The House of Favourite Newspapers

Hapa kazi tu: Rais John Pombe Magufuli afanya ziara ya ghafla wizara ya fedha

1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk.John Pombe Magufuli akisani kitabu cha wageni baada ya kufika Wizara ya Fedha.

…Akikagua utendaji kazi wa wafanyakazi mbali mbali wizarani hapo.

 Akitembea kwa miguu na maofisa usalama kuelekea  Wizara ya Fedha.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu hadi katika Wizara ya Fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa  ofisi hizo, hata hivyo alikuta baadhi ya maofisa  wakiwa nje ya ofisi zao.

1 Comment
  1. Victor John says

    HAPA KAZI TU.

Leave A Reply