Browsing Category
Michezo
Azam FC Yamaliza Kambi Karatu kwa Kutembelea Ngorongoro
Kikosi cha Azam FC kikiwa Karatu, mkoani Arusha, kimehitimisha kambi yake ya wiki mbili ya maandalizi ya msimu mpya kwa mtindo wa kipekee – kutembelea Hifadhi ya Ngorongoro.
Ziara hiyo imekuwa sehemu ya kujivinjari na kuendeleza…
Msemaji Mkuu wa Serikali: Dawa za VVU Zinatolewa Bure Nchini – Video
Dar es Salaam, Agosti 15, 2025 – Msemaji Mkuu wa Serikali, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, ameutaja upatikanaji wa dawa za Virusi vya Ukimwi (VVU) nchini, akithibitisha kuwa…
Azam Fc Yampa Baraka Ninju, Safari Mpya Yaanza Yanga
KLABU ya Azam Fc imefikia makubaliano na klabu ya Yanga kuhusu mchezaji, Nizar Abubakar Othman almaarufu Ninju ambaye Yanga Sc ilimtangaza kama mchezaji wake mpya mnamo Julai 14, 2025.
Hatua hiyo imekuja baada ya sintofahamu…
Ligi Zimerejea, Vuna Pesa na Meridianbet Sasa
Baada ya heka heka za miezi miwili na siku chache hatimaye sasa ligi zimerejea na wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa huu ndio msimu wako wa kutamba kwani tayari wamekuandalia ODDS za kibabe. Suka jamvi lako na uanze safari ya…
Naby Camara Aanza Mazoezi Rasmi Simba Kuleta Ushindani Mkali
NYOTA mpya wa Simba SC, Naby Camara raia wa Guinea tayari ameanza kazi katika kikosi hicho kuelekea msimu wa 2025/26 chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids.
Camara ni beki wa kushoto alitambulishwa rasmi kuwa nyeupe na nyekundu Agosti 14…
Yanga Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Mchango wa CCM wa Shilingi Milioni 100
Uongozi wa Yanga SC umetoa ufafanuzi kuwa mchango wa Shilingi milioni 100 uliotolewa CCM tarehe 12 Agosti 2025, ulitolewa na GSM Foundation inayosimamiwa na mdhamini wa klabu, Ghalib Said Mohammed, na haukutoka kwenye hela za wanachama…
Simba Yamtambulisha Naby Camara kwa Mkataba wa Miaka Miwili
Klabu ya Simba SC imethibitisha kumsajili kiungo kiraka raia wa Guinea, Naby Camara, kama mchezaji huru kwa mkataba wa miaka miwili, utakaomuweka klabuni hapo hadi mwaka 2027.
Camara mwenye umri wa miaka 23 ana uwezo wa kucheza…
CAF Yatoza Kenya Faini ya Milioni 127, Yaonya Kuhamishia Mechi Nje
Bodi ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) imeipiga Kenya faini ya dola 50,000 za Marekani (sawa na takribani TZS milioni 127.8) kutokana na makosa ya kiusalama yaliyojitokeza katika mchezo dhidi ya Morocco uliofanyika…
PSG vs Spurs: Frank Anapanga Kuandika Historia Mpya kwa Spurs
Kocha mpya wa Tottenham Hotspur, Thomas Frank, amesisitiza kuwa kikosi chake kiko tayari kwa mtanange wa UEFA Super Cup Jumatano dhidi ya mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain. Spurs, wanaoshiriki kwa mara ya kwanza…
Simba Yaanza Kazi, Yapata Ushindi Mabao 2-0 Kahraba Ismailia
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC wameanza kazi kupima kikosi chao wa kupata ushindi kwenye mchezo wa kirafiki.
Simba SC chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kambi yao ni nchini…
Azam FC Yamsajili Edward Manyama kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja
Dar es Salaam – Klabu ya Azam FC imethibitisha kumsajili beki wa kati Edward Charles Manyama kwa mkataba wa mwaka mmoja, utakaomuweka ndani ya kikosi hicho hadi mwaka 2026.
Manyama (31), raia wa Tanzania, ana historia ya kuchezea…
Cristiano Ronaldo Amvisha Georgina Pete ya Uchumba Yenye Thamani ya Hadi Bilioni 12
Nguli wa soka duniani, Cristiano Ronaldo (40), hatimaye amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa muda mrefu, Georgina Rodríguez, pete kubwa na ya kifahari inayofaa hadhi ya bilionea.
Georgina alionyesha pete hiyo mpya kupitia ukurasa…
Mechi za Kufuzu Ligi ya Mabingwa Kukupa Mzigo Mkubwa Leo
Leo tena ni siku nzuri ya wewe kuondoka tajiri na Meridianbet kwani tayari mechi zipo kwaajili yako sasa. Suka jamvi lako la ushindi hapa na uweke dau lako dogo kabisa hakuna kiasi cha kubashiri hapa.
