Makamu Wa Rais Samia Ahutubia Maadhimisho Ya Siku Ya Magonjwa Adimu Dunia -Video
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehutubia Taifa kwenye Maadhimisho ya siku ya Magonjwa Adimu Duniani yaliyoadhimishwa leo Febuari 28, 2021 katika Ukumbi wa Serena Jijini Dar es salaam. Ambapo kauli mbiu ya Maadhimisho ya Mwaka huu Siku ya Magonjwa Adimu ni “Usawa kwa Waishio na Magonjwa Adimu”.