Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas aliyepata tatizo la kutosikia vizuri baada ya mama Bite kumpiga makofi ya masikioni...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA: “Bwana Tolu usifanye kitu chochote kile. Usipunge mikono juu wala usishuke kwenda chini. Wewe waangalie tu....
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Tulipanda kitandani kwa kaka Cheni. Tulikuwa tunavuta kasi ya msisimko kwanza, nje dirishani kwake tukasikia mtu amekanyaga...
READ MOREHali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...
READ MOREIlipoishia Jumamosi: Mambo yote yalipokamilika, nilipanda ndege ya safari namba BA46 siku ya Julai 3 ambayo iliondoka Dar es Salaam...
READ MOREIlipoishia wiki iliyopita: “Hapana, mimi naona tukutane na wadau wetu Jully na Mwani tupange namna ya kuifanya hii kazi haraka,...
READ MOREILIPOISHIA RISASI JUMAMOSI: “Kwa hiyo mume wangu unatakaje?” nilimuuliza nikimwangalia kwa macho ya kulegea. Niliyalegeza kwa makusudi kabisa. Mara, nikamwona...
READ MOREILIPOISHIA Huo ndiyo ukaanza kuninyemelea. Mara ya kwanza, sikujali, ila baadaye, nilikuja kujuta kwa nini nilitaka utajiri. SONGA NAYO Kusema...
READ MOREILIPOISHIA Kumbe alimtoa mhanga mke wake na mjukuu wake. Mwenyewe amekufa na siri imefichuka!” “Sasa naomba msaada wako.” “Ulitaka nikusaidieje?”...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Kuchangamka kwa Msoba sasa wakati mwenzake alitamani kupumzisha akili, kuliibua utofauti katika mawasiliano ya mahaba kwani, Sanura...
READ MOREILIPOISHIA IJUMAA: Vile nilivyokuwa nimeduwaa nikiitazama, ile simu ilijipokea yenyewe ikajiongezea sauti. Nikaisikia sauti ya Smith ikiniambia. “Kama unajaribu kunikimbia...
READ MOREMpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale sharobaro Nelly aliyekuwa amefika Keko Bora na kumpigia simu Atu na kumweleza alikuwa pale...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA Mvulana huyu aliitwa John. Alikuwa kidato cha tano, hakuwa muongeaji sana, maisha yake yalitawaliwa na upole mkubwa,...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA: Nancy na Aisha wakakutana macho, wakakumbukana. Nancy alishangaa sana kumkuta Aisha nyumbani kwa Neema wakati kule...
READ MOREILIPOISHIA: Siku ya pili niliwafuata kina Doi ili niwapeleke kwa Papaa, niliamini kupitia mimi ile ndoto ya kuacha kupigwa na...
READ MOREILIPOISHIA: TULIBISHANA kwa hoja kwa muda kidogo kwa vile alikuwa na mawazo kwamba India ingekuwa mahali bora zaidi kwangu na...
READ MORETanzanibani Juni, 7, 2015. KULIKUWA kumetulia mno, hakuna sauti za watu, chura wala kuku zilizosikika angani alfajiri hiyo kiasi kwamba ilikuwa...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA RISASI JUMATANO: “Sasa mimi nitakuwa mke mdogo au mpango huo wa kuwa na mke baada ya mama...
READ MOREILIPOISHIA GZETI LA AMANI LA JANA: “Wengi wao bwana Tolu wanakuwa ni majini na wanachanganyana na wanadamu. Ndiyo maana unaweza...
READ MOREILIPOISHIA GZETI LA IJUMAA WIKIENDA: “Siyo kwamba muda umekwenda sana sweet?” “Noo! Wala, saa hizi muda umekwenda?” Bony alikubali, akashuka,...
READ MOREILIPOISHIA WIKIENDA Sasa mawazo yangu yote yakawa kwenye kufungwa. Nilijiambia penzi langu na Eddy sasa linanipeleka jela! Wakati ule mawazo...
READ MOREKevin amefanikiwa kuingia ndani ya hifadhi ya wanyama ya American National Park, akiwa hapo anakutana na kijana anayejitambulisha kwake kwa...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Rozimina…we Rozimina,” kaka Cheni alimuita, hakuitika… “Sista unajua atakuja kusema kweli kwa baba…” “Aseme, ana ushahidi gani?”...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA: Tuliondoka na giza bado kuelekea Papua. Meli ilikuwa ikakata maji huku ikionekana kuwa nzito sana kiasi...
READ MOREMpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale akina Bite na Monica walipoamka baada ya kusikia Dorcas akilia na kumkuta mama yao...
READ MOREHali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA RISASI JUMAMOSI: “Rehema amekuzidi mama,” nilimwambia huku nikiendelea na kazi za jikoni. Nilishtukia niko chini, miguu yake...
READ MOREIlipoishia wiki iliyopita Naye alimchukulia Sule kama muuaji mwingine aliyestahili kufa sawa na Jerry. Alimtazama alipokuwa akitembea kulifuata jengo hilo...
READ MOREMeja Jenerali Mstaafu Msuya. Ilipoishia wiki iliyopita kulikuwa kumetokea uzembe kwa upande wa manesi kwani baada ya tukio la kwanza...
READ MOREILIPOISHIA Nilitoka kijijini kwenda Dar kutafuta utajiri kwani maisha ya kimaskini niliyoishi yaliniumiza sana. Nilipofika huko, nikakutana na mtu aliyeniambia...
READ MOREILIPOISHIA Walikuwa hawawezi kunywa wenyewe. Walikuwa kama watu waliopooza. Ilibidi niwanyweshe. Uji ulikuwa moto lakini walikunywa hivyo hivyo kwa sababu...
READ MOREILIPOISHIA ILIYOPITA: Mkoba wangu nilikuwa nimeuacha kule chumbani. Nikatoka nje ya ile hoteli. Nilipotupa macho, nikaliona gari la Eddy likiwa...
READ MOREMpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Nelly alipomfahamisha Ipyana kuhusu yule mama mtu mzima aliyefika eneo walilokuwa wakioshea magari. Je,...
READ MOREILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA: Sasa siku hiyo kutokea Nancy ndiyo anaomba hisia zake zitambulike, Bony alihisi amepata muujiza ambao hakuwahi...
READ MOREILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA Nililetewa bakuli kubwa lililojaa nyama nyingi, nilipoletewa, nikaliweka juu ya meza na kuanza kuchukua kipande kimoja baada...
READ MOREDestiny na Mtima wako nchini Kenya hotelini katika mapumziko kabla ya Mtima kuelekea nchini Uholanzi. Wakiwa katika chumba hicho cha...
READ MOREILIPOISHIA RISASI JUMATANO: Mimi sijui nini kilitokea mwenzenu, lakini nilijikuta nikipayuka bila kujali kama nitasikika au la huko nje lakini...
READ MOREILIPOISHIA: “Konsooo, kwa vile upo na mimi nitakutumia kutengeneza pesa ambazo hukuwahi kuziota ndotoni.” Makubwa nilijikuta njia panda juu ya...
READ MOREILIPOISHIA WIKIENDA Tukaenda kukaa sebuleni. Muda ule ilikuwa ni saa tisa usiku. Tukazungumza hadi saa kumi. Shemeji akaanza kusinzia. Baadaye...
READ MOREILIPOISHIA KWENYE GAZETI LA AMANI, JANA: Nahodha alivaa nguo zake, akamshukuru Mungu kisha akatangaza kuanza safari. Safari hii tulitakiwa kwenda...
READ MORE