
Browsing Category
Michezo
Waziri Kombo na Prof. Kabudi Wakabidhi Bendera ya Taifa kwa Taifa Stars Cairo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi, wameitembelea Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” kambini jijini Cairo…
Usiku wa Moto Barani Ulaya: Mechi Nzito Leo Kusaka Ushindi
Ni siku nyingine ya kibabe kabisa na tulivu ambayo imekuja kwaajili ya kubadili maisha yako. Timu kibao zipo uwanjani kuwania pointi 3 huku wewe ukiwania mkwanja wa maana. Ingia kwenye jamvi akaunti yako na ubeti sasa.
Rayo Vallecano…
Je Bingwa Mtetezi Kuangukia Pua Msimu Huu?
Je msimu huu Liverpool anaweza kutetea taji lake la EPL kwa matokeo ambayo anayapata hivi karibuni?. Pesa nyingi imetumika kufanya usajili lakini bado mambo si shwari klabuni hapo. Bashiri mechi zote na Meridianbet Leo.
Ligi Kuu ya…
Khalid Aucho Afungiwa Michezo 5 na Kutozwa Faini Sh. 1,000,000
Mchezaji wa klabu ya Singida Big Stars (Singida BS), Khalid Aucho, amefungiwa michezo mitano (5) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kufanya kitendo kisicho cha kiuanamichezo dhidi ya Adam Adam wa klabu ya TRA United.
Kisa…
Sowah na Kante Wafungiwa Michezo 5, Mwamuzi Mwinyimkuu Apewa Adhabu
BODI ya Ligi Kuu ya Tanzania imetangaza adhabu kali kwa wachezaji wa klabu ya Simba SC, Jonathan Sowah na Allasane Kante, pamoja na mwamuzi Abdallah Mwinyimkuu, baada ya tukio la ukiukwaji wa kanuni kwenye mchezo dhidi ya Azam FC.…
Simba Yapunguza Bei ya Jezi Zote Msimu Huu wa Sikukuu!
Klabu ya Simba Sc kwa kushirikiana na JayRutty wametoa ofa ya punguzo la bei ya jezi zake katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu ya Christmas na Mwaka Mpya ambapo jezi zote za klabu hiyo sasa zitauzwa kwa Tsh 12000 tofauti na Tsh Tsh.…
Mbio za Ubingwa EPL 2025/26 Arsenal, City au Mshangao Mpya?
Huku EPL ikizidi kuwaka moto, ndipo na wewe unapata nafasi nzuri ya kupata mkwanja wako na Meridianbet leo. Mechi kibao zikiendelea kupigwa andaa jamvi lako la ushindi na ubashiri na wakali hawa siku ya leo.
Kuna zile timu…
Vumbi Kuendelea Leo: Mechi Kibao Kutikisa Ligi Kuu za Ulaya
Ni Meridianbet pekee ndipo unaweza ukabeti mechi za ligi zote na kuibuka bingwa leo. Jumatatu ya ushindi inaanzia kwako huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakungoja wewe. Jisajili na ubeti sasa.
SERIE A kutakuwa na mechi kali kati…
Jumapili ya Moto Ulaya: Milan, Inter, City na Real Madrid Vitani
Ni Meridianbet pekee ndipo unaweza ukabeti mechi za ligi zote na kuibuka bingwa leo. Jumapili ya ushindi inaanzia kwako huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakungoja wewe. Jisajili na ubeti sasa
SERIE A kule Italia kuna mechi za…
Mchambuzi Farhan Afunguka Mazito Kuhusu Posti Zake kwa Yanga – Video
Mwanahabari na mchambuzi wa soka nchini, Farhan Kihamu (@jr_farhanjr), ameibua mjadala mpya mitandaoni baada ya kueleza kuwa kila anapoandika jambo la upande hasi (negative) kuhusu klabu ya Yanga, basi taarifa hiyo huwa ni ya kweli na…
Rais Samia: Jenista Mhagama Alikuwa Kiongozi Jasiri na Nguzo ya Matumaini kwa Wanawake – Video
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemtaja marehemu Jenista Mhagama kuwa kiongozi jasiri, mlezi wa wengi na nguzo muhimu ya matumaini kwa wanawake na vijana, aliyetoa mchango wa kipekee katika Bunge,…
Wikiendi ya Moto Ulaya: EPL, LaLiga, Serie A na Bundesliga Zashika Kasi
Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa Wikendi hii ipo kwaajili ya kuhakikisha hawakuachi patupu. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi za leo hivyo bashiri sasa.
