×

Mikasa

Moloko Arudi Na Mzuka Wa Ubingwa Yanga

KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko, amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kurejea kwenye kikosi hicho ili kuendeleza mapambano ya kulisaka...

READ MORE

Abramovich Anaumia kweli Kuiweka Sokoni Chelsea

MMILIKI wa Klabu ya Chelsea, Roman Abramovich anaumia kuiweka sokoni timu hiyo na hayo yameonekana kupitia waraka ambao ameuandika. Alhamis...

READ MORE

Azam, Namungo, Pamba Zapeta Kombe la Shirikisho

BAO pekee la Nahodha, beki mkongwe Aggrey Morris dakika ya 30 lilitosha kuipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya...

READ MORE

Bocco: Haikuwa Kazi Rahisi

Nahodha wa Kikosi cha Simba, John Bocco amesema wamefungua mwaka vizuri kwa kutwaa taji la Mapinduzi wanatarajia kutetea mawili yaliyobaki....

READ MORE

Nabi Kufanya Uamuzi Mgumu Yanga

UONGOZI wa Yanga kwa kushirikiana na Benchi la Ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkuu raia wa Tunisia, Nasreddine...

READ MORE

Shuga Sukari sehemu ya 9

“Sandra alikuwa toto haswaa, mweupe, mrefu kiasi, kibonge wa nguvu, mzuri wa sura, macho muda wote kama amekula kungu na...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Pauline Zongo uko Hivi

NAMFAHAMU Pauline Zongo tangu enzi za East Coast Team akiwa kama First Lady wa kundi hilo akiwa na wasanii wengine...

READ MORE

Mapinduzi, Mustapha Wampasua Kichwa Nabi

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema anapenda kuona wachezaji wake wote wakiwa uwanjani, lakini kutokana na sababu zilizo nje...

READ MORE

CRYOGENIC PRESEVARTION: Teknolojia ya kuwahifadhi Wafu kisha Kuwafufua

Dunia inakwenda kwa kasi sana, wanasayansi wanaumiza vichwa kila kukicha ili kupambana na hofu kuu ya binadamu, kifo. Ipo wazi...

READ MORE

Crown ya Kiduku, Dullah Mbabe Hadharani

RASMI Kampuni ya Jan International kupitia Mkurugenzi wake, Jan Mohamed Kishki leo Agosti 6, 2021 imeandikishana saini na Azam Tv...

READ MORE

Beki Yanga: Nabi Atawanyoosha Simba

BEKI anayeimbwa sana kwa sasa ndani ya Yanga tangu alipoanza kupewa nafasi ya kucheza, Dickson Job, amesema kuwa kuna mambo...

READ MORE

Familia Yatupiwa Vyombo Nje, Mama Asimulia kwa Uchungu

Bibi mwenye ulemavu wa kusikia na miguu, Baya Said Simba yupo katika wakati mgumu kufuatia madai kwamba nyumba aliyoachiwa na...

READ MORE

KMC Watamba Kuwachapa Simba leo

KUELEKEA mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba utakaopigwa leo, kikosi cha Wana Kinondoni, KMC kimejinasibu kuwa wanaimudu...

READ MORE

Simba Kutuma Mashushushu Nigeria Wiki Ijayo

UONGOZI wa Klabu ya Simba upo katika mchakato wa kuwatuma watangulizi kwa ajili ya kuwachunguza wapinzani wao nchini Nigeria, Plateau...

READ MORE

MTOTO WA MIAKA 10 AJITAHIRI KWA KISU

Mvulana wa miaka 10 mkazi wa kijiji cha Itare nchini Kenya amejitahiri kwa kutumia kisu  baada ya wazazi wake kushindwa...

READ MORE

Madai ya Kuazima Vyombo… Mama Asuta Mtaa Mzima – Video

USWAHILINI kuna vituko! Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Mama Shamira Mkazi wa Jeti Lumo Mtaa wa Masizi jijini Dar...

READ MORE

Kimenuka! Kigogo, Diwani CCM Watoleana Siri za Chumbani

  UKISIKIA kimenuka; jua hali ya hewa imechafuka na kweli ndivyo ilivyo kwa kigogo mmoja na diwani wa Chama Cha...

READ MORE

Balaa la Mchepuko Mke Afunga Mtaa, Azua Timbwili, Adai Talaka!

DAR: Balaa la mchepuko linapokuzukia kwenye ndoa yako, weee! Lisikie hivyohivyo, usiombe likutokee kama kijana Hamza Imam lilivyomtia aibu mtaani. ...

READ MORE

Aanika Siri za Chumbani za Mume wa Mtu… Asutwa!

PWANIVituko haviishi duniani! Mkazi wa Vikindu mkoani Pwani anayetajwa kwa jina moja la Shamila ametamani ardhi ipasuke aingie baada ya...

READ MORE

Denti Apewa Mimba na Bab’ake Mzazi

  HIVI dunia inakwenda wapi? Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mkenyenge wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, (jina linahifadhiwa), amemtaja baba yake...

