The House of Favourite Newspapers
Browsing Category

Mikasa

Shuga Sukari sehemu ya 9

“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na nyuma amefungasha wowowo utasema wako wawili. Mtaani kwao walikuwa wakimuita kwa jina la Bonge, hata mimi siku za…

Ukweli Kuhusu Pauline Zongo uko Hivi

NAMFAHAMU Pauline Zongo tangu enzi za East Coast Team akiwa kama First Lady wa kundi hilo akiwa na wasanii wengine kama AY, Crazy GK, MwanaFA, Abbas, Snare na wengine mwishoni mwa mwaka 1999 na mwanzoni mwa miaka ya 2000. …

Crown ya Kiduku, Dullah Mbabe Hadharani

RASMI Kampuni ya Jan International kupitia Mkurugenzi wake, Jan Mohamed Kishki leo Agosti 6, 2021 imeandikishana saini na Azam Tv mikataba ya gari mpya aina ya Toyota Crown kwa ajili ya mshindi wa pambano kati ya Twaha Kiduku na Dullah…

KMC Watamba Kuwachapa Simba leo

KUELEKEA mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba utakaopigwa leo, kikosi cha Wana Kinondoni, KMC kimejinasibu kuwa wanaimudu Simba na wataibuka na ushindi kwenye mchezo huo. Mchezo huu utakuwa wa kwanza kwa timu hizo…

 Mtoto Ajinyonga Akisonga Ugali

MTOTO aliyejulikana kwa jina la Maria Saidi Mtengwa (16) mkazi wa Salasala jijini Dar amekatisha uhai wake kwa kujinyonga kikatili wakati akiandaa chakula cha mchana huku chanzo kikiwa hakijulikani. Tukio hilo lilitokea…

ANASWA WIZI WA MTOTO MCHANGA

AIBU! Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, Mkazi wa Urambo mkoani Tabora amenaswa kwa wizi wa mtoto mchanga.  Tujiunge na mama Akizungumza na Risasi Mchanganyiko kwa majonzi, mama wa mtoto, Salome Sindigu alisema…

MADAKTARI WAKWAA SKENDO

HUJAFA hujaumbika ni msemo wa Kiswahili wenye tafsiri ya maisha ya kiumbe na maumbile yake halisi aliyoumbwa na Mwenyezi Mungu na baadaye kuishi duniani kwa kadiri Mungu alivyomkadiria maisha yake. Unaweza kuzaliwa ukiwa na viungo…

MWANAKWAYA AMUUA MWANAKWAYA MWENZAKE

KABLA tukio la kusikitisha la Naomi Marijani, mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, kudaiwa kuuawa na mumewe kisha mwili wake kuchomwa moto halijapoa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limetoa tuhuma mpya kwamba mwanakwaya mmoja, mkazi…

FAGIO KALI CCM

HALI ya mambo ndani ya Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ kinachounda serikali si shwari kutokana na kuwepo kwa madai kuwa, kuna baadhi ya makada wa chama hicho wanamhujumu mwenyekiti wao ambaye ni Rais Dkt. John Magufuli kuelekea uchaguzi mkuu…

SABABU WANAWAKE KUUAWA ZAANIKWA

MATUKIO ya wanandoa kuuana yanaendelea kukithiri nchini na kuleta tishio jipya hasa kwa wanawake ambao kwa kiasi kikubwa ni waathirika wa matukio haya ya kinyama.  Risasi Jumamosi hivi karibuni limechimba kwa undani na kuibuka na sababu…

SANGOMA MASHAROBARO WATIKISA

DAR ES SALAAM: VIJANA watano waliotajwa kuwa ni waganga wa kienyeji ‘sangoma’ tena masharobaro wameutikisa mji wa Morogoro baada ya kudaiwa kutoa mapembe (majini au uchawi) kwenye nyumba za watu, Amani lina habari nzima.  Mkazi mmoja wa…

MAMA ALALA NA NYOKA SIKU 14

MAMA mmoja aliyefahamika kwa jina la Asha Mohammed mkazi wa Boko Chama jijini Dar amejikuta katika mateso mazito kufuatia kupooza miguu na masikio yake kutosikia ambapo katika harakati za kutibiwa alijikuta akilazwa na nyoka chumbani…

MSANII APIGWA MIMBA YATOKA

DAR ES SALAAM: MAMBO mengine yanatafakarisha! Hivi inawezekanaje umkataze mtu atukane halafu ageuke mbogo na baadaye kukushushia kipigo hadi ujauzito uharibike? Amani limepokea kisa hiki na linakupakulia.  Msanii wa filamu…

SIMANZI NZITO MGODINI

NI simanzi nzito! Wachimbaji wawili wa dhahabu katika Kijiji cha Izumbi, Sangamba Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi cha udongo katika Mgodi wa Mwembe wilayani Chunya, Mbeya.  Tukio…