The House of Favourite Newspapers
Browsing Category

Siasa

Warithi wa Ndugai Wafikia 51

NAFASI iliyoachwa wazi ya Uspika wa Bunge la Tanzania na Job Ndugai, imeendelea kushindaniwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wamefikia 51. Ndugai aliyeongoza muhimili huo wa Bunge kuanzia Novemba 2015,…

Wana-CCM Tisa Wajitosa Uspika

Wanachama tisa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamechukua fomu za kuwania nafasi ya uspika wa Bunge kupitia chama hicho, kumrithi Job Ndugai aliyejiuzulu wiki iliyopita. Akizungumza jana kwa niaba ya Katibu wa Itikadi na…

CCM Wamkomalia Ndugai

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameendelea kukaliwa ‘koo’ na chama chake baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Singida kusema, hakitakubali kuona mtu yoyote anapingana na Rais Samia Suluhu Hassan.  Kauli hiyo…

CCM: Hatuko Tayari Kuwa Waongo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema ni lazima Chama kishikane mashati na serikali ili kutimiza kila kilichoahidi wananchi katika Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020-2025. Chongolo ametoa kauli hiyo…

Polepole: Sina Mpango na Ubunge

MBUNGE wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole ameweka wazi kwamba hana mpango wa kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo ifikapo 2025 kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakimhoji kwa kile alichoeleza kuwa ni kazi ambayo hana utume nayo…

Mbunge Hussein Nassor: Siombi Radhi

MBUNGE wa Viti Maalum, Jacqueline Ngonyani Msongozi amesimama na kuomba mwongozo kuhusu ishu iliyotokea jana Juni 1, 2021 ya Mbunge wa Momba Condester Michael Sichalwe kutolewa nje ya ukumbi wa Bunge na Spika kwa madai kuwa amevaa nguo…

Chongolo Akutana na Mzee Msekwa

KATIBU Mkuu Ndugu Daniel Chongolo amekutana na kuzungumza na Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mzee Pius Msekwa katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu Lumumba na kumuahidi kukitumikia, kukisimamia na kukiimarisha zaidi Chama Cha Mapinduzi.…

CCM Kumpeleka Zitto Mahakamani

BAADA ya kiongozi ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kudai kuvamiwa na gari tatu za CCM, Katibu wa chama hicho tawala Mkoa wa Kigoma, Kajoro Vyohoroka amesema wanasubiria matokeo yatangazwe wafungue jalada mahakamani la kudhalilishwa na…