The House of Favourite Newspapers

Mastaa walivyonogesha Harusi ya Prof. Jay

0
Msanii wa Bongo Fleva, Ambwene Yessaya ‘AY’ (kulia) akiteta neno na rafiki yake wa kike usiku wa kuamkia leo katika harusi ya Prof. Jay iliyofanyika Mlimani City jana.
Mchekeshaji Lucas Mhuville ‘Joti’ na rafiki yake wa kike wakifuatilia shughuli zilizokuwa zinafanyika katika harusi ya Prof. Jay.
AY akitumbuiza wakati wa harusi hiyo.
Msanii wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee (katikati), akiburudisha wageni waalikwa kwa kuimba na Prof. Jay.
Black Rhino akitumbuiza wageni wakati wa harusi hiyo.

Mastaa mbalimbali nchini jana walihudhuria harusi ya Prof. Jay na mkewe Bi Grace iliyofanyika Mlimani City wakiongozwa na Lady Jay Dee.  Mastaa wengine walikuwa ni AY, Mister Sugu, Black Rhino, Terry Fanani.

(PICHA NA RICHARD BUKOS | GLOBAL PUBLISHERS)

Leave A Reply