Mtangazaji wa kituo cha redio cha Times FM, Omary Tambwe ‘Lil Ommy’ akiwa na mke wake Shamimu Mlacha.
Mtangazaji wa kituo cha redio cha Times FM, Omary Tambwe ‘Lil Ommy’ jana amefunga ndoa na mwanahabari mwenzie, Shamimu Mlacha ambaye ni mtangazaji wa kituo cha runinga cha ITV.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.