Viktoria Plzen yeye atakuwa…
Saleh Jembe: Simba na Yanga Zimeweka Msingi wa Mafanikio ya Taifa Stars
Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe, amesema kuwa ubora wa klabu kongwe za Simba SC na Yanga SC umechangia kwa kiasi kikubwa kuimarika kwa kiwango cha Timu ya Taifa, Taifa Stars.
Akizungumza kuhusu mashindano ya CHAN, Jembe…
SportPesa Yamwaga Bilioni 21.7 kwa Yanga, Zawadi Nonoo Ubingwa wa Afrika
Kampuni ya michezo ya kubashiri, SportPesa, imeingia mkataba wa miaka mitatu na Klabu ya Yanga wenye thamani ya Shilingi Bilioni 21.7.
Kwa mujibu wa mkataba huo, Yanga itavuna Shilingi Bilioni 7.2 kila mwaka, ndani ya kipindi cha miaka…
Jisajili Na Meridianbet Upate Bonasi Hadi Mara Tatu
Meridianbet inakukaribisha kwenye ulimwengu wa ushindi kwa ofa ya kipekee, ni 1st, 2nd & 3rd Deposit Welcome Bonus. Hii ni nafasi ya pekee ya kujipatia bonasi kubwa na mizunguko ya bure (Free Spins) hadi 150, mara tatu mfululizo,…
Ruto Aahidi TSh 48 Milioni kwa Kila Mchezaji Harambee Stars Wakishinda Zambia
Rais wa Kenya, William Ruto, leo amekutana na kikosi cha Harambee Stars na kutoa ahadi nono kuelekea mechi ya mwisho ya Kundi A ya michuano ya CHAN 2024 dhidi ya Zambia, itakayopigwa Jumapili katika Uwanja wa Kasarani.
Ruto…
Nani Bingwa wa LALIGA 2025/26?
Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa leo hii unaweza ukabashiri nani anaweza kuwa bingwa wa Laliga. Kila timu imepewa ODDS nzuri inayoweza kukupatia pesa za maana. Jiunge sasa na Meridianbet uanze safari yako ya ushindi hapa.…
Caf Yapanga Droo Ya Awali Ligi Ya Mabingwa Afrika, Simba, Yanga Na Mlandege Wabaini Wapinzani
Droo ya hatua ya awali (preliminary round) ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu wa 2025/26 imekamilika ambapo wawakilishi wa Tanzania kwenye CAFCL, Simba Sc, Yanga Sc na Mlandege Fc wamebaini wapinzani wao kwenye ‘CAFCL Preliminary…
MultiChoice Yatoa Onyo Kali Dhidi ya Uvunjaji wa Haki Miliki za Matangazo ya Soka
Kampuni ya MultiChoice imetoa onyo kali kwa yeyote atakayehusika kurusha au kuonesha maudhui yenye haki miliki bila idhini na Imetangaza kuwa itachukua hatua kali za kisheria dhidi ya wahusika watakaokiuka haki hizo.
Kupitia taarifa…
Kocha Simba Fadlu Davids Afichua Hesabu Kuelekea Msimu Mpya
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amesema kuwa wamefanya maboresho makubwa kwenye kikosi kwa kupata saini za wachezaji ambao watakuwa na kazi kupambana kwenye mashindano ambayo watashiriki.
Simba SC msimu wa 2024/25 ilishiriki Kombe…
Nafasi Kubwa ya Kuondoka na Mshindo Ipo Hapa
Jumamosi ya mwisho kabla ligi kuanza hii hapa imefika ambapo wakali wa ubashiri wanataka kuhakikisha kuwa huondoki patupu. Tengeneza jamvi lako la ushindi sasa ujipigie mkwanja sasa.
AC Milan watasafiri kukiwasha dhidi ya Leeds…
CAF Yatangaza Vilabu 75 Bora Afrika 2025, Klabu 3 za Tanzania Zatamba
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) leo limetoa orodha ya vilabu 75 bora kwa mwaka 2025, ikizingatia viwango na alama walizokusanya kutokana na ushiriki wao katika mashindano ya CAF na michuano mingine mikubwa barani.
Kwa…
Thierry Henry Ajiunga na Betway Kama Balozi wa Kimataifa wa Soka
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ufaransa na vilabu vikubwa vya soka barani Ulaya, Thierry Henry, sasa amejiunga rasmi na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Betway kama Balozi wa Kimataifa wa Soka .
Henry, ambaye…
Kapombe Aibeba Stars Dakika za Mwisho, Tanzania Yaendelea Kuongoza Kundi B
Dar es Salaam, Agosti 6, 2025 — Bao la dakika ya 89 lililofungwa na beki mahiri Shomari Kapombe limeipa Taifa Stars ushindi wa pili mfululizo katika Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN 2024), baada ya…
Mshambuliaji Wa Mabao Yanga Auzwa Uarabuni
INAELEZWA kuwa Yanga wamefikia makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wa mabao ndani ya kikosi hicho ambaye ni mzawa namba moja kufunga mabao mengi msimu wa 2024/25.