BUNDESLIGA kule Ujerumani kitawaka Frankfurt atakipiga dhidi…
Kocha wa Algeria Bougherra Atangaza Kujiuzulu, Siku 8 Kabla ya AFCON
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Algeria, Madjid Bougherra, ametangaza rasmi kuachana na kikosi hicho siku nane kabla ya kuanza kwa michuano ya AFCON, kufuatia kuondolewa kwa Algeria kwenye FIFA Arab Cup.
Bougherra, ambaye…
Bashiri Leo: Real Sociedad, Lecce, West Brom na Zote Ziko Kwenye Meridianbet
Leo hii kuna mechi kibao sana ambazo zitapigwa ndani ya Meridianbet baada ya kushuhudia wikendi timu nyingi zikifuana jasho. Je unajua kwako wewe mteja wa Meridianbet ni rahisi sana kutengeneza pesa hapa?. Bashiri sasa.
Tandika jamvi…
Meridianbet Yaongeza Kiwango, Kalamba Games Wawasili na Mvuto Mpya wa Sloti
Kwenye michezo ya sloti, mara nyingi tunazoea burudani ya kawaida. Mizunguko, alama, na bahati. Lakini kuna wakati fulani mchezaji anakutana na kitu kinachobadilisha kabisa namna anavyoiona sloti. Ndiyo hicho kinachotokea sasa baada ya…
Yanga Yapewa Mapumziko, Wachezaji Kurudi Desemba 15
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Pedro Goncalves kwa sasa wapo mapumziko.
Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amebainisha kuwa maamuzi hayo yametoka…
Hii Hapa Tathmini kamili ya Habari za Michezo Kwa mashabiki wa Tanzania na Matarajio
Tathmini kamili Habari za Michezo Kwa mashabiki wa Tanzania. Habari za soka. Takwimu, taarifa muhimu kuhusu wachezaji na timu. Jinsi ya kuweka dau kwenye michezo?
Habari za Michezo — Kitovu Kamili cha Taarifa za Michezo
Mpira wa…
Presha Ya Makundi Yawaka: Majogoo Wa Ulaya Wote Uwanjani Leo
Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu hapa suka jamvi lako sasa na uanze kubashiri hapa.
Lille yeye atasafiri kumenyana vikali dhidi ya…
Pacôme Zouzoua Apoteza Nafasi AFCON 2025 – Mashabiki Washangaa!
Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast, Emerse Faé, ametangaza rasmi orodha ya wachezaji 25 watakaoiwakilisha nchi yao katika AFCON 2025 itakayofanyika Morocco.
Habari hiyo imekuwa pigo kwa mashabiki wengi waliokuwa na matumaini…
Bernabéu Yawaka Moto! Real Madrid Yapoteza Tena, Xabi Aingia Hatarini
Kocha wa Real Madrid, Xabi Alonso, yupo kwenye wakati mgumu zaidi tangu achukue timu hiyo, baada ya kurekodi kipigo cha pili mfululizo. Usiku wa jana Madrid walipoteza 2-1 dhidi ya Manchester City katika dimba la Santiago Bernabéu, siku…
Gamondi Ataja Kikosi cha Wachezaji 28 Kwa AFCON 2025, Majina Makubwa Yatupwa
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Miguel Gamond ametaja kikosi cha wachezaji 28 kitakachopeperusha bendera ya Tanzania kwenye michuano wa kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 huko Morocco ambapo Stars ipo Kundi C,…
Leo ni Siku ya Mechi Kubwa za UEFA: Real Madrid vs Manchester City na Zingine
Kama kawaida michuano ya ligi barani Ulaya inazidi kupamba moto ambapo Meridianbet inahakikisha kuwa huondoki patupu. Suka jamvi lako na ubashiri mechi zote hapa hapa.