READ MORE

AZIMIA AKIMUOMBA PENZI MUME WA MTU!

NANI kasema wanawake hawawezi kuwatongoza wanaume? Mjini Morogoro mwanamke mmoja (jina halikupatikana) amejikuta akizimia wakati akimuomba penzi mume wa mtu. ...

READ MORE

Funga Mtaa, Mke Atumia Mdundiko Kumtoa Mumewe Kwa Mchepuko Wake

DAR ES SALAAM: MAISHA ya uswahilini raha sana jamani! Mambo yalikuwa burudani kwenye sherehe iliyofunga Mtaa wa Bi. Ndege uliopo...

READ MORE

Inauma Sana! Baba Akatwa Ulimi, Ateseka

HAKIKA hujafa, hujaumbika! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia habari hii ya baba aliyefahamika kwa jina la Salim Mohammed mkazi wa Tuangoma...

READ MORE

Mateso100% Binti adai KULAZWA KWENYE BANDA LA KUKU

PWANI: Mateso asilimia 100! Ndivyo walivyozungumza majirani wakati wakielezea tukio la binti anayedawa kulazwa kwenye banda la kuku, Amani linakushushia...

READ MORE

Waliokufa ajali ya moto Moro… UTATA WAIBUKA!

  WAKATI tume iliyoundwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ikisubiriwa kutoa majibu ya kuwepo au kutokuwepo kwa uzembe kwa mamlaka...

READ MORE

 Mtoto Ajinyonga Akisonga Ugali

MTOTO aliyejulikana kwa jina la Maria Saidi Mtengwa (16) mkazi wa Salasala jijini Dar amekatisha uhai wake kwa kujinyonga kikatili...

READ MORE

ANASWA WIZI WA MTOTO MCHANGA

AIBU! Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, Mkazi wa Urambo mkoani Tabora amenaswa kwa wizi wa mtoto mchanga. ...

READ MORE

MADAI MAZITO MUME ACHOMA NYUMBA KUPOZA HASIRA!

MWANAUME mmoja aliyefamika kwa jina la ‘Mlawa’ mkazi wa Kizani, Gezaulole jijini Dar amedaiwa kuchoma nyumba yake na kupoza hasira...

READ MORE

UBAKAJI WATIKISA DAR WANAWAKE WACHARUKIA POLISI, WASEMA: TUMECHOKA!

TUMECHOKA! Ndivyo walivyosikika kundi kubwa la wanawake ambao wameandamana kupinga tukio lililowatikisa la ubakaji wa binti wa miaka 16 anayedaiwa...

READ MORE

MSHTUKO MUME ADAI MADAKTARI KUUA MKEWE NA MTOTO

MSHTUKO! Chrispine Mtuta, mkazi wa Mbezi- Kwembe jijini Dar, ameibuka na tuhuma nzito za kushtua kwamba, madaktari wamechangia kifo cha...

READ MORE

MADAKTARI WAKWAA SKENDO

HUJAFA hujaumbika ni msemo wa Kiswahili wenye tafsiri ya maisha ya kiumbe na maumbile yake halisi aliyoumbwa na Mwenyezi Mungu...

READ MORE

VIDEO-BIBI AFANYIWA UTAPELI, AMLILIA RAIS MAGUFULI!

DAR ES SALAAM: Ni stori ya kusikitisha ambayo inamhusu bibi aitwaye Mwanahawa Mshamu Ngomari ambaye anadai kutapeliwa nyumba yake iliyopo...

READ MORE

MAMA AMWAGIWA PETROLI, ACHOMWA MOTO HADI KUFA

MaMa mmoja ajulikanaye kwa majina ya Lucia Keraka mwenye umri wa miaka 34, mkazi wa Kijiji cha Kerende wilayani Tarime,...

READ MORE

MWANAKWAYA AMUUA MWANAKWAYA MWENZAKE

KABLA tukio la kusikitisha la Naomi Marijani, mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, kudaiwa kuuawa na mumewe kisha mwili...

READ MORE

FAGIO KALI CCM

HALI ya mambo ndani ya Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ kinachounda serikali si shwari kutokana na kuwepo kwa madai kuwa, kuna...

READ MORE

SABABU WANAWAKE KUUAWA ZAANIKWA

MATUKIO ya wanandoa kuuana yanaendelea kukithiri nchini na kuleta tishio jipya hasa kwa wanawake ambao kwa kiasi kikubwa ni waathirika...

READ MORE

SANGOMA MASHAROBARO WATIKISA

DAR ES SALAAM: VIJANA watano waliotajwa kuwa ni waganga wa kienyeji ‘sangoma’ tena masharobaro wameutikisa mji wa Morogoro baada ya...

READ MORE

MAUZA UZA PAKA WA AJABU ATIKISA NYUMBANI KWA MSANII

UKISIKIA neno mauzauza maana yake ni hali ya ovyoovyo isiyotambulikana; hii ndiyo imedaiwa kuletwa na paka wa ajabu nyumbani kwa...

READ MORE