Man Yaichapa Sunderland 3-1, Zlatan Atupiamo, Bao la Mkhitaryan Gumzo, Lapewa Jina la ‘Scorpion’
Zlatan Ibrahimovic akishangilia bao lake la 9 kwenye EPL Msimu huu.
Kocha wa Sunderland, David Moyes (kulia) akisalimiana na Kocha wa Man U, Jose Mourinho baada ya mechi kuisha.
Goli la Mkhitaryan linafananishwa na mkwaju aliouokoa Rene Higuita kutoka kwa Jamie Redknapp kwenye Uwanja wa Wembley mwaka 1995
Â
Ushindi wao wa 3-0 dhidi ya Bournemouth uliwafanya kuweka rekodi ya klabu hiyo kushinda michezo 12 mfurulizo ya Premier League huku wakizidi kujikita kileleni mwa ligi hiyo.
Manchester City walijivuta nafasi ya pili baada ya kushinda 3-0 dhidi ya Hull City, huku Arsenal ikipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Wesst Brom 1-0, bao lililofungwa na Olivier Giroud.
Msimamo wa EPL
Comments are closed.