Ni Clement Mzize ambaye alikuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miloud…
Meridianbet Kuileta iMoon, Fursa Mpya Kwa Kasino Mtandaoni
Kasi ya mabadiliko katika teknolojia ya burudani imeleta matakwa mapya kutoka kwa wachezaji, wanataka zaidi ya burudani ya kawaida. Wanatafuta michezo yenye wepesi wa uchezaji, msisimko wa papo kwa papo, na nafasi halisi za ushindi.…
Simba Yamtambulisha Anthony Mligo Kutoka Namungo
Klabu ya Simba imethibitisha kuinasa saini ya mlinzi wa kushoto, Anthony Mligo kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Namungo Fc ikiwa ni muendelezo wa kuboresha kikosi chake kuelekea msimu mpya wa 2025/26.
Mligo (17) raia wa Tanzania…
Suka Jamvi Lako na Mchezaji Bora wa PFA Meridianbet
Je unajua kuwa unaweza kusuka jamvi la kumchagua mchezaji bora wa msimu mapema kabisa kabla ligi hazijaanza?. Ni rahisi sana ukiwa na akaunti ya Meridianbet kwani tayari odds za washindi zipo tayari kazi ni kwako tuu.
Nafasi kubwa ya…
Mashindano ya Kwanza ya Dunia ya Soka la Roboti Kuandaliwa – Timu 30 Kuonesha Ubora wa AI
Timu 30 kutoka mataifa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na Ureno zinajiandaa kwa mashindano ya kwanza ya dunia ya roboti, ambapo roboti hao wenye akili bandia (AI) watashiriki kwenye mechi za soka za wachezaji watano kwa upande mmoja bila…
RS Berkane Yamnyatia Mkali wa Simba Steven Mukwala
MKALI wa kucheka na nyavu ndani ya kikosi cha Simba SC, Steven Mukwala inaelezwa kuwa huenda akauzwa na kutokuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2025/26.
Mukwala yupo na Simba SC kambini nchini Misri ikiwa ni maandalizi ya msimu…
Vodacom Yatambua Vipaji Vya Golf Kupitia Corporate Masters
Mkuu wa Idara ya Masoko na Ushirikiano kutoka Vodacom Tanzania Joseph Sayi wa pili kushoto akimkabidhi tuzo moja ya washindi wa tuzo ya gofu ya kupiga mbali Bw. Ali Mamdouhi wa pili kulia Tukio hili limefanyika jana wakati wa ugawaji wa…
Yanga Hawapoi, Kiungo Wa Kazi Mohamed Doumbia Ndani
YANGA SC mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2025/26 hawapoi kutokana na kasi yao kwenye utambulisho wa wachezaji wapya.
Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Yanga SC ilitwaa taji la Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC…
Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Dkt. Samia Ufunguzi Michuano Ya Chan 2024
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Agosti 02, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye sherehe za ufunguzi rasmi wa michuano ya CHAN 2024, katika Dimba la Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo wa ufunguzi Timu…
Tanzania Yafungua CHAN Kwa Ushindi, Wakomba Mamilioni Ya Mama
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imefungua pazia la CHAN 2024 kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Burkina Faso mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa Agosti 2 2025 mbele ya mashabiki waliojitokeza kushuhudia burudani hiyo.
Mabao…
Simba Yamnasa Nyota wa Kenya, Mohamed Bajaber!
Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kwa msimu ujao kwa kumsajili kiungo mshambuliaji kutoka Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars), Mohamed Bajaber.
Bajaber (miaka 22), ambaye alikuwa akikipiga Kenya Police FC,…
Leo Ni Leo! Mamilioni Yako Yapo Hapa – Bashiri na Meridianbet
Ikiwa ni Jumamosi ya mwezi wa Agosti huku ligi mbalimbali Duniani zikiwa karibu kuanza, Meridianbet inakupa fursa ya kujipigia pesa za uhakika kwa kubeti mechi za kirafiki. Timu nyingi zitakuwa uwanjani siku ya leo kujiweka sawa. Suka…
CAF Yamfuta Kazi Mkurugenzi Mkuu Wa Waamuzi Kufuatia Sakata La Fainali Ya Wafcon Ya Wanawake
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limemfuta kazi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Waamuzi, Désiré Noumandiez Doué, kwa makosa yaliyofanywa katika Kombe la Afrika la Wanawake.
Haya yanajiri baada ya Shirikisho la soka la Morocco…
Yanga Yamtambulisha Célestin Ecua Kutoka Ivory Coast
Klabu ya imemtambulisha rasmi mshambuliji Célestin Ecua, raia wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 23, kama mchezaji mpya wa kikosi chao kwa msimu ujao, akitokea klabu ya Zoman FC ya nchini kwao.
Ecua alikuwa kwenye kiwango bora msimu…
Simba Yamtambulisha Jonathan Sowah Kutoka Singida Black Stars
Klabu ya Simba Sports Club imekamilisha usajili wa mshambuliaji hatari raia wa Ghana, Jonathan Sowah, ambaye ametambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa Wekundu wa Msimbazi kwa mkataba wa miaka miwili, ambao utamuweka klabuni hadi Juni…