
Browsing Category
Michezo
Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa?
Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali…
Ukitaka Taarifa Zote za Michezo Ingia Meridianbet Sport Portal
Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua…
Aliyekuwa Kipa wa Taifa Stars na Yanga, Peter Manyika Amefariki
Aliyekuwa kipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Klabu ya Yanga SC, Peter Manyika, amefariki dunia alfajiri ya leo katika Hospitali ya St. Monica, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa familia na…
Meridianbet Yaendeleza Burudani Na Trick or Treat Bonanza
Baada ya msimu wa Halloween kufunga pazia, Meridianbet inaendelea kuonyesha kuwa burudani za kidijitali hazifungwi na kalenda. Kupitia mchezo wa Trick or Treat Bonanza, jukwaa hili linageuza mandhari ya msimu uliopita kuwa uzoefu…
Pesa Iko Nje Nje Leo! Odds Kubwa & Machaguo 1000+ – Meridianbet
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za ligi ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi.
BUNDESLIGA kule Ujerumani pia kama…
Yanga Yapoteza Ugenini Dhidi ya Al Ahly, Bado Yashika Nafasi ya Pili Kundi B
Yanga SC imeonja kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa mabingwa watetezi Al Ahly ya Misri, katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika – Hatua ya Makundi (Kundi B) uliochezwa nchini Misri.
Huu ni mchezo wa kwanza Yanga kupoteza katika kundi…
CAFCL: Yanga Kutafuta Ushindi wa Kihistoria Ugenini kwa Al Ahly leo
Klabu ya Yanga inajiandaa kuingia uwanjani Ijumaa, Januari 23, 2026, kuikabili Al Ahly SC ya Misri katika mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League).
Mchezo huo utachezwa kwenye Uwanja wa Borg El…
Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet
Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu ni rahisi sana kuchukua Samsung A26 yako. Unangoja nini kubashiri sasa?
Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali…
Ligi Kuu Bara Yashika Nafasi ya 6 Afrika, Yapanda hadi Nafasi ya 54 Duniani
Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara imeendelea kuimarika kimataifa baada ya kushika nafasi ya sita (6) kwa ubora barani Afrika na nafasi ya 54 duniani, kwa mujibu wa takwimu rasmi zilizotangazwa juma hili.
Licha ya kushuka kwa nafasi mbili…
Europa League/Conference: Mashindano Yamefikia Kiwango Kikubwa
Pesa iko nje nje leo hii kwenye mechi za Europa ndani ya Meridianbet kwani kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000. Jisajili sasa na uanze safari yako ya ushindi.
Viktoria Plzen atakuwa uso kwa uso…
Aziz Ki Aondoka Wydad AC, Ajiunga Al Ittihad ya Libya
Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic Club ya Morocco, baada ya klabu hiyo ya Libya kufanikisha dili kubwa la uhamisho.
Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, Al Ittihad…
Macho Yote Ulaya Leo: Juventus, Liverpool na Barca Kupambana
Kupiga pesa ni rahisi sana ndani ya UEFA endapo utaamua kubashiri mechi zote hapa leo. Wakali wa ubashiri wanakwambia kuwa nafasi ya wewe kuondoka na mshindo hii hapa. Tandika jamvi lako hapa.
Vijana wa Darajani Chelsea wataumana…
Sekhukhune United Yatuma Maombi ya kumtaka Cesestine Ecue wa Yanga
Klabu ya Sekhukhune United ya Afrika Kusini imetuma rasmi maombi ya kumtaka winga wa Yanga SC, Cesestine Ecue, kwa mkopo hadi mwisho wa msimu.
Kwa taarifa zilizopatikana, mazungumzo yanaendelea kwa sasa baina ya Yanga SC na…
Chagua Mabingwa Wako Leo, Ubeti na Meridianbet
Ligi ya mabingwa barani Ulaya inaendelea leo hii ndani ya Meridianbet huku ikiwa ni bado mechi zipo kwenye mfumo wa ligi. Timu zingine zipo kwenye hali nzuri huku zingine zikiwa bado zinajitafuta sasa. Na wewe jitafute uanze kupiga…
CAF Wamfungulia Kesi ya Kinidhamu Kocha Mkuu wa Senegal – Video
CAF imefungua rasmi kesi za kinidhamu dhidi ya kocha mkuu wa Senegal Pape Thiaw.
