×

Siasa

Rais Samia Atuma Salamu za Pole Kifo cha Mzee Mtei – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mzee Edwin...

READ MORE

Mwanzilishi wa CHADEMA na GAVANA wa Kwanza BOT Afariki Dunia

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei...

READ MORE

Mzee Butiku Azungumzia Utekaji na Mauaji – Video

Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Waryoba Butiku amezungumza na waandishi wa habari Leo Januari...

READ MORE

Gambo Aunguruma Arusha, Aonya Wenyeviti Serikali Za Mtaa Kutumia Mihuri Kujinufaisha

Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Mashaka Gambo amewaongoza wanachama na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uzinduzi wa kampeni...

READ MORE

UVCCM: Asante kwa Kazi Kubwa Rais Samia, Piga Kazi Mama

Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM limeaziamia kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu...

READ MORE

Haya Hapa Majina ya Makatibu Wapya wa UVCCM Wilaya Walioteuliwa

SEKRETARIETI ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa katika kikao chake kilichofanyika Machi 30,2022 katika Ukumbi wa Jakaya...

READ MORE

Hatma ya Ubunge wa Mdee na Wenzake Kizungumkuti

TAARIFA kutoka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zinasema hatma ya ubunge wa Halima Mdee na wenzake itafikia...

READ MORE

UVCCM Kibiti Yampaisha Rais Samia Huku Mwenyekiti Wake Akijivunia Mafanikio

      PWANI, Kibiti Jumatatu 14 Marchi 2022 Umoja wa vijana CCM (UVCCM) Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani leo wametoa...

READ MORE

Baraza la Vyama vya Siasa Lilivyoshauriana Namna ya Kuongeza Ushiriki wa Wanawake

      BARAZA la Vyama vya siasa nchini kwa kushirikiana na Mtandao wa Jinsia (TGNP) na WiLDAF Tanzania wameendesha...

READ MORE

Breaking: Zungu Apitishwa Kuwania Unaibu Spika

#BreakingNews: Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamempitisha Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu kuwa mgombea wa nafasi ya Naibu...

READ MORE

CCM Yazindua Kadi Mpya za Kielektroniki

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua kadi mpya za wanachama za kielektroniki zenye taarifa na kumbukumbu muhimu za mwanachama zitakazowatambulisha na...

READ MORE

Watakaomrithi Dkt. Tulia, Dirisha Limefuguliwa Rasmi

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefungua pazia la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania kuteuliwa kugombea nafasi ya naibu spika wa Bunge...

READ MORE

Dkt. Tulia: Bunge ‘Halitamezwa’ na Serikali

ALIYEKUWA Naibu Spika Dk Tulia Ackson na mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kiti cha Uspika wa Bunge la...

READ MORE

Warithi wa Ndugai Wafikia 51

NAFASI iliyoachwa wazi ya Uspika wa Bunge la Tanzania na Job Ndugai, imeendelea kushindaniwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Steve Nyerere Amvaa Mwijuaku Kisa Uspika

MSANII Maarufu wa vichekesho nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameamua kuvunja ukimya na kuwalipua baadhi ya watu waliochukua fomu kuwania...

READ MORE

Mfahamu Binti Mdogo Aliyechukua Fomu ya Uspika

Mkazi wa Temeke, Ester Makazi amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa...

READ MORE

Wana-CCM Tisa Wajitosa Uspika

Wanachama tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamechukua fomu za kuwania nafasi ya uspika wa Bunge kupitia chama hicho, kumrithi...

READ MORE

Mbatia Kwenda Mahakamani Kupinga Ndugai Kujiuzulu

Chama Cha NCCR-Mageuzi kimesema kinakusudia kwenda mahakamani kupinga iwapo kutakuwa na mchakato wowote wa kumpata Spika mpya wa Bunge la...

READ MORE

Katiba Inasemaje Kuhusu Kiti cha Spika Kikiwa Wazi

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amejiuzulu nafasi hiyo kuanzia jana Januari 6, 2022 kwa hiari yake mwenyewe kwa...

READ MORE

Lema Lissu Waamua Kurejea Nchini

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amesema Kamati Kuu ya Chama chake imeadhimia yeye pamoja na mwanasiasa Godbless Lema...

READ MORE

CCM Wamkomalia Ndugai

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameendelea kukaliwa ‘koo’ na chama chake baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa...

