Ali Kiba baada ya kusaini mkataba na Kampuni ya Sonny.
HUKU mashabiki wa Ali Saleh Kiba wakifurahia mafanikio ya msanii huyo kutokana na kulamba shavu la kusaini mkataba na kampuni ya kimataifa ya Sony Music pamoja na kupewa ‘coverage’ na jarida maarufu la Marekani la The Source, mashabiki wa Diamond Platnumz nao meno nje!
Diamond na Ne-Yo
Hiyo imefuatia baada ya Diamond naye kutangazwa hivi karibuni kuwania Tuzo za Black Entertainment Television (BET 2016) kwa mara ya pili mfululizo akiwa katika Kipendele cha Best International Act: Africa, akichuana na wakali wengine wakiwemo Wizkid, Yemi Alade (Nigeria), AKA, Cassper Nyovest na Black Koffie wote wa Afrika Kusini.
Mafanikio ya mastaa hao yanawapa nguvu wasanii wengi wanaochipukia na waliopo kwenye gemu kuamini kuwa inawezekana.
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz