GLOBAL ENTERTAINMENT LIVE: Asha Barakah Agomea Shoo za Laki Tano
GLOBAL TV ONLINE kupitia kipindi chake cha GLOBAL ENTERTAINMENT kinachorushwa kila Ijumaa saa 5:00 asubuhi, leo tunaye Mkurugenzi wa Bendi ya Twanga Pepeta, Asha Barakah ambeye amefunguka kugomea kupiga shoo za bei chee ambapo anasema kamwe hawezi kuruhusu bendi yake ikafanye shoo ya laki tano, kwani haina maslahi kwao.
Asha Barakah pia anasema kuwa msanii Diof kwa sasa ameacha kabisa madawa ya kulevya na kuhusu Ally Choki, bado Twanga Pepeta ila akitaka kufanya kazi zake binafsi anaruhusiwa.
Comments are closed.