Arsenal chini ya kocha mkuu Mikel Arteta watasafiri kukipiga…
Chelsea Yapigwa, Liverpool Yang’ara, Barcelona Yapindua Meza Ulaya
Chelsea imekubali kichapo cha 2-1 ugenini dhidi ya Atalanta huku Liverpool ikiibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Inter Milan wakati Barcelona ikipindua meza kibabe kutoka nyuma 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Eintracht Frankfurt.
Atalanta…
Mechi Kubwa za UEFA Champions League Hii Wiki, Piga Mpunga Hapa
Ligi ya mabingwa barani Ulaya inaendelea leo hii ndani ya Meridianbet huku ikiwa ni bado mechi zipo kwenye mfumo wa ligi. Timu zingine zipo kwenye hali nzuri huku zingine zikiwa bado zinajitafuta sasa. Na wewe jitafute uanze kupiga…
Vitalis Mayanga Afungiwa Mechi Tano na Kutozwa Faini
Mshambuliaji wa Mbeya City, Vitalis Mayanga, amefungiwa kucheza mechi tano na pia kutozwa faini ya Tsh Milioni 1 kwa kosa la kumpiga kiwiko kwa makusudi beki wa kushoto wa Simba SC, Anthony Mligo.
Uamuzi huu umetolewa na Kamati ya…
Liverpool Yazidi Kumvizia Semenyo Kufuatia Tetesi za Kuondoka kwa Salah
Klabu ya Liverpool inaonekana tayari kuanza kupanga maisha bila nyota wao Mohamed Salah, kufuatia taarifa zinazoenea kuhusu uwezekano wa mshambuliaji huyo kuondoka mwezi Januari. Kwa mujibu wa The Express, mabosi wa Liverpool wameweka…
Wikiendi Ya Moto Ulaya: Timu Kubwa Zarejea Majukani Kusaka Alama Tatu
Wiki hii imekuwa nzuri sana kwa wale wanaoutumia Meridianbet kufanya ubashiri kwani timu za ushindi zipo hapa leo. ODDS KUBWA na mcahguo zaidi ya 1000 yapo hapa, hivyo ingia na usuke jamvi lako.
Italia kule SERIE A kuna mechi za…
Mexime Apokea Changamoto Mbeya City, Kuikoa Kutoshuka Daraja
Baada ya mwanzo mgumu wa msimu, Mbeya City wamemkabidhi timu kocha Mecky Mexime huku jukumu lake kuu likiwa kuhakikisha klabu inabaki Ligi Kuu msimu ujao wa 2026/27.
Hadi sasa, Mbeya City imecheza mechi 10 na kudumu na alama 8 pekee,…
TRA United Yachukua Pointi Tatu Ugenini Baada ya Kuicharaza Singida 3–1
Singida Black Stars wameendelea kukumbana na wakati mgumu kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kupoteza kwa mabao 3–1 dhidi ya TRA United katika mchezo uliochezewa Uwanja wa KMC jijini Dar es Salaam.
Mchezo ulianza kwa kasi…
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
Dar es Salaam. Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa kikapu Tanzania (betPawa NBL 2025) yaliyomalizika Jumamosi kwenye uwanja wa Chinangali,…
Matola Amethibitisha Simba, Sasa Ni Zamu Ya Kumpa Majukumu Makubwa
Dunia ya leo klabu nyingi kubwa zimekuwa zikiwapa nafasi wachezaji wao wa zamani kwa kustahili, si kwa sababu tu waliwahi kuvaa jezi za timu hizo. Ndiyo maana klabu kama Al Ahly tunaona nafasi muhimu, ikiwemo ile ya Mwenyekiti,…
Arsenal Walizwa Kwenye Dakika za Nyongeza, Villa Yashinda 2-1 Nyumbani!
