Mastaa walivyonogesha Harusi ya Prof. Jay
Mastaa mbalimbali nchini jana walihudhuria harusi ya Prof. Jay na mkewe Bi Grace iliyofanyika Mlimani City wakiongozwa na Lady Jay Dee. Mastaa wengine walikuwa ni AY, Mister Sugu, Black Rhino, Terry Fanani.
(PICHA NA RICHARD BUKOS | GLOBAL PUBLISHERS)