ILIPOISHIA: “Amekufa kama ulivyosema.” “Si nilikwambia? Umeamini sasa!” “Kwa hiyo wewe ndiyo umemuua? Kwani baba wewe ni mchawi?” nilijikuta nikimuuliza...
READ MOREILIPOISHIA Baada ya kuwaelezea ndugu zangu masaibu yaliyonikuta huko Tanga, Faiza alionekana kioja kikubwa hasa kwa vile ambavyo nilimkuta katika...
READ MOREMpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale fundi Yassin alipomfahamisha Doreen kwamba kwa siku ile walimaliza kazi ndipo mtoto huyo wa...
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA: “Basi wewe nenda.” Mlinzi akatoka. Mimi niliogopa kurudi chumbani, nikaenda kukaa sebuleni. Niliogopa kurudi chumbani kwa sababu nilijua...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA: “Mimi sijui,” alijibu baba Pilima. Alishaanza kuwa na wasiwasi sasa. Akashika simu na kuandika namba ya...
READ MOREILIPOISHIA RISASI JUMATANO: Mwezi mmoja ulikatika bila kupata mawasiliano kutoka kwa yeyote kati yao. Lakini siku hiyo niliamka ninaumwa. Afya...
READ MOREILIPOISHIA: “Ina maana Bantu kitendo changu cha kumdanganya kimemuuma sana na kuona kila siku nilikuwa namdanganya? Mmh! Ni nani aliyemwambia...
READ MOREAsubuhi alinikumbushia yaliyotokea usiku uliopita. Akaniuliza tena wale watu walikuwa akina nani. Majibu yangu yalikuwa yale yale niliyompa jana usiku....
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA WIKIENDA: Kabla mama Pilima hajafunguka simu ya baba Pili iliita, aliyepiga ni baba Pilima kwani aliseviwa kwa jina...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Sasa nyumba yote ikawa ni maombi tu. Kukemea kwa sana hali iliyonizidishia maumivu makali sana ya kuchomwa...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Nikiwa bado chumbani ghafla mlango ulisukumwa, akaingia mtu, nikashtuka na kumwangalia. SASA ENDELEA NAYO SASA… Nadhani nilisikia...
READ MOREMpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale dada Dorcas aliposhindwa kulala kufuatia kusongwa na mawazo kutokana na vitendo alivyofanyiwa na mama...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Yaliisha, usiku ukaingia. Baba alikaa sana nje siku hiyo, najua alikuwa akimlenga kaka Cheni asitoke. Ilipofika saa...
READ MOREHali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...
READ MOREIlipoishia wiki iliyopita Alimpiga pigo moja tu shingoni na Bonviek, akaanguka bila hata mwenye duka kujua kama kulikuwa na mtu...
READ MOREILIPOISHIA: “Kumbe ni kweli!” nilijikuta nimeropoka kwa sauti kubwa, kauli iliyosababisha wanafunzi wote pamoja na mwalimu wanigeukie pale nilipokuwa nimekaa,...
READ MOREILIPOISHIA RISASI JUMAMOSI: “Humo ndani hakuna mtu wenyewe wamekwenda kazini na leo watachelewa kurudi,” yule afande aliyetaka penzi kwangu muda...
READ MOREILIPOISHIA: Nilirudi hadi chumbani kwangu na kuanza kulia kwa hali aliyokuwa nayo Abdul, kama kweli angekuwa ameumia kama alivyonieleza basi...
READ MOREILIPOISHIA Wakati yote hayo yanafanyika mimi nilikuwa bado nimepigishwa magoni na kwa hakika magoti yalianza kuniuma kwa sababu pale chini...
READ MOREILIPOISHIA Nikamueleza jinsi nilivyokutana na Faiza akiwa ameshakaa kwa miaka minne ndani ya mapango hayo. Nikamueleza na yale yaliyotokea hadi...
READ MOREMpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Nelly aliyekuwa chumbani kwa Doreen wakipiga stori baada ya kugarazana na kukabidhiwa simu, alipoanza...
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA: “Anatujua, sisi ni wenzake. Tulikuwa tukifukua makaburi pamoja. Ana deni letu la mtoto. Alituambia akizaa mtoto wa kwanza...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA: “Sawasawa, aingie tu,” alikubali baba Pilima… “Ee mama Pilima mpenzi wangu…geti kubwa..? Oke…sasa ingia ndani basi,...
READ MOREILIPOISHIA RISASI JUMATANO Nilipata tabu sana kumwambia inatosha maana kila nilipojaribu kusema, hakuwa ametoa ulimi wake kinywani mwangu, nikabaki namsukuma...
READ MOREILIPOISHIA: Sikutaka kujua pale amefikaje japo nammiliki lakini sidhani kama nilikuwa na haki ya kumuuliza pale amefuata nini. Lakini nilijikaza...
READ MOREILIPOISHIA: Shambulio la kutisha linatokea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, majengo yote yanabomolewa kwa kulipuliwa na mabomu, watu wengi waliokuwepo...
READ MOREILIPOISHIA: “Mmh! Sawa, kama nitakuwa hai hiyo miaka mitano nitakuuliza swali japo sina uhakika kama nitakuwa bado nafanya kazi hii.”...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Fuatilia sana tabia za kupoteza vitana nyumbani. Si vitana tu, vitu vyovyote vidogovidogo. Mara kalamu haipo, mara...
READ MOREILIPOISHIA WIKIENDA Alikuwa amemlaza mtoto kitandani kwake, nikaenda kuugusa mwili wake. “Kweli mwili uko moto,” nikasema. Mke wangu naye akaja...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA WIKIENDA: Kulipokucha kabisa, ndiyo kwa mbali akapitiwa na usingizi. Mama Pilima wakati anaamka alishangaa kumwona mumewe...
READ MOREHali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...
READ MOREMpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas aliyewasili Shinyanga mjini akitokea kijijini alipokutana na watu waliokuwa wakimfahamu na kumwuliza...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Ila sasa kuna jambo moja shemeji. Wewe kuwa jasiri, usiyumbishwe. Achana kabisa na zile habari za yule...
READ MOREILIPOISHIA: Destiny akiwa Tanzania kulifuatilia Kundi la Wab, kupitia vyombo vya habari anasikia kuwa kundi hilo lingefanya uhalifu wa kutisha...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA RISASI JUMATANO: Mara nikasikia ikiingia bafuni, nikasikia kukohoa. Mkohowo huo ulitaka kufanana na wa afande Mwira. Nikatulia...
READ MOREILIPOISHIA: Waliendelea na utafiti wa mafuta eneo lenye milima Gel’eme Kusini Mashariki ya ziwa Abaya katika mji wa Arba Minch’....
READ MOREILIPOISHIA: Siku moja usiku ilikuwa majira ya saa nne tukiwa tunajiandaa kulala na kipenzi changu Bantu. Mara nilipigiwa simu ambayo...
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA WIKIENDA: “Haitatokea baby. Unajua baby mtu ukitoka kufanya mambo kama haya halafu ukaongea kwa simu mtu anaweza kujua,...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Utakuta baa nzuri sana, lakini viti vitupu muda mwingi. Ukweli wa hapo ni kwamba, eneo hilo si...
READ MORELIPOISHIA WIKIENDA “Sawa. Mimi nilikuwa nakushauri tumfungulie akaunti mtoto wetu kwa ajili ya maisha yake ya baadaye. Wewe mwenyewe hujui...
READ MORE