Shughuli ya Kuaga Mwili wa Balozi Kijazi Dar – Video
Mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Eng. John Kijazi umetolewa nyumbani kwake, Mbweni JKT na kupelekwa katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuagwa Kitaifa leo Februari 19, 2021, kabla ya kusafirishwa kwenda nyumbani kwao Tanga kwa ajili ya maziko.