Madaraja ya juu kivutio Dar!
Daraja la wavuka kwa miguu kama linavyoonekana eneo la Morocco, Kinondoni Dar.
Taswira ya Daraja la Buguruni jijini Dar ambalo bado ujenzi unaendelea kama linavyoonekana.
Daraja la Stendi ya Mabasi-Ubungo.
Mwonekano wa Daraja la Ubungo jijini Dar.
Daraja la Manzese jijini Dar kama linavyoonekana.
Taswira ya Daraja la Kimara, jijini Dar kama linavyoonekana.
VIVUTIO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia uwepo wa madaraja ya juu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam.
Mbali na kutumika kama kivuko kwa watembea kwa miguu, watu wengi wamekuwa wakiyatumia madaraja hayo kama sehemu ya utalii pindi wanapovuka katika madaraja hayo.
Mwandishi wa mtandao huu amezunguka maeneo mbalimbali ya jiji hilo na kukuandalia picha zifuatazo:
Na Denis Mtima/GPL