The House of Favourite Newspapers

LIVE: Rais Magufuli Awahutubia Wananchi wa Singida

0

Leo Julai 25, 2017, Rais John Magufuli anaendelea na ziara yake na leo yuko wilayani Itigi mkoani Singida kufungua Barabara ya Manyoni – Itigi – Chaya yenye kilomita 89.3.

Hadi sasa viongozi kadhaa wa kiserikali wameshazungumza akiwemo Mwigulu Nchemba na miongoni mwa mambo aliyogusia, ametaka wanaoacha mawe barabarani baada ya kutengeneza magari yao wakamatwe.

Fuatana nami kutoka Itigi, Singida kujua kitachojiri

Leave A Reply