READ MORE

Polepole Awataja ‘Wahuni’ Wote

Mbunge wa kuteuliwa na aliyekuwa katibu mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole amekubali kuwajibika kuhusiana na swala la wahuni serikalini akisema...

READ MORE

Polepole, Gwajima, Silaa Waitwa CCM

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Ijumaa, Desemba 17, 2021 imepokea na kujadili Mienendo ya Wabunge wake Jerry...

READ MORE

Halmashauri Kuu ya CCM Kukutana Desemba 18

Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), inatarajiwa kukutana Desemba 18, 2021 chini ya Mwenyekiti wake, Rais Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

NCCR Yaungana na Chadema Kususia Mkutano

VYAMA vya NCCR-Mageuzi na Chadema vimeungana kususia mkutano ulioitishwa na Baraza la Vyama vya Siasa. Mkutano huo wenye la lengo...

READ MORE

CCM: Hatuko Tayari Kuwa Waongo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema ni lazima Chama kishikane mashati na serikali ili kutimiza kila...

READ MORE

CHADEMA Yasusia Uchaguzi Ngorongoro

TAARIFA KWA UMMA Katibu Mkuu John Mnyika ameiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuitaarifu rasmi kuwa Chadema hakitashiriki...

READ MORE

CCM Yafumua Makatibu Nchi Nzima, Yapanga Upya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika kuendelea kufanya mageuzi ya kiuongozi na kiutendaji ili kukidhi mahitaji ya wakati, mwenendo wa mabadiliko...

READ MORE

Polepole: Sina Mpango na Ubunge

MBUNGE wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole ameweka wazi kwamba hana mpango wa kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo ifikapo...

READ MORE

CCM Yateua Mgombea Ubunge wa Ngorongoro, Umeya Shinyanga

Taarifa kutoka Chama Cha Mapinduzi. Yateua mgombea Ubunge wa Ngorongoro pamoja na wagombea Umeya wa Shinyanga.

READ MORE

CCM Yaipongeza ACT Wazalendo – Video

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekipongeza Chama cha ACT Wazalendo kwa kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha Ubunge katika Jimbo la Konde...

READ MORE

Askofu Gwajima, Wenzake Waachwe, Mawaziri Wajiuzulu

Wabunge watatu wa CCM, Jerry Silaa (Ukonga), Askofu Josephat Gwajima (Kawe) na Humprey Polepole (mbunge wa kuteuliwa), Septemba 3, 2021...

READ MORE

Kauli ya Ndugulile Baada ya Kutumbuliwa

ALIYEKUWA Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Faustine Ndugulile, amemshukuru Rais Samia kwa kumpa nafasi ya kuhudumu ndani...

READ MORE

Msajili Aishauri CHADEMA Kuweka Picha ya Rais

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeishauri CHADEMA kuweka picha ya Rais katika ofisi za viongozi wa chama hicho...

READ MORE

Othman Aanika Sababu Mbunge CCM Kujiuzulu

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud amepasua jibu la uchaguzi wa marudio wa Konde na sababu zilizomfanya...

READ MORE

Sakata la Chanjo! CCM Yamuonya Polepole

KATIBU Mkuu wa Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Kenani Laban Kihongosi amesema wanasikitishwa na matendo yanayofanywa na...

READ MORE

CCM Yashinda Ubunge Jimbo la Konde

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeshinda uchaguzi katika jimbo la Konde visiwani Zanzibar, baada ya mgombea wake Sheha Faki kujipatia kura...

READ MORE

Dk. Diallo Aomba Radhi Kauli Yake Tata

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, Dk. Anthony Diallo ameomba radhi ‘kiaina’ baada ya kauli yake kuzua...

READ MORE

Mbunge Hussein Nassor: Siombi Radhi

MBUNGE wa Viti Maalum, Jacqueline Ngonyani Msongozi amesimama na kuomba mwongozo kuhusu ishu iliyotokea jana Juni 1, 2021 ya Mbunge...

READ MORE

Sakata la Mbunge Condester Kufukuzwa Bungeni, Wabunge Wacharuka

Sakata la Mbunge wa Tunduru, Condester Michael Sichalwe (CCM) kutolewa bungeni kipindi cha asubuhi kutokana na kuvaa mavazi yasiyoendana na...

READ MORE