KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko, amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kurejea kwenye kikosi hicho ili kuendeleza mapambano ya kulisaka...
READ MOREMMILIKI wa Klabu ya Chelsea, Roman Abramovich anaumia kuiweka sokoni timu hiyo na hayo yameonekana kupitia waraka ambao ameuandika. Alhamis...
READ MOREBAO pekee la Nahodha, beki mkongwe Aggrey Morris dakika ya 30 lilitosha kuipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya...
READ MORENahodha wa Kikosi cha Simba, John Bocco amesema wamefungua mwaka vizuri kwa kutwaa taji la Mapinduzi wanatarajia kutetea mawili yaliyobaki....
READ MOREUONGOZI wa Yanga kwa kushirikiana na Benchi la Ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkuu raia wa Tunisia, Nasreddine...
READ MORE“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na...
READ MORENAMFAHAMU Pauline Zongo tangu enzi za East Coast Team akiwa kama First Lady wa kundi hilo akiwa na wasanii wengine...
READ MORENASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema anapenda kuona wachezaji wake wote wakiwa uwanjani, lakini kutokana na sababu zilizo nje...
READ MOREDunia inakwenda kwa kasi sana, wanasayansi wanaumiza vichwa kila kukicha ili kupambana na hofu kuu ya binadamu, kifo. Ipo wazi...
READ MORERASMI Kampuni ya Jan International kupitia Mkurugenzi wake, Jan Mohamed Kishki leo Agosti 6, 2021 imeandikishana saini na Azam Tv...
READ MOREBEKI anayeimbwa sana kwa sasa ndani ya Yanga tangu alipoanza kupewa nafasi ya kucheza, Dickson Job, amesema kuwa kuna mambo...
READ MOREBibi mwenye ulemavu wa kusikia na miguu, Baya Said Simba yupo katika wakati mgumu kufuatia madai kwamba nyumba aliyoachiwa na...
READ MOREKUELEKEA mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba utakaopigwa leo, kikosi cha Wana Kinondoni, KMC kimejinasibu kuwa wanaimudu...
READ MOREUONGOZI wa Klabu ya Simba upo katika mchakato wa kuwatuma watangulizi kwa ajili ya kuwachunguza wapinzani wao nchini Nigeria, Plateau...
READ MOREMvulana wa miaka 10 mkazi wa kijiji cha Itare nchini Kenya amejitahiri kwa kutumia kisu baada ya wazazi wake kushindwa...
READ MOREUSWAHILINI kuna vituko! Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Mama Shamira Mkazi wa Jeti Lumo Mtaa wa Masizi jijini Dar...
READ MOREUKISIKIA kimenuka; jua hali ya hewa imechafuka na kweli ndivyo ilivyo kwa kigogo mmoja na diwani wa Chama Cha...
READ MOREDAR: Balaa la mchepuko linapokuzukia kwenye ndoa yako, weee! Lisikie hivyohivyo, usiombe likutokee kama kijana Hamza Imam lilivyomtia aibu mtaani. ...
READ MOREPWANIVituko haviishi duniani! Mkazi wa Vikindu mkoani Pwani anayetajwa kwa jina moja la Shamila ametamani ardhi ipasuke aingie baada ya...
READ MOREHIVI dunia inakwenda wapi? Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mkenyenge wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, (jina linahifadhiwa), amemtaja baba yake...
READ MORENANI kasema wanawake hawawezi kuwatongoza wanaume? Mjini Morogoro mwanamke mmoja (jina halikupatikana) amejikuta akizimia wakati akimuomba penzi mume wa mtu. ...
READ MOREDAR ES SALAAM: MAISHA ya uswahilini raha sana jamani! Mambo yalikuwa burudani kwenye sherehe iliyofunga Mtaa wa Bi. Ndege uliopo...
READ MOREHAKIKA hujafa, hujaumbika! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia habari hii ya baba aliyefahamika kwa jina la Salim Mohammed mkazi wa Tuangoma...
READ MOREPWANI: Mateso asilimia 100! Ndivyo walivyozungumza majirani wakati wakielezea tukio la binti anayedawa kulazwa kwenye banda la kuku, Amani linakushushia...
READ MOREWAKATI tume iliyoundwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ikisubiriwa kutoa majibu ya kuwepo au kutokuwepo kwa uzembe kwa mamlaka...
READ MOREMTOTO aliyejulikana kwa jina la Maria Saidi Mtengwa (16) mkazi wa Salasala jijini Dar amekatisha uhai wake kwa kujinyonga kikatili...
READ MOREAIBU! Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, Mkazi wa Urambo mkoani Tabora amenaswa kwa wizi wa mtoto mchanga. ...
READ MOREMWANAUME mmoja aliyefamika kwa jina la ‘Mlawa’ mkazi wa Kizani, Gezaulole jijini Dar amedaiwa kuchoma nyumba yake na kupoza hasira...
READ MORETUMECHOKA! Ndivyo walivyosikika kundi kubwa la wanawake ambao wameandamana kupinga tukio lililowatikisa la ubakaji wa binti wa miaka 16 anayedaiwa...
READ MOREMSHTUKO! Chrispine Mtuta, mkazi wa Mbezi- Kwembe jijini Dar, ameibuka na tuhuma nzito za kushtua kwamba, madaktari wamechangia kifo cha...
READ MOREHUJAFA hujaumbika ni msemo wa Kiswahili wenye tafsiri ya maisha ya kiumbe na maumbile yake halisi aliyoumbwa na Mwenyezi Mungu...
READ MOREDAR ES SALAAM: Ni stori ya kusikitisha ambayo inamhusu bibi aitwaye Mwanahawa Mshamu Ngomari ambaye anadai kutapeliwa nyumba yake iliyopo...
READ MOREMaMa mmoja ajulikanaye kwa majina ya Lucia Keraka mwenye umri wa miaka 34, mkazi wa Kijiji cha Kerende wilayani Tarime,...
READ MOREKABLA tukio la kusikitisha la Naomi Marijani, mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, kudaiwa kuuawa na mumewe kisha mwili...
READ MOREHALI ya mambo ndani ya Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ kinachounda serikali si shwari kutokana na kuwepo kwa madai kuwa, kuna...
READ MOREMATUKIO ya wanandoa kuuana yanaendelea kukithiri nchini na kuleta tishio jipya hasa kwa wanawake ambao kwa kiasi kikubwa ni waathirika...
READ MOREDAR ES SALAAM: VIJANA watano waliotajwa kuwa ni waganga wa kienyeji ‘sangoma’ tena masharobaro wameutikisa mji wa Morogoro baada ya...
READ MOREUKISIKIA neno mauzauza maana yake ni hali ya ovyoovyo isiyotambulikana; hii ndiyo imedaiwa kuletwa na paka wa ajabu nyumbani kwa...
READ MORE