Simba Yatinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Kibabe
Klabu ya Simba imefuzu Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika na kujihakikishia kuongoza kundi, baada ya kuifunga AS Vita katika Uwanja wa Mkapa na kufikisha pointi 13.
FT: Simba SC 4-1 AS Vita
Miuissone 30′
Zemanga 32′
Chama 45′ 83′
Bwalya 66′
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx