Magufuli, Majaliwa, Kikwete Walivyomuaga RUGE, Karimjee – Video
RAIS John Magufuli leo alikuwa kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam akiwa ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba.
Comments are closed.