GSM Waweka Bil 2 Kudhamini Ligi Kuu ya NBC – (Picha +Video)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo Novemba 23, 2021 limeingia mkataba na GSM Group kuwa mdhamini mwenza wa Ligi Kuu ya NBC wenye thamani ya Shilingi bilioni 2.1 kwa kipindi cha miaka miwili.