Mkhitaryan Kusaidia Matibabu kwa Wenye Kansa
IKIWA ni saa chache baada tu ya kutua Arsenal akitokea Manchester United, Henrikh Mkhitaryan amesema atatumia jezi ya Man U ili kusaidia matibabu ya watoto wa Armenia walioathirika kwa saratani.
Mkhitaryan amekabidhiwa jezi ya…