JPM Amwapisha Dkt. Slaa Kuwa Balozi wa Tanzania – Sweden
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, asubuhi ya leo Februari 16, amewaapisha Dkt. Wilbrod Peter Slaa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden na Muhidin Ally Mboweto kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria.
Comments are closed.