Kocha huyo wa Senegal sasa anakabiliwa na uwezekano wa kusimamishwa kwa muda mrefu, akiwa na hatari halisi ya kukosa Kombe la Dunia la FIFA la…
Serie A, EPL, LaLiga & Super Lig Zote Leo – Bashiri Meridianbet
Meridianbet wanakwambia hivi siku ya leo unaweza ukachagua timu zako kwa dau ulipendalo na kushinda pesa zako hapa. Timu kibao zinakusubiri wewe tuu ili uwe bingwa leo.
SUPER LIG kule Uturuki nayo inatarajiwa kuendelea ambapo…
Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko Baada ya Kushinda AFCON – Video
Dakar, Senegal — Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye ametangaza mapumziko ya kitaifa kufuatia ushindi wa kihistoria wa timu ya taifa ya soka, Teranga Lions, katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Katika tangazo…
Senegal Yatwaa Ubingwa, Sadio Mané Aibuka Mchezaji Bora
Mchezaji wa klabu ya Al Nassr na timu ya Taifa ya Senegal, Sadio Mané, ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashindano ya AFCON 2025 baada ya kuiongoza Senegal kutwaa ubingwa wa michuano hiyo kwa ushindi wa bao 1–0 dhidi ya wenyeji Morocco.…
Kipa wa Taifa Stars Hussein Masalanga Atua Yanga
Klabu Yanga leo Jumapili, Januari 18, 2026 imetangaza kukamilisha usajili wa kipa Hussein Masalanga akitokea klabu ya Singida Black Stars.
Masalanga aliisaidia Taifa Stars kutinga hatua ya 16 bora ya michuano ya AFCON kwa mara ya…
Saleh Jembe Afichua Siri Ya Kibabage, Awashangaa Singida Kudanganya – Video
Mchambuzi mkongwe wa soka nchini, Saleh Jembe ameeleza kuwa Kibabage alivyotoka Yanga alitaka kwenda Klabu ya Simba.
CAF Yafuta Michuano ya CHAN, Mabadiliko Makubwa Yatarajiwa Afrika
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi kufutwa kwa Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), kufuatia changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika maandalizi na uendeshaji wa mashindano hayo.…
Maisha ni Mazuri Ukibashiri na Meridianbet Leo
Jumapili hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaotumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA na mcahguo zaidi ya 1000 yapo hapa, hivyo ingia na usuke jamvi lako.
SERIE A kule Italia itaendelea na…
Miaka 10 ya Infantino FIFA, Mshahara Wake Waibua Maswali
Mshahara wa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, umeongezeka kwa kiwango kikubwa katika kipindi cha uongozi wake, ukifikia Dola za Kimarekani Milioni 6.1 kwa mwaka, sawa na takriban Shilingi bilioni 15 za…
Meridianbet Yatoa Fursa ya Ushindi Leo Jumamosi
Wakali wa ubashiri Tanzania hii leo wanakwambia hivi, wapo tayari kukulipa zaidi ya Mamilioni endapo utasuka jamvi lako na kubashiri hapa. Mechi kibao za ushindi zinapatikana hapa. Beti sasa.
Kule Ujerumani, BUNDESLIGA kitapigwa…
Manchester United na City Kukutana Leo Katika Derby ya Jiji
Leo macho yote ya mashabiki wa soka duniani yanaelekezwa jijini Manchester, ambapo wapinzani wa jadi Manchester United na Manchester City wanakutana katika pambano kubwa la Premier League, maarufu kama Derby ya Manchester.
Mechi hiyo…
Beckham Aonyesha Maendeleo ya Uwanja Mpya wa Inter Miami, Mashabiki Wavutiwa
Mmiliki mwenza wa klabu ya Inter Miami, David Beckham, amewasisimua mashabiki wa soka duniani baada ya kuchapisha picha zinazoonyesha maendeleo ya ujenzi wa uwanja mpya wa klabu hiyo, Miami Freedom Park.
Kupitia ukurasa wake rasmi wa…
Leo ni Siku Yako ya Kubadilisha Safari ya Ushindi na Meridianbet!
Je unajua kuwa Meridinabet ndio baba lao kwenye kutoa ODDS KUBWA?. Kila mechi ambayo inapigwa inakuwa tayari ina machaguo zaidi ya 1000 pia. Tandika jamvi lako la uhakika hapa leo.
