na Mayasa Mariwata,Risasi Jumamosi SAID Fella ‘Mkubwa Fella’ si jina geni kwa wapenzi wa muziki Bongo kwa kuwa...

READ MORE

Barua ya Jack Cliff yazua simanzi upya

Video Queen, Jack Cliff. NA Imelda Mtema, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Ikiwa imekatika miaka miwili tangu alipokamatwa na madawa...

READ MORE

Chatu azua kizaazaa Songea

Chatu. (Picha na maktaba) Na STEPHANO MANGO, Risasi Jumamosi SONGEA: WAKAZI wa Mtaa wa Matuli Kata ya Majengo na Mfaranyaki-Makaburini, Manispaa...

READ MORE

Bodaboda auawa na kutelekezwa kanisani

Na STEPHANO MANGO, Risasi Jumamosi SONGEA: MWENDESHA bodaboda, Victoris Bonifasi (25) mkazi wa eneo la Msamala, Halmashauri ya Manispaa ya...

READ MORE

Shosti, Usisubiri Kuombwa, Utadoda Bure!

Asalam alaykum mashosti zangu popote pale mlipo, naamini mmemaliza vema Sikukuu ya Valentine ambayo najua kila mmoja alikuwa na shughuli...

READ MORE

Hatua za Kuanza Kujitegemea na Kuachana na maisha ya kula kulala bure

UCHUNGUZI unaonesha kuwa kila mtu anapenda kujitegemea, lakini wengi wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu ya kukosa kitu wanachokiamini, nacho ni...

READ MORE

Mrembo Abakwa na bodaboda

Mrembo anayedaiwa kubakwa na bodaboda. Hamida Hassan na Gladness Mallya, Risasi DAR ES SALAAM: Mrembo mmoja (jina linahifadhiwa), mkazi wa...

READ MORE

Nani Analipwa mshahara sh. mil 35?

Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’. Na Mwandishi Wetu, RISASI...

READ MORE

Mimba ya Wema yayeyuka ghafla

Staa wa filamu  Bongo, Wema Sepetu. Stori: WAANDISHI WETU DAR ES SALAAM: Mimba ya staa wa filamu  Bongo, Wema Sepetu...

READ MORE

Msanii Bongo Muvi Anaswa Kwa Sangoma

Msanii huyo akiingia kwa sangoma. Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan, Risasi DAR ES SALAAM: Katika kile kinachodhaniwa kuwa ni...

READ MORE

Droo ya pili ya Shinda Nyumba kufanyika kesho

  Msomaji wa Gazeti la Uwazi wa eneo la Temeke Mwembe Yanga, Japhary Maleku (katikati) akijaza kuponi yake. Anayeshuhudia kushoto...

READ MORE

Ndoa na Shetani-11

ILIPOISHIA: “Jijini Nairobi tunakula vichwa, tena nimekumbuka itabidi twende wote achana na mawazo ya kurudi nyumbani, bado una nafasi ya...

READ MORE

Mr TZ Apiga Picha za Utupu

STORI: Mwandishi Wetu, Risasi DAR ES SALAAM: Picha za utupu zinazomhusu mwanamitindo maarufu Bongo, aliyewahi kunyakua mataji kadhaa ya mitindo,...

READ MORE

Baba Diamond ataka kufia studio kwa mwanaye!

Baba mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Mzee Abdul Juma alipofika getini kwenye studio ya Diamond. Na Musa...

READ MORE

King Kiki: Linex, Bella wapo juu

Christian Bella Na Elvan Stambuli, Risasi Jumamosi Ngwiji wa Muziki wa Dansi nchini, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ amesema wanamuziki...

READ MORE

Nay wa Mitego, Dimpoz wafika pabaya

Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Na Musa Mateja, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Mafahari wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay...

READ MORE

Ofisi ya Serikali Yahamia Chooni

Ofisi hiyo, kwenye chumba cha choo. Na Gladness Mallya Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Hii ni kali ya mwaka! Mwenyekiti...

READ MORE

Mtitu, mkewe, mwanaye full kujiachia nyumbani

KWA jina anaitwa William Mtitu, mmoja wa waigizaji na prodyuza mahiri wa filamu Bongo anayefanya vizuri.Wiki hii Mpaka Home ilipata...

READ MORE

Amanda amkubali Mr. English

Na mwandishi wetu, Risasi Jumamosi STAA wa Bongo Muvi, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anakubali kazi inayofanywa na mtaalam wa...

READ MORE

Madam Ruti aitwa Canada

Na Issa Mnally MWIMBAJI anayefanya vizuri katika muziki wa Injili nchini, Madam Ruti ameitwa nchini Canada kushiriki katika tamasha la...

READ MORE

Aliyefumaniwa na Hawara… Mapya Yaibuka

Na Dustan Shekidele, Morogoro KATIKA hali isiyo ya kawaida, mfanyabiasha maarufu mkoani hapa, Grace Haule ‘Nyamatandala’ anamsaka mwanaume aliyedai alikuwa...

READ MORE

Baada ya Kukamatwa na Kitengo cha Madawa ya Kulevya, Kigogo Dar Kortini

Daudi Yakubu Adam ‘Daudi Kanyau’ Na Waandishi Wetu, RISASI mchanganyiko DAR ES SALAAM: Yule mfanyabiashara mkubwa jijini Dar es Salaam...

READ MORE