Exclusive: Hananja Ajibu Kuteuliwa Na Rais Samia Kuwa Mkuu Wa Wilaya, Atangaza Kuwa Rais Wa Bodaboda – Video
Ni mwendelezo wa mahojiano na MchungajiMstaafu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Richard Hananja , hii ikiwa ni sehemu ya pili ambapo amefunguka mengi ikiwa ni pamoja na kutamani kuteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya amesema kama Rais Samia Suluhu Hassan atamteua yeye hana tatizo.