The House of Favourite Newspapers

Masogange adaiwa kutumia tunguri kunasa vigogo!

0

Aggy31Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’.

Stori: Brighton Masalu na Mayasa Mariwata

Ulozi? Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutumia ‘tunguri’ kujiongezea mvuto ili kuwanasa vigogo.

Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na Masogange zilieleza kwamba kuna waganga wawili wanaompa jeuri mrembo huyo, mmoja akiwa anaishi maeneo ya Mwenge, Dar na mwingine Bagamoyo.

Alipotafutwa Masogange alikuwa na haya ya kusema: “Sijaanza kusikia tuhuma hizo leo lakini mimi si mtu wa mambo ya Kiswahili ujue, nimetoka kwenye familia ya kichungaji.”

Leave A Reply