The House of Favourite Newspapers

Askofu Gwajima Ambwaga Halima Mdee Kawe – Video

0

Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kawe amemtangaza Askofu Josephat Gwajima wa CCM kuwa ndiye mshindi wa jimbo hilo kwa kupata kura 194,833 na kumshinda Halima Mdee wa Chadema aliyepata kura 32,524.


Leave A Reply