The House of Favourite Newspapers

#Exclusive Video: Jokate Afichua Ya Ujauzito Wake, Mtoto Aliyemuokota – ”Ningeweza Kujificha”…

0


Mkuu Wa Wilaya ya Korogwe, Jokate Mwegelo ameweka wazi kuwa anafurahishwa na kitendo cha yeye kuitwa mama kwani ni steji aliyokuwa akiiogopa sana, ila kwa sasa anaongozwa na neno la Mungu na hivyo hana wasiwasi kwani yupo wa kumshindia katika maisha yake.

Aidha Jokate ameongeza kuwa suala la yeye kuwa mama au wamama wengine kote duniani ni jambo la kumshukuru Mungu kwani daktari wake mmoja alimueleza kuwa kwa siku moja watu takribani 30 hufika hosptali kutafuta watoto.

Leave A Reply