JK, VIONGOZI MBALIMBALI WAMFARIJI MZEE KINGUNGE
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete na V wamefika nyumbani kwa Mzee Kingunge Ngomale Mwiru, nyumbani kwake Victoria, jijini Dar es salaam kumfariji jana baada ya kufiwa na mke wake Peras Ngombale hivi karibuni na anatarajiwa kuzikwa leo jioni kwenye makaburi ya Kinondoni, jijini Dar es.
PICHA NA MICHUZI
Comments are closed.