Tukianza na mechi za ligi kuu ya Saudi…
Simba Yamtangaza Kocha Msaidizi Mpya, Kristopher Bergman
Klabu ya Simba imeimarisha benchi lake la ufundi kwa kuwaleta kocha msaidizi mpya, Kristopher Bergman, akiwa na lengo la kusaidia timu katika kampeni zake za ligi na mashindano ya kimataifa msimu huu.
Kristopher Bergman,…
Ukitaka Taarifa Zote za Michezo Ingia Meridianbet Sport Portal
Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu mbalimbali huku lengo likiwa ni kuwafanya wapenzi na mashabiki wa soka kujua…
AFCON 2025: Senegal na Morocco Wakutana Fainali ya Moto Jumapili
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2025 imepata fainali yake baada ya Morocco na Senegal kufanikiwa kuvuka hatua ya Nusu Fainali.
Morocco walikata tiketi ya Fainali baada ya kuitoa Nigeria kwa mikwaju ya penalti kufuatia sare…
Dkt. Mwigulu: Kazi Zinazoweza Kufanywa Na Wazawa Zisifanywe Na Wageni
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania zisifanywe na wageni isipokuwa zile zinazohitaji utaalamu…
Gabon Yaondoa Adhabu Dhidi ya Aubameyang na Timu ya Taifa
Shirikisho la Soka la Gabon limetangaza kufuta hatua zote zilizokuwa zimechukuliwa dhidi ya timu ya taifa pamoja na baadhi ya wachezaji wake, akiwemo nahodha Pierre-Emerick Aubameyang, kufuatia kuondolewa mapema kwenye michuano ya Kombe…
Siku ya leo kubadilisha maisha yako Piga Pesa Kupitia Mechi Kubwa za Ulaya na Saudi
Siku ya leo inaenda kubadilisha maisha yako moja kwa moja kwani mechi kibao zipo uwanjani na nafasi ya kuondoka na ushindi ipo mikononi mwako. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kubeti sasa.
SAUDI PROFESSIONAL itaendelea ambapo Al…
Man United Yakubaliana na Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu wa Muda
Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano ya mdomo na Michael Carrick kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Kocha Mkuu wa muda hadi mwisho wa msimu.
Makubaliano hayo yanakuja kufuatia mabadiliko ya benchi la ufundi katika klabu hiyo…
Yanga Yatwaa Taji la Mapinduzi Cup kwa Penalti Dhidi ya Azam FC
Klabu ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi (Mapinduzi Cup) baada ya kuibuka mshindi dhidi ya Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5–4, kufuatia sare ya bila kufungana (0-0) katika muda wa kawaida na nyongeza wa mchezo wa fainali.…
Brighton Wamaliza Mkataba na Mshambuliaji wa Tanzania Aisha Masaka
Klabu ya Brighton & Hove Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini England haitaendelea na mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masaka, msimu ujao baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu huu.
Masaka alijiunga na…
Mechi Kali Zatikisa Saudi League, Bundesliga na FA Cup leo
Ni siku nyingine ya kibabe kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania pointi 3 huku wewe ukiwania mkwanja wa maana. Ingia kwenye jamvi akaunti yako na ubeti sasa.
SAUDIA LEAGUE…
Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet
Nafasi ya ushindi hii hapa na wakali wa Meridianbet ambapo kupitia promosheni ya Beti Online unaweza ukaondoka na Samsung A26. Weka dau lako kuanzia 5000 na ubashiri hapa.
Meridianbet inaendelea kuwa kinara katika kutoa promosheni…
Rais Samia Akemea Uzembe wa Posho kwa Wachezaji Taifa Stars – ( Picha + Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema alishtushwa na taarifa za wachezaji wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) kudai kugoma kusafiri kwenda Morocco kabla ya Fainali za AFCON 2025, wakilalamikia posho zao.…
Usiku wa Vigogo Ulaya Mechi Kali, Mshiko Mkubwa Upo Meridianbet Leo
Je unajua kuwa siku ya leo ni nzuri sana endapo utabashiri jamvi lako na Meridianbet?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti leo.
Michuano ya FA CUP kule Uingereza nayo itaendelea ambapo…