Simba Queen Bingwa wa Ligi ya Wanawake
TIMU ya Simba Queens imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi ya wanawake tanzania Bara baada ya kuibuka na Ushindi wa bao 1-0 dhidi Baobab Queens kwenye uwanja wa Jamhuri jijin Dodoma
Wapinzani wao wa Jadi Yanga Princess licha ya kuibuka na Ushindi Mzito dhidi ya Alliance girls wa mabao 6-0 umeshindwa kuwasaidia baada ya kuzidiwa alama na Simba Queens.
Simba Queens Wanashinda ubingwa huo kwa mara ya pili mfululizo