The House of Favourite Newspapers

Breaking News: Mkuu wa Mkoa Meck Sadiki na Majaji Wawili Waachia Ngazi

0

KUJIUZULU: Rais Magufuli ameridhia kujiuzulu kwa viongozi wafuatao; RC Kilimanjaro, Said Meck Sadiki, majaji wa Mahakama Kuu, Aloysius Mujulizi na Upendo Msuya.

 

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Saidi Meck Sadick.

Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania & M/kiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria, Aloysius Mujulizi.

Aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu Tanzania, Pendo Hillary Msuya.

Leave A Reply