Yaliyomo kwenye Gazeti la Ijumaa: Jokate anasa ujauzito!
Wakati Wema akihaha kusaka mtoto, Jokate anasa ujauzito!
-Ashindwa kuhudhuria pati ya Wema
-Unataka kumjua mwenye ‘mzigo’ huo?
-Jokate anena na mazito na Ijumaa.
Zari ammaindi mrembo aliyejichora tatuu ya Diamond
-Je, unataka kumjua mrembo huyo ni nani?
-Unataka kufahamu undani wake?
Mme wa mtu afanya mambo ya aibu
-Je, unataka kujua alichokifanya mbaba huyu, wapi na ilikuwaje?
Dada wa Diamond afanyiwa kitu mbaya usiku
-Ni Queen Darleen
-Watu wataka kumkatisha uhai.
-Unataka kujua amefanyiwa kitendo gani?
Kufahamu undani wa yote haya na mengine mengi, usikose kusoma Gazeti la IJUMAA.