Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa GEPF Bw. Edgar Shumbusho akimkabidhi baadhi ya vifaa hivyo Katibu Mkuu wa wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga.
Katibu Mkuu Bi. Sihaba Nkinga akitoa neno la shukurani kwa niaba ya wizara kwa ujumbe kutoka Mfuko wa Pensheni wa GEPF.
Mjumbe wa Baraza la NGO Bw. Ajax Diria akitoa neno la shukurani kwa niaba ya baraza akishuhudiwa na mwenyekiti wa Baraza Bi. Rukia Masasi.
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano, Bw Aloyce Ntukamazina akielezea shughuli za Mfuko na mafanikio yaliyopatikana katika sekta binafsi ikihusisha na NGO’s kwa kipindi cha mwaka 2015/16 kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi wa wizara Bw. Baraka Leonard.