Dimba la Villa Park limeishuhudia mechi yenye msisimko mkubwa baada ya Emiliano Buendia kufunga bao la dakika za mwisho, likiipa Aston Villa ushindi wa 2-1 dhidi ya Arsenal.
Mechi ilianza kwa Arsenal kudhibiti miduara, lakini Aston…
Mechi Kali Wikiendi Hii: Arsenal kwa Aston Villa, PSG kwa Rennes, Bayern kwa Stuttgart
Je unajua kuwa Wikendi ya ushindi mnono na Meridianbet imefika siku ya leo ambapo kwa dau lako dogo tuuh unaweza ukajishindi maokoto ya maana. City, Bayern, PSG na wengine kibao wapo kwaajili yako leo.
SERIE A kule Italia itaendelea…
Makundi ya Kombe la Dunia 2026 Yatangazwa, Vigogo Waangukia Kundi la Kifo
Droo ya hatua ya makundi ya kombe la Dunia 2026 imekamilika huko Kennedy Center Jijini Washington, D.C Marekani ljumaa, Desemba 5, 2025 ambapo wababe wa soka Duniani wakibaini wapinzani wao.
KUNDI A: Mexico, South Africa, South…
Trump Atunukiwa Tuzo Mpya ya Amani ya FIFA Katika Droo ya Kombe la Dunia 2026
Rais wa Marekani, Donald Trump ametunukiwa tuzo mpya ya amani ya FIFA kwenye hafla ya Droo ya Hatua ya Makundi ya Kombe la Dunia 2026 FIFA inayofanyika leo Ijumaa, Desemba 5, 2025 huko Kennedy Center Jijini Washington, D.C Marekani.…
Saleh Jembe Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi za DP World na Simba – Video
Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe (@salehjembefacts), ametolea ufafanuzi tetesi zinazozagaa mitandaoni kuhusu kampuni ya DP World kudaiwa kuwa katika mazungumzo ya kuidhamini Klabu ya Simba SC.
Amesema kuwa taarifa hizo hazina…
Taarifa, Odds Kubwa na Fursa za Ushindi Zinakungoja Kwenye Meridianbet Sport Portal
Meridianbet Sport Portal? Hili ni jukwaa kubwa kabisa ambalo kutokana na upana limekuja kwaajili ya kumrahisishia kazi mteja wa Meridianbet wakati wa kubashiri kwani hapa anapata taarifa zote za kimichezo na kasino kwa ujumla.…
Yanga Yashinda Mabao 2-0 Dhidi ya Fountain Gate, Dube Atupia Penalti
Dakika 90 za mchuano wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara zimemalizika kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, jijini Dar es Salaam huku Yanga SC wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Fountain Gate FC (Wananchi).
Prince Dube ndiye…
betPawa Locker Room Bonus yafikisha Sh 91m NBL 2025 ikielekea nusu fainali
Dar es Salaam. Jumla ya Sh91 milioni mpaka sasa zimetumika kuwalipa Wachezaji mbalimbali wa timu za mpira wa kikapu zinazoshiriki klabu bingwa ya Tanzania (NBL) kupitia mpango wa Locker Room Bonus (LRB) kupitia chapa ya michezo ya…
Serikali Yatoa Bonasi kwa Twiga Stars Baada ya Kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika
Timu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, imekabidhiwa bonasi ya shilingi milioni 50 leo Disemba 3, 2025 kama pongezi ya mafanikio yao ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika ya Wanawake (WAFCON) 2026.
Bonasi hiyo imetolewa na Msemaji wa…