RAIS Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete amewaongoza mamia ya waombolezaji katika kuaga na kuuzika mwili wa aliyekuwa mpiga picha wa magazeti ya Serikali, Athumani Hamisi Msengi ambaye amezikwa katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar.
Msengi alifariki jana Januari 4, 2017 asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu.
Picha na Denis Mtima | GPL
======
